For those who believe Disney is the thing, think twice: It is a Pedophile and LBGT community

Gay [emoji706]
Jibu hoja kijana, tatizo hamna exposure mmekariri tu maisha. Sasa kma Disney unakubali ushoga mnaona hawafai kwanni basi mnaangalia EPL au mnatumia google ambayo Ina endorse gay rights??

Hamuoni ni unafiki?? Au Disney ndio wabaya ila google ndio wazuri?
 
Naangalia sana animations za Disney na kijana wangu lakini sijaona baya lolote zaidi ya burudani tu.
It's common sense,huwezi kutegemea pedophile,gay au lesbian akupe anything morally sound,if you cannot appreciate that logic,na wewe una shida,ndio maana huoni ubaya wa Disney.Ni vigumu mtu aliyezoea uovu kuona uvu.
 
Siwezi kukubali co-existence na mashoga.Kwanza hata kutamka hilo neno napata ukakasi.Na kwa jinsi unavyowatetea,na wewe lazima utakuwa mmoja wao.Jehanamu ya moto inakusubiri kama hukutubu.
 
Sijai-attack,nime-expose their evil,kwani sio kweli?
 
It's common sense,huwezi kutegemea pedophile,gay au lesbian akupe anything morally sound,if you cannot appreciate that logic,na wewe una shida,ndio maana huoni ubaya wa Disney.Ni vigumu mtu aliyezoea uovu kuona uvu.

Waswahili wanasema ukitaka kumla bata usimchunguze, sina ubaya na disney kwa sababu wananiburudisha hayo mengine wanayofanya behind the scene is not my business.
 
Kuna mtu humu nahisi hayuko sawa...ni mwenzao
 
Mkuu tunashukuru ,wanangu katuni noo
Usimnyime mtoto utamu wa ANIMATION Tafadhali.
Binafsi baba alikua anapenda sanaa Game na Mieleka na Cartoon.

Na mpaka kufika umri huu miaka 32 starehe yangu ni Game, Cartoon (sasa ni Animation) na Mieleka.

Na binti yangu ye anapenda sanaa Cartoon Tena sanaaa.

Nimeangali tokea nursery mpaka leo Nina Miaka 32 ila bado ni MWANAUME KAMILI.

Achana na hizi agenda za kipumbavu.

#YNWA
 
Nimeanza kuangalia cartoon tokea nursery mpaka leo Nina Miaka 32 na bado NAWAPELEKEA MOTO.

Huo ushoga uko wapi?

Punguzeni ujinga kwenye vitu vitamu kama ANIMATION.

#YNWA
 
Waswahili wanasema ukitaka kumla bata usimchunguze, sina ubaya na disney kwa sababu wananiburudisha hayo mengine wanayofanya behind the scene is not my business.
Yaani mkuu huoni ubaya wowote seriously wa kujihusisha na entity ovu!Una shida ya ufahamu.Anyway,sikulaumu,generation hii ina shida.
 
Yaani mkuu huoni ubaya wowote seriously wa kujihusisha na entity ovu!Una shida ya ufahamu.Anyway,sikulaumu,generation hii ina shida.
Pole sana mkuu!
Nimekupa pole kwasababu inavyoonekana unaishi kwa tabu sana kwa kufatilia na kuchukulia serious mambo yasiyo ya msingi.
 
Nimeanza kuangalia cartoon tokea nursery mpaka leo Nina Miaka 32 na bado NAWAPELEKEA MOTO.

Huo ushoga uko wapi?

Punguzeni ujinga kwenye vitu vitamu kama ANIMATION.

#YNWA
Kwa hiyo hizo taarifa zote kwenye post ni za uongo!Lakini mimi mbona nikiangalia Disney naona ushenzi mwingi sana.Lots of satanic symbols,witchcraft,sorcery,homosexual gestures you name it.Nadhani kuna shida ya ufahamu.

Finally,
kuna alot of deliberate satanic behaviour impertation by telepathic communication to viewers hasa watoto,infact this is the most serious part of Disney.Unashangaa mtoto kapata tabia za hovyo,lakini hujui kapata wapi,kumbe kapandikiziwa mapepo na Disney.Wazazi tujitahidi kujifunza mambo,tupo very uninformed about many issues which are important to ourselves,families and friends.Telepathic communications to humans by demons and even demon possession by watching satanic cartoons or films is real.
 
Lucky me my kid loves Mr bean and ze comedy
 
Fuatilia maisha yako ,Acha kimbelembele Kwa mambo yasiyokuhusu , idiot
Haya yananihusu 100%,siwezi kuacha kuwapa taarifa watu ili waepukane na uovu na udanganyifu wa Shetani,it is my moral duty.

Kwa hasira hizi,inaelekea you and Disney are collaborators in one way or the another.Pole kama nime-expose siri zenu.That is my moral duty however and I am commissioned to do that by God,na sitaacha.
 
Hiyo dini unayojivunia waliokuletea ndio hao hao ,labda Urusi kuabudu Miungu yenu ya kimizimu ,
Hao ni agents wa Shetani,hawana uhusiano kabisa na Bwana Yesu.They are evil beings,Jesus Christ is righteous.
 
It's up to you , you are no body kwenye Huu ulimwengu , huwezi mpangia mtu maisha , stick to your business , don't like your f*cking nose into others affairs
Wewe ni mpuuzi sana aisee,watu wanaharibu maisha ya watoto wetu halafu tunyamaze,Ni mtu muovu sana wewe.
 
Mpuuzi ni wewe unayeleta kimbelembele kwenye mambo yasiyokuhusu au unataka na wewe ufIrwe ?
Yaani you are so evil kiasi kwamba unatetea uovu wa Disney uliopindukia tena bila aibu!

Na mimi sijitii kimbelembele,na narudia tena,haya mambo yananihusu 100%,na nitaendelea kupiga kelele.You pedophiles and homosexuals are evil and outcasts,na mnapaswa kuacha uovu wenu mara moja.You are a disgrace to your families,community and nation.Shame on you.
 
Unahamu ya kuingiziwa na wewe muhogo makalioni sio ? , Pvmbavu deal na yanayokuhusu . Kilaza mmoja we
Hata hamuoni aibu kutetea ushenzi wenu,shame on you.Mashetani kabisa.You are so bankrupt morally.
 
Hali nyama ya Nguruwe ila anakunywa mchuzi wake tu
 
Uache kuangalia na Mpira wa Ulaya sasa ambapo wachezaji huwa wanavaa na viatu kabisa vya rangi za kutambua ushoga.
It's common sense,huwezi kutegemea pedophile,gay au lesbian akupe anything morally sound,if you cannot appreciate that logic,na wewe una shida,ndio maana huoni ubaya wa Disney.Ni vigumu mtu aliyezoea uovu kuona uvu.
 
Siwezi kukubali co-existence na mashoga.Kwanza hata kutamka hilo neno napata ukakasi.Na kwa jinsi unavyowatetea,na wewe lazima utakuwa mmoja wao.Jehanamu ya moto inakusubiri kama hukutubu.
Kwanini mkishindwa hoja mnaanza kuita watu mashoga? Mimi nina exposure ya kutosha so naheshimu uhuru wa mtu as long as hauniathiri. Sasa toka lini ukisema hilo unakua shoga?

Co-existence yenyewe si ndio hivi unatumia google ingawa Ina support ushoga. Kama sio unafiki ni nini? Kma hupendi co existence acha kuangalia EPL na kutumia google au kutumia windows maana zote hizo Zina support gay rights!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…