Kwa hiyo hizo taarifa zote kwenye post ni za uongo!Lakini mimi mbona nikiangalia Disney naona ushenzi mwingi sana.Lots of satanic symbols,witchcraft,sorcery,homosexual gestures you name it.Nadhani kuna shida ya ufahamu.
Finally,
kuna alot of deliberate satanic behaviour impertation by telepathic communication to viewers hasa watoto,infact this is the most serious part of Disney.Unashangaa mtoto kapata tabia za hovyo,lakini hujui kapata wapi,kumbe kapandikiziwa mapepo na Disney.Wazazi tujitahidi kujifunza mambo,tupo very uninformed about many issues which are important to ourselves,families and friends.Telepathic communications to humans by demons and even demon possession by watching satanic cartoons or films is real.