For those who believe Disney is the thing, think twice: It is a Pedophile and LBGT community

Kwa hiyo tuhame duniani,kwa sababu kuna waovu,hapana kwa kuwa hatuwezi.Ila kwa kuwa tunajua uovu sio mapenzi ya Mungu,lazima kila wakati tujaribu kuwarudisha walio kinyume na Mungu kwenye msitari,kwa kuwa dhambi ina cost:eternal death.Wala sio unafiki,ni moral duty.
 
Kwa hiyo tuhame duniani,kwa sababu kuna waovu,hapana kwa kuwa hatuwezi
Unapingana na Bible? Mungu mwenyewe atatuondoa ulimwenguni kabla ya dhiki kuu kwanini asituache Ili hao waovu waokoke kwanza?? Au kwanini alimtoa Nuhu na Lutu kabla hajaangamiza kizazi Cha wenye dhambi?

Uovu ulifika utimilifu there's is no saving Bali hukumu tu..... So unajiokoa ww na kizazi chako pekee.

So kimaandiko upo very wrong, maana unataka kupingana na mwenye dunia yake atakayewaondoa kabla ya utawala wa mpinga kristo!!

In fact hata baada ya miaka 1000 ya utawala wa Mungu hapa duniani atamruhusu shetani kudanganya 3/4 ya ulimwengu sasa kama Mungu mwenyewe anaruhusu uovu uenezwe na shetani ww ni nani uokoe huo ulimwengu? Kwamba Una uchungu kuliko atakayeruhusu dunia nzima idanganywe?
 
Nilikuwa na maana at this point in time.Najua tupo safarini na makao yetu ya kudumu ni Mbinguni.Ila sijui wewe ambaye unashabikia na kujengea mahekalu uovu.
 
Pepo litoke kwenye TV limwingie mtu?
😏😏😏😏
#YNWA
 
Pepo litoke kwenye TV limwingie mtu?
😏😏😏😏
#YNWA
Aisee,huo ndio ukweli.Pepo sio physical,kwa hiyo usidhani kwamba kwa kuwa wewe huwezi basi pepo nalo haliwezi,you are very misguided,linaweza.So what does this mean ukiangalia tamthilia ya ngono,pepo la ngono linakuingia nk.nk.So wakatazeni watoto wasiangalie tamthilia zenye maudhui ya ngono,violence na uovu wowote mwingine,it is dangerous for their moral values.Hizo tunaziita daraja za mapepo kuweza kupita na kumuingia mtu.What makes humanity evil:TV,the internet etc.
 
That's Why nikashauri maadam family Yako au ww haudhuriki then jifunze tu coexistence nao kma tu mnavyoishi na wauza uchi, wagonjwa wa ukimwi or any other thing unachoona hakifai duniani n.k.

Atakuelewa pale atakapohitaji kufanya hivo,, but umemueleza very Clear...

Hii Dunia kuna vitu vinatokea na hakuna jambo atafanya kuvizuia visitokee... La maana na msingi ni yeye kusaidia kizazi chake kisikutwe na hayo madhila.

Kwasasa makampuni ya magharibi almost yote yana support hayo matakataka,, Je tuache kutumia bidhaa zao??? Yaani tuache kutumia Google kwa sababu wanasapoti ushoga??

Ni kujilinda tu kadri ya mipaka yako inapoishia,,, unapoweza kubadilisha basi fanya hvo BUT huwezi ku change Dunia nzima.. Wenye hizo agenda walianza miaka mingi iliyopita so the roots are very Long
 
We ni kilaza mmoja hivi usiye na akili ,
 
We ni mpuuzi , Huna akili , Acha kutumia na Google bwege wewe
Hivi unajua wewe ndiye bwege,yaani una-connect vitu ambavyo havihusiani.Kwa hiyo kwa kuwa natumia Google,nivumilie uovu wanaofanya watu wa Google!!Hovyo kabisa.
 
Jikite kwenye bongo movies
 
50-50, halafu wakawaruhusu wanawake wakimbie kule Ukraine ila wakazuia wanaume wasiondoke
Au hii 50-50 haihusishi uhai
 
Zipo katuni nzuri tu Kwa watoto kikubwa usimamizi
Ni kutojua tu mambo,lakini hakuna cartoon nzuri,zote zina evil agenda.Mzoeshe mtoto wako channel za wanyama,akishazipenda ume-win.Nini ma-cartoon hayoo!
 
Mtoto wa nzi endelea kula uchafu ukue
Unawashwa sana mkundyuni we jamaaaa. Peleka ushoga wako huko .... Mda wote unawazaga Urusi. Qumer unatafuta bwana Kwa nguvu sana
 
Haki za mashoga, wanawake,watu weusi zinaenda pamoja, kuna wenzako kama wewe wanaamini kumpa haki mwanamke au mtu mweusi ni kueneza ushenzi pia, usitake haki upande wako tuu angalia na wengine ( i assume wewe ni mweusi)
 
Haki za mashoga, wanawake,watu weusi zinaenda pamoja, kuna wenzako kama wewe wanaamini kumpa haki mwanamke au mtu mweusi ni kueneza ushenzi pia, usitake haki upande wako tuu angalia na wengine ( i assume wewe ni mweusi)
Mkuu kama binadamu tuna moral values ambazo zinakubalika,ila tukienda hivyo tutahalalisha kila kitu,na nadhani tukifika huko hatutakuwa binadamu tena,but worse than animals.Infact even now we are worse than animals,kwa kuwa wanyama kwa mfano hawalawitiani,lakini binadamu wanalawitiana.Shameful indeed.

Mwisho naomba uelewe kwamba tabia hizo zina ambukiza,so tukiacha tabia hizo unchecked,hatimaye kila mtu atakuwa homosexual,na sidhani kama tunataka tufike huko kama jamii.
 
Boss maswala ya wao kulawitiana hayatuhusu ni mambo ya vyumbani kwao, na sijui kama unaelewa hao jamaa wanapigania haki gani, hivi unajua before movement yao ya kudai haki watu walikuwa wanawanyima kazi kwa sababu tuu ni mashoga? wengine walikuwa wanatukanwa mitaani na kudhihakiwa waziwazi au kunyimwa huduma kama wengine, watu weusi walikuwa wanafanyiwa hayo mambo kabla ya civil rights movements, nafikiri as human ni vizuri kuwa na decency kwa watu wengine bila kujali rangi yao au ushoga, huo ushoga watajibu kwa mungu wao sio kwetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…