Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu sasa ushamba na uropokaji.
vitishoAs a result, some board members are willing to go public on these matters, something that would not be in the best interest of HCL, New HCL or anybody associated with the companies.
ukicheza na fisadi lazima akufisadi...That, refusal to regularize the situation at HCL is an attempt to avoid payment of Tshs. 100 million, as consideration to the old HCL board members, as per contract between HCL and Isenegeja, in the formation of New HCL.
anatamba ana helaAnd even if this communication does not enlist any kind of action, I can assure you that I definitely will still survive, in fact comfortably.
kumbe hana hela na analia njaaThat everybody of you is comfortable and some few of us are struggling to make ends meet, speaks volumes about our friendships and how we help each other as friends.
kumbe TZ ni keki?? na kawaida ya keki usipoalikwa huwezi kuila...[FONT=Times New Roman,Times New Roman][FONT=Times New Roman,Times New Roman]do not deserve some part of the cake[/FONT][/FONT]?
ukijitegemea utawanyenyekea vipi si utaacha kuwa mtumwa waoEven if you found the idea of helping us become independent unattractive and costly, you could at least have looked for a way to accommodate us in some positions within the new Government whose struggle to get into power we so painfully supported and for so long.
vitisho
ukicheza na fisadi lazima akufisadi...
anatamba
analia njaa
ukijitegemea utawanyenyekea vipi si utaacha kuwa mtumwa wao
ndio maana wakina makamba kila siku wanarudi kulia njaa kwao halafu wanapewa kiduchu wanaambiwa nenda
salva alimtolea uvivu inaonekana jamaa ni muwoga wa kugombana na watu wanaomjua
mbona sijawahi kuona humu mkijadili kuhusu kiswahili kibovu??? acheni kujitia walinzi au viranja wa lugha za wenzenu wakati lugha yenu mnayo.
Kiswahili kibovu kinararuriwa kila siku.Hata kama kingekuwa hakiraruriwi, two wrongs do not make a right.Kosa ni kosa, hata kama likiwa limeachiwa kwingine.Huwezi kuua mtu halafu ukaleta defence ya kusema mbona fulani naye aliua na hajafanywa kitu.That is a really weak argument.
Tetezi kama hizi zinazoletwa na anti-intellectualism apologists wanaowalea hao incompetents, at the same time wakiipeleka nchi vibaya mnapiga kelele.
Kuhoji kiingereza hapa kuna kazi kubwa mbili.
1.Kunaweza kui-expose hii barua kama a fake, kama kweli Salva ni muandishi mzuri, anayejua kiingereza vizuri, na watu wanaweza kujua standard yake ya kiingereza kutoka kwenye articles zake, then tunaweza kulinganisha kiingereza cha Salva katika articles zake na hiki kiingereza hapa tukapata a reasonable picture kwamba hii barua inaweza kuwa imeandikwa na Salva au la.
2.Kuhoji kiingereza kunaonyesha jinsi nchi yetu ilivyo na tatizo la lugha, kwamba mpaka waandiashi wa habari mahiri (au wenzao wanaotaka kuwa impersonate) hawajui kiingereza inaonyesha tatizo ni kubwa kiasi gani.
Kuna sababu chache za kutetea incompetency hii.
1.Mtetezi hajui makosa yaliyofanyika na kwa hiyo hana jinsi ya kuelewa umuhimu wa makosa haya, na pengine baya kuliko yote hana udadisi wa kutaka kujua, anaona wanaofuatilia lugha ni vifimbocheza wasio na mada.Zaidi ya yote anaweza kuwa hapendi ukosoaji lugha kwa sababu ana udhaifu katika lugha, na mtu yeyote anayekosoa lugha anakuwa kama anamnyooshea kidole yeye na kumkosoa yeye pia. "Kama siwezi kuona makosa haya ina maana mimi na muandishi huyu tuko sawa na anachokosolewa na mimi naweza kuwa nacho".Tukubali kukosolewa, ndiyo kujifunza.
2.Mtetezi ana uzalendo wa kijinga na reverse inferiority compex, anaona kukosoa kiingereza ni kutaka kujifanya muingereza au kutukuza uingereza, kwa hiyo hataki kuzungumza kuhusu kuboresha kiingereza.
3.Hoja potofu kwamba lugha si muhimu, almuradi mtu anaeleweka.Hoja hii ni potofu kwa sababu ili kueleweka kwa uhakika tunahitaji kutumia lugha sahihi.
Kwa ujumla, kusema "acheni kujitia walinzi au viranja wa lugha za wenzenu wakati lugha yenu mnayo" kunaonyesha huyu muandishi asivyoelewa sehemu ya lugha katika mawasiliano. Hatukuchagua Salva aandike Kiingereza, Salva amechagua hivyo, hatukutafsiri maandishi ya Salva yaliyoandikwa kiswahili kwenda kiingereza na kukirarua kiingereza hicho, Salva mwenyewe kaandika kiingereza kilichopinda ambacho kiko chini ya standards zinazotakiwa
RA anawaweka watu wengi sana hapo mjini...huyu ni kama Osama, kichwa chao. Pengine bila kichwa....
Dilungaaa
........Unakumbuka Kagoda?
Kikwete atakuwa amejifunza mawili matatu. Miaka miwili ya mwanzo alikuwa analipa fadhila, anasema "liwa ule," nikune mgongo nikukune wa kwako. Kunana-kunana hizi sometimes mikono inaenda beyond migongo n.k., ndio yanatokea ma skandali ya billioni 133, na hizi aibu za kuombeana kazi Ikulu kama ki-gang cha Sicily.
I wish angekuwepo prosecutor mwenye ujasiri wa ku subpoena rekodi za haya ma conversation ya Rais na fisadi tusikilize Rostam anavyotongoza watu kwenye simu za Ikulu.
Mie sishangai kabisa. Huyu Salva ni opportunist na juzi juzi baada ya kufanikiwa kupewa kazi na Rostam hapo Ikulu alikuwa anahaha kumsaidia rafiki yake Gideon Shoo ili awe mkurugenzi wa habari MAELEZO. Lakini bahati nzuri safari hii watu wa usalama wa taifa walifanya kazi yao vizuri wakampiga chini. Kazi ya MAELEZO sasa kapewa Clement Mshana wa TBC.
Kama hii barua ni kweli ya Rweyemamu na ilimfikia Rostam ina maana Rostam ana uwezo wa kumuunganishia kazi mtu akawe presidential spokesman, nimekoma na Rostam Aziz.
By the way, to be the devil's lawyer for a minute, kama ungekuwa ni wewe Kikwete halafu kina Rostam na kina Rweyemamu ndio hao waliku propell into power kama Salva anavyosema humo, ungefanya nini wakija wanaomba na kuombeana kazi, ungejifanya huwajui? Sijui kama Kikwete atapokea tena favor ya mtu uchaguzi wa 2010. Labda 2011 Rais Kikwete hatakuwa mfukoni mwa kina Rostam na CCM financiers wengine.
Naona pia Salva kamtukana Johnson Mwambo kwamba ni "ki-mbwa cha J.U." akimaanisha Jenerali Ulimwengu, maana Ulimwengu ndie kibosile pale Raia Mwema. Salva Rweyemamu mwana haramu, kama ni barua yake hii.
Nadhani hawakukosea waliomuita King Maker, anaweza hata kutengeneza na viking vidogovidogo.
Kudos ka-inzi