FORBES: 20 most dangerous place to live

FORBES: 20 most dangerous place to live

Eti ndugu jamaa na marafiki zako kadhaa [emoji23][emoji23][emoji23] hivi utaacha ukumbafu lini au unadanganya hapa kwa maslahi ya nani?
Embu tutajie hao nduguzo.
We PUNGUANI, nimesema madhira hayo tayari yameshawakumba ndugu, jamaa na marafiki zangu kadhaa. Unashindwaje kuelewa hapo boya wewe?
 
Kama syria na somalia haimo huo ni uongo
 
Imekuingia...ile siku utatekwa ndio utaelewa km hii dunia inazunguka...
Korosho na orodha ya nchi hatari zaidi kuishi duniani, vinahusianaje, au ndio kusema umebanwa kende, huna pa kukimbilia?
 
Lkn umeiamini sana...headquaters wazipeleke somalia basi...manake haimo kwenye list
Kwani hii orodha nimeitengeneza Mimi?, hao hao wanaosema sema imepiga hatua katika mazingira rahisi ya kuwezesha kufanya biashara, Leo wanasema Kenya si salama kwa maisha ya binadamu, yaani bure Kenya ingekua ni mbuga kubwa ya wanyama, na watu wote wakahamishiwa Tanzania.
 
Eti ndugu jamaa na marafiki zako kadhaa [emoji23][emoji23][emoji23] hivi utaacha ukumbafu lini au unadanganya hapa kwa maslahi ya nani?
Embu tutajie hao nduguzo.
Nidanganye ili iweje we MPUUZI? Yuko wapi Ben Saa Nane, Azory Gwanda na wengineo wanaojulikana na wananchi wengi? Hebu kaa kimya we sheitwani.
 
Umesema ni ndugu zako Jamaa na marafiki, niletee tafadhali hao ndugu zako jamaa na marafiki,
Unaambiwa usipite hapa wewe unapita si ukumbafu huo,
Tembelea hizo nchi zilizotolewa hapo juu alafu ukirudi anzisha uzi humu.
Nidanganye ili iweje we MPUUZI? Yuko wapi Ben Saa Nane, Azory Gwanda na wengineo wanaojulikana na wananchi wengi? Hebu kaa kimya we sheitwani.
 
Four African Countries
1. South Africa [emoji1221]
2. Nigeria [emoji1184]
3. Kenya [emoji1139]
4. Egypt [emoji1093]
South Africa - Biggest economy in Southern Africa
Nigeria - Biggest Economy in western Africa
Kenya - Biggest economy in Eastern Africa
Egypt - Biggest Economy in Northern Africa


-------Hii list ni kupangwa imepangwa ama ni coinciddence tu???? Somalia iko wapi? DRC congo je? Na South Sudan? What about Sudan, na Libya je, alafu Mali nayo??? Ama labda ni hao expatriets hawapatikani huko wamejazana nchi hizo nne ulizotaja ndio maaana kwa survey hao wanaoishi hizo nchi ndo walikua wengi kujibu??
 
Eti mtanzania anataja wazungu kenya wakati ule uzi ulipofunguliwa mlikimbiana...
Staajabu kwanza ya wahindi na waarabu wa kwenu...jiulize kwnn uchumi wa tanzania unashikiliwa na watu km kumi hv
Hatuongelei uchumi, tatizo wakenya hudhani hela ni kila kitu
 
We mwehu hzo inchi ni vita zao wenyew kwa wenyew wageni ama watalii hawaguswi kama nchi za kwenye hyo orodha
South Africa - Biggest economy in Southern Africa
Nigeria - Biggest Economy in western Africa
Kenya - Biggest economy in Eastern Africa
Egypt - Biggest Economy in Northern Africa


-------Hii list ni kupangwa imepangwa ama ni coinciddence tu???? Somalia iko wapi? DRC congo je? Na South Sudan? What about Sudan, na Libya je, alafu Mali nayo??? Ama labda ni hao expatriets hawapatikani huko wamejazana nchi hizo nne ulizotaja ndio maaana kwa survey hao wanaoishi hizo nchi ndo walikua wengi kujibu??
 
Syria machafuko yamesababishwa na vita
Kwa hiyo nchi ni salama kwa sababu machafuko yamesababishwa na vita?

Machafuko yaliyosababishwa na vita hayaui?
 
We PUNGUANI, nimesema madhira hayo tayari yameshawakumba ndugu, jamaa na marafiki zangu kadhaa. Unashindwaje kuelewa hapo boya wewe?
Hao ndugu jamaa na marafiki zako wameuliwa?
 
South Africa - Biggest economy in Southern Africa
Nigeria - Biggest Economy in western Africa
Kenya - Biggest economy in Eastern Africa
Egypt - Biggest Economy in Northern Africa


-------Hii list ni kupangwa imepangwa ama ni coinciddence tu???? Somalia iko wapi? DRC congo je? Na South Sudan? What about Sudan, na Libya je, alafu Mali nayo??? Ama labda ni hao expatriets hawapatikani huko wamejazana nchi hizo nne ulizotaja ndio maaana kwa survey hao wanaoishi hizo nchi ndo walikua wengi kujibu??
Achana na nchi zilosababishiwa machafuko na vita, hao ni Forbes wanaosemaga Kenya mna uchumi mkubwa, naona unawapangia Leo nchi za kuwepo hapo badala ya Kenya. [emoji23]
 
Back
Top Bottom