Jimbi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2010
- 4,444
- 4,967
We PUNGUANI, nimesema madhira hayo tayari yameshawakumba ndugu, jamaa na marafiki zangu kadhaa. Unashindwaje kuelewa hapo boya wewe?We ushawahi kutekwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We PUNGUANI, nimesema madhira hayo tayari yameshawakumba ndugu, jamaa na marafiki zangu kadhaa. Unashindwaje kuelewa hapo boya wewe?We ushawahi kutekwa?
We PUNGUANI, nimesema madhira hayo tayari yameshawakumba ndugu, jamaa na marafiki zangu kadhaa. Unashindwaje kuelewa hapo boya wewe?
Korosho na orodha ya nchi hatari zaidi kuishi duniani, vinahusianaje, au ndio kusema umebanwa kende, huna pa kukimbilia?
Kwani hii orodha nimeitengeneza Mimi?, hao hao wanaosema sema imepiga hatua katika mazingira rahisi ya kuwezesha kufanya biashara, Leo wanasema Kenya si salama kwa maisha ya binadamu, yaani bure Kenya ingekua ni mbuga kubwa ya wanyama, na watu wote wakahamishiwa Tanzania.
Hahahaha hivi umeelewa hata hapo au umeleta tu hapa,
Au kuna ubaya wafanyabiashara wakinunua kama kawaida.
Nidanganye ili iweje we MPUUZI? Yuko wapi Ben Saa Nane, Azory Gwanda na wengineo wanaojulikana na wananchi wengi? Hebu kaa kimya we sheitwani.Eti ndugu jamaa na marafiki zako kadhaa [emoji23][emoji23][emoji23] hivi utaacha ukumbafu lini au unadanganya hapa kwa maslahi ya nani?
Embu tutajie hao nduguzo.
Nidanganye ili iweje we MPUUZI? Yuko wapi Ben Saa Nane, Azory Gwanda na wengineo wanaojulikana na wananchi wengi? Hebu kaa kimya we sheitwani.
Wazungu bwana eti USA ni 16 pamoja na fujo zoteView attachment 1200588
South Africa - Biggest economy in Southern AfricaFour African Countries
1. South Africa [emoji1221]
2. Nigeria [emoji1184]
3. Kenya [emoji1139]
4. Egypt [emoji1093]
Hatuongelei uchumi, tatizo wakenya hudhani hela ni kila kituEti mtanzania anataja wazungu kenya wakati ule uzi ulipofunguliwa mlikimbiana...
Staajabu kwanza ya wahindi na waarabu wa kwenu...jiulize kwnn uchumi wa tanzania unashikiliwa na watu km kumi hv
We PUNGUANI, nimesema madhira hayo tayari yameshawakumba ndugu, jamaa na marafiki zangu kadhaa. Unashindwaje kuelewa hapo boya wewe?
Syria machafuko yamesababishwa na vitaSyria imekosaje kuwemo kwenye hii list?
Jamaica 🇯🇲 haipo??? List fake hiyo...Wazungu bwana eti USA ni 16 pamoja na fujo zoteView attachment 1200588
South Africa - Biggest economy in Southern Africa
Nigeria - Biggest Economy in western Africa
Kenya - Biggest economy in Eastern Africa
Egypt - Biggest Economy in Northern Africa
-------Hii list ni kupangwa imepangwa ama ni coinciddence tu???? Somalia iko wapi? DRC congo je? Na South Sudan? What about Sudan, na Libya je, alafu Mali nayo??? Ama labda ni hao expatriets hawapatikani huko wamejazana nchi hizo nne ulizotaja ndio maaana kwa survey hao wanaoishi hizo nchi ndo walikua wengi kujibu??
Kwa hiyo nchi ni salama kwa sababu machafuko yamesababishwa na vita?Syria machafuko yamesababishwa na vita
Hao ndugu jamaa na marafiki zako wameuliwa?We PUNGUANI, nimesema madhira hayo tayari yameshawakumba ndugu, jamaa na marafiki zangu kadhaa. Unashindwaje kuelewa hapo boya wewe?
Achana na nchi zilosababishiwa machafuko na vita, hao ni Forbes wanaosemaga Kenya mna uchumi mkubwa, naona unawapangia Leo nchi za kuwepo hapo badala ya Kenya. [emoji23]South Africa - Biggest economy in Southern Africa
Nigeria - Biggest Economy in western Africa
Kenya - Biggest economy in Eastern Africa
Egypt - Biggest Economy in Northern Africa
-------Hii list ni kupangwa imepangwa ama ni coinciddence tu???? Somalia iko wapi? DRC congo je? Na South Sudan? What about Sudan, na Libya je, alafu Mali nayo??? Ama labda ni hao expatriets hawapatikani huko wamejazana nchi hizo nne ulizotaja ndio maaana kwa survey hao wanaoishi hizo nchi ndo walikua wengi kujibu??
Daah hahahahahahh ahah bro we nyokko!!!!Kapambane na walioandaa hiyo list, hamkawii kusema ni takwimu feki za ccm.