Mbaga Lazaro
Senior Member
- Aug 9, 2020
- 132
- 108
- Thread starter
- #21
Jamaa wako gud kiukweli.Ila wasanii wa Nigeria Wana hela Sana jamani,duh!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa wako gud kiukweli.Ila wasanii wa Nigeria Wana hela Sana jamani,duh!
Jamaa wako gud kiukweli.Ila wasanii wa Nigeria Wana hela Sana jamani,duh!
hawawezekani kwa ndumba hao ndugu zangu
wako vizuri Hawa jamaa kwao hii ni sayansi Kama sayansi nyinginehawawezekani kwa ndumba hao ndugu zangu
Kwa Hawa jamaa kawa mpole😆Huyu Simba wa majini hayupo kwenye list hii?
Hahahaaa itakuwa wanajipakulia nyama Nini😁Chanzo cha hii habari ni wapi?
Weka link.
Ksh. ??!...hii list itakuwa ya mchongo.
Nyang'au huwa hawaoni lolote jema huku bongo.
😆🙌Uchawi gani wakati mpaka tandale watu wanaijua buga 😀
😁Kwenye zile timu mbili hakuna iliyong'aa, muache kutupigia makelele
Hawa jamaa na ile pidgin ni shiiida wameshindikana
🤣🤸Utasikia Google me
Watakuambia list ya mchongo machawa utawaweza wale😅Chawa wa dabluyusibii wako wapi????
Boss wao hatumuoni huku
Hahahaa chibu "d"Bila Toto la tandale orodha ni batili
list batili au 🤣🤣Huyu Simba wa majini hayupo kwenye list hii?
Ndyo batili hiiilist batili au 🤣🤣