exalioth
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 2,263
- 3,897
Ety tilioni ishirini,Mkuu hiyo no. 4 ulichokiandika ulipitia vizuri kweli kabĺa ya kupost!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ety tilioni ishirini,Mkuu hiyo no. 4 ulichokiandika ulipitia vizuri kweli kabĺa ya kupost!?
KajichanganyaViande wengi humu title unazungumzia ubora content unazungumzia utajiri. Sasa Yosor Ndour ni mtu kwenye viwango vya ubora muziki wa sasa? Wewe zungumzia utajiri sio ubora!
Umetisha Sanaa[emoji16][emoji16][emoji16]Huyo hawajamuhesabu kwasababu tayari yupo kwenye list ya sensa
Walishawah kukuloga?hawawezekani kwa ndumba hao ndugu zangu
Hapo kwenye ksh ndo kaniacha Hoi[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Chanzo cha hii habari ni wapi?
Weka link.
Ksh. ??!...hii list itakuwa ya mchongo.
Nyang'au huwa hawaoni lolote jema huku bongo.
Nasikia kakata rufaaKwa Hawa jamaa kawa mpole[emoji38]
Naona kama ni ya wanaijelia tu[emoji3][emoji3]Simba wa mujini daslam kanunua ndege atakosaje kwenye hii list? Au hii list ya michongo?
Anahujumiwa nn😆Domokaya chaliiiiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Twaisubiria list mkuuHuyo Akon angeondolewa hapo. Amekosa uhalisia wa kuwepo kwenye list. Hata Yousu Ndour naye angeondolewa tu maana miaka yote ni yeye na hakuna dalili za kuachia hiyo namba. Waliobaki wapo kihalali. Nitakuja na kumi bora ya wasanii wanaodhaniwa kuwa na hela huku kiuhalisia hawana utajiri unaotajwa kwamba wanamiliki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anahujumiwa nn[emoji38]