Force Account: hata Kipanya anajua madudu!



Sasa hata Kipanya na wananchi wameanza kuielewa Force Account na madudu yake.
Serikali ifanye Technical Audit kwa hii miradi kabla haijabomoka yenyewe.
NB
MODS naomba msiiweke kapuni sredi hii. Fedha nyingi za serikali zimeteketea na walioipigia debe Force Account wawajibike.
Fedha hizi ni kodi zetu na tozo tunazokatwa.
 
Pamoja na kwamba force account yaweza kuwa kuwa na dosari ktk baadhi ya maeneo, haiondoi ukweli kuwa utaratibu huu umekuwa na mafanikio ukilinganisha na utaratibu wa awali maana hata nikiangalia majengo yaliyojengwa kipindi cha nyuma kabla ya force account ni mabovu tena kwa gharama kubwa Sana.

Dosari ktk force account ipo kwa wahandisi wa wilaya/ manispaa.

Wengi wao hawatoi ushirikiano wa kitaalam na usimamizi kwa mafundi.

Mradi ukielekezwa sehemu wahandisi wengi wa manispaa/wilaya wanashindwa kwenda hata site, na pia hata kutoa michoro inayoendana na site. Zaidi ni kukopi na kupaste na keisha kukaa tu.
 
Pamoja na kwamba force account yaweza kuwa kuwa na dosari ktk baadhi ya maeneo, haiondoi ukweli kuwa utaratibu huu umekuwa...
Una tatizo la wanasiasa weni.

Cheap project inception and construction and expecting the best results at no cost.

Pole!
 
Kuna nini kinaendelea tena katika hii nchi? Ghafla kuna neno jipya [emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…