FORD FOUNDATIONISM OF AFRICA

FORD FOUNDATIONISM OF AFRICA

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
  1. Ford Foundation ilimpa Fr. Kitima hela akahonga viongozi wa dini laki tano kila siku kwenye semina za elimu ya uraia mwaka 2020;
  2. Ford Foundation inampa hela Maria Sarungi kueneza uzushi kwenye mitandao;
  3. Ford Foundation imelalamikiwa Kenya na rais Ruto kwa kuandaa maandamano ya GEN-Z
  4. ......... ONGEZEA
 
  1. Ford Foundation ilimpa Fer. Kitima hela akahonga viongozi wa dini laki tano kila siku kwenye semina za elimu ya uraia mwaka 2020;
  2. Ford Foundation inampa hela Maria Sarungi kueneza uzushi kwenye mitandao;
  3. Ford Foundation imelalamikiwa Kenya na rais Ruto kwa kuandaa maandamano ya GEN-Z
  4. ......... ONGEZEA
Ford ndio imeuza bandari, ford ndio inateka watu na kuua, ford ndio inabaka na kulawiti watu.
 
  1. Ford Foundation ilimpa Fer. Kitima hela akahonga viongozi wa dini laki tano kila siku kwenye semina za elimu ya uraia mwaka 2020;
  2. Ford Foundation inampa hela Maria Sarungi kueneza uzushi kwenye mitandao;
  3. Ford Foundation imelalamikiwa Kenya na rais Ruto kwa kuandaa maandamano ya GEN-Z
  4. ......... ONGEZEA
Huu ni ujinga kweli sababu hujaeleza chanza cha hii taarifa yako.
 
4. FORD imepanga kuwahamisha Wamasai Ngorongoro.

5. FORD waliwapiga viongozi wa Chadema kule Mbeya.

6. FORD imepandisha tozo za miamala ya simu na umeme.

7. FORD...
 
Ford ?!!

Vipi kuhusu yule mwanasheria wa kimarekani Laurel ambaye alihitimu chuo kikuu 2022...na akaandika chapisho kuiponda Tanzania ile February 2022?!?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Huu ni ujinga kweli sababu hujaeleza chanza cha hii taarifa yako.
 
1724428410524.png
 
4. FORD imepanga kuwahamisha Wamasai Ngorongoro.

5. FORD waliwapiga viongozi wa Chadema kule Mbeya.

6. FORD imepandisha tozo za miamala ya simu na umeme.

7. FORD...
1724428492404.png
 
  1. Ford Foundation ilimpa Fr. Kitima hela akahonga viongozi wa dini laki tano kila siku kwenye semina za elimu ya uraia mwaka 2020;
  2. Ford Foundation inampa hela Maria Sarungi kueneza uzushi kwenye mitandao;
  3. Ford Foundation imelalamikiwa Kenya na rais Ruto kwa kuandaa maandamano ya GEN-Z
  4. ......... ONGEZEA
Ni inajihusisha na nini io ford foundation
 
Ni inajihusisha na nini io ford foundation
The Ford Foundation is an American private foundation with the stated goal of advancing human welfare. Created in 1936 by Edsel Ford and his father Henry Ford, it was originally funded by a $25,000 gift from Edsel Ford.
 
Back
Top Bottom