Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Si mlisema enzi zile za Magu tena mmerudi😆
Mnayakoroga wenyewe mnatafuta pa kujificha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si mlisema enzi zile za Magu tena mmerudi😆
Ford ndio imeleta DP world, ford ndio hao wanaolipa askari na wanajeshi mishahara kidogo, ford ndio haohao wanaiba kura kwenye uchaguzi, ford ndio hao hao nafasi za ukuu wa wilaya, ukurugenzi wanateua watoto wa viongozi wenzao, ford ndio hao wameuza madini ya uchimbaji bila faida, ford ndio hao wanazunguka dunia nzima kuomba misaada wakati wana rasilimali kibao, ford ndio hao hao ambao wanakata umeme, ford ndio haohao hawamalizi barabara za mijini na vijijini, ford ndio haohao ambao kila ripoti ya CAG wamefisadi matrilion ya mapesa ya wananchi, hawa ford wabaya sana
- Ford Foundation ilimpa Fr. Kitima hela akahonga viongozi wa dini laki tano kila siku kwenye semina za elimu ya uraia mwaka 2020;
- Ford Foundation inampa hela Maria Sarungi kueneza uzushi kwenye mitandao;
- Ford Foundation imelalamikiwa Kenya na rais Ruto kwa kuandaa maandamano ya GEN-Z
- ......... ONGEZEA
Akikujibu niite mbwa.Ford ndio imeleta DP world, ford ndio hao wanaolipa askari na wanajeshi mishahara kidogo, ford ndio haohao wanaiba kura kwenye uchaguzi, ford ndio hao hao nafasi za ukuu wa wilaya, ukurugenzi wanateua watoto wa viongozi wenzao, ford ndio hao wameuza madini ya uchimbaji bila faida, ford ndio hao wanazunguka dunia nzima kuomba misaada wakati wana rasilimali kibao, ford ndio hao hao ambao wanakata umeme, ford ndio haohao hawamalizi barabara za mijini na vijijini, ford ndio haohao ambao kila ripoti ya CAG wamefisadi matrilion ya mapesa ya wananchi, hawa ford wabaya sana
Interesting, but ndugu mtoa post una ushahidi nazo? Some sort of evidence hata risiti za malipo ya hao watu?
- Ford Foundation ilimpa Fr. Kitima hela akahonga viongozi wa dini laki tano kila siku kwenye semina za elimu ya uraia mwaka 2020;
- Ford Foundation inampa hela Maria Sarungi kueneza uzushi kwenye mitandao;
- Ford Foundation imelalamikiwa Kenya na rais Ruto kwa kuandaa maandamano ya GEN-Z
- ......... ONGEZEA
[emoji1787][emoji1787]Yatamfuata tu
Waoh ExcellentThe Ford Foundation is an American private foundation with the stated goal of advancing human welfare. Created in 1936 by Edsel Ford and his father Henry Ford, it was originally funded by a $25,000 gift from Edsel Ford.