Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu swaliNje ya mada
mapoyoyo ya ccm mtazinduka akili zikiwa zimezeeka by the way ile ndege yenu ya kupeperusha bendera ya sensa mmeipeleka wapi kweli au hilo tukio limepita.Nijibu mara mbili?
Akili za kipimbi, Dowans kalipwa kodi zetu bl 300, badala ya kuhoji unakuja kukata mauno kwa michango ya hiyari,Kila mtanzania mwenye kulitakia mema taifa lake alichanga kidijitali ili Chadema wawe vizuri.
Sasa mbona wanalia kuwa wana magumu kiasi cha kutamani ruzuku kupitia mgongo wa Mdee na wenzake?
Yaani unateseka ya Nini? Si niuulize wanazipiga pesa za miradi kwenda mbele.Hadi za kuwekezea pini Kwa masikio ya Ngombe!!Kila mtanzania mwenye kulitakia mema taifa lake alichanga kidijitali ili Chadema wawe vizuri.
Sasa mbona wanalia kuwa wana magumu kiasi cha kutamani ruzuku kupitia mgongo wa Mdee na wenzake?
Wewe ni malaya wa kisiasa .Wewe ni CCM fedha za Chadema zinakuhusu ni nini?Kuna jinai ndogo na kubwa?
Wewee! Angaika na chama chako muflisi na chakavu, mambo ya CDM tuachie sisi wadau wake tuangaike nayo. Kama ufedhuli, ukatili, wizi na hujuma kubwa mliifanya na kufanikiwa katika uchafuzi wa 2019 na 2020, lakini bado kuongoza nchi na kutatua matatizo ya wananchi kumewashinda.Kila mtanzania mwenye kulitakia mema taifa lake alichanga kidijitali ili Chadema wawe vizuri.
Sasa mbona wanalia kuwa wana magumu kiasi cha kutamani ruzuku kupitia mgongo wa Mdee na wenzake?
Niliposoma heading nikadhani una hoja , na nilikuja na hesabu kamili kukuonyesha kitita kilichopatikana hadi leo saa 2 kamili usku ( kumbuka kwamba mpaka muda huu michango inaendelea kumiminika ) , lakini baada ya kusoma content nimekupuuza .Kila mtanzania mwenye kulitakia mema taifa lake alichanga kidijitali ili Chadema wawe vizuri.
Sasa mbona wanalia kuwa wana magumu kiasi cha kutamani ruzuku kupitia mgongo wa Mdee na wenzake?
Wakati wa kuchangia ulituuliza.?Kila mtanzania mwenye kulitakia mema taifa lake alichanga kidijitali ili Chadema wawe vizuri.
Sasa mbona wanalia kuwa wana magumu kiasi cha kutamani ruzuku kupitia mgongo wa Mdee na wenzake?
Wewe ni mpuuzi tu, hata kwenye kesi ya Sabaya umeonyesha kiwango chako cha ufahamu,Kuna jinai ndogo na kubwa?
ACHA UONGO KUWA NA SURA YA AIBUKila mtanzania mwenye kulitakia mema taifa lake alichanga kidijitali ili Chadema wawe vizuri.
Sasa mbona wanalia kuwa wana magumu kiasi cha kutamani ruzuku kupitia mgongo wa Mdee na wenzake?