Idugunde JF-Expert Member Joined May 21, 2020 Posts 6,404 Reaction score 6,969 Nov 5, 2022 Thread starter #21 mbari sa menya said: Wewe ni mpuuzi tu, hata kwenye kesi ya Sabaya umeonyesha kiwango chako cha ufahamu, Click to expand... Mbona aliachiwa huru?
mbari sa menya said: Wewe ni mpuuzi tu, hata kwenye kesi ya Sabaya umeonyesha kiwango chako cha ufahamu, Click to expand... Mbona aliachiwa huru?
H Hoaxer JF-Expert Member Joined Sep 7, 2022 Posts 2,726 Reaction score 6,852 Nov 5, 2022 #22 Idugunde said: Kila mtanzania mwenye kulitakia mema taifa lake alichanga kidijitali ili Chadema wawe vizuri. Sasa mbona wanalia kuwa wana magumu kiasi cha kutamani ruzuku kupitia mgongo wa Mdee na wenzake? Click to expand... Idugunde chawa wa CCM pesa za chadema zinakuhusu nini? Hangaika na hizi watendaji wa serikali ya CCM wanazowaibia wananchi. Soma ripoti ya mkaguzi mkuu uone hela ya umma inavyopigwa.
Idugunde said: Kila mtanzania mwenye kulitakia mema taifa lake alichanga kidijitali ili Chadema wawe vizuri. Sasa mbona wanalia kuwa wana magumu kiasi cha kutamani ruzuku kupitia mgongo wa Mdee na wenzake? Click to expand... Idugunde chawa wa CCM pesa za chadema zinakuhusu nini? Hangaika na hizi watendaji wa serikali ya CCM wanazowaibia wananchi. Soma ripoti ya mkaguzi mkuu uone hela ya umma inavyopigwa.
Chakaza JF-Expert Member Joined Mar 10, 2007 Posts 40,455 Reaction score 73,145 Nov 5, 2022 #23 Idugunde said: Kila mtanzania mwenye kulitakia mema taifa lake alichanga kidijitali ili Chadema wawe vizuri. Sasa mbona wanalia kuwa wana magumu kiasi cha kutamani ruzuku kupitia mgongo wa Mdee na wenzake? Click to expand... Pole! Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Idugunde said: Kila mtanzania mwenye kulitakia mema taifa lake alichanga kidijitali ili Chadema wawe vizuri. Sasa mbona wanalia kuwa wana magumu kiasi cha kutamani ruzuku kupitia mgongo wa Mdee na wenzake? Click to expand... Pole! Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
L LGF JF-Expert Member Joined Dec 6, 2020 Posts 1,407 Reaction score 790 Nov 6, 2022 #24 Idugunde said: Nje ya mada Click to expand... Ni maridhiano, ilikuwa auliwe na makomado 3 wa Mbowe.
MAPITO Mwanza JF-Expert Member Joined Aug 21, 2018 Posts 4,236 Reaction score 5,907 Nov 6, 2022 #25 Ushaingiza ugali mpaka hapo kama sio ufisadi hapo lumumba nini hiki kumbuka mnazolipwa kama posho ni Kodi zetu Walala puuuu
Ushaingiza ugali mpaka hapo kama sio ufisadi hapo lumumba nini hiki kumbuka mnazolipwa kama posho ni Kodi zetu Walala puuuu
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Nov 6, 2022 #26 Ngoja tuone...