Forensic audit ifanyike kujua michango ya Chadema ya kidijital imetumika vipi. Haiwezekani tuchange kidijital alafu wawe na magumu.

Kila mtanzania mwenye kulitakia mema taifa lake alichanga kidijitali ili Chadema wawe vizuri.

Sasa mbona wanalia kuwa wana magumu kiasi cha kutamani ruzuku kupitia mgongo wa Mdee na wenzake?
Idugunde chawa wa CCM pesa za chadema zinakuhusu nini?
Hangaika na hizi watendaji wa serikali ya CCM wanazowaibia wananchi. Soma ripoti ya mkaguzi mkuu uone hela ya umma inavyopigwa.
 
Ushaingiza ugali mpaka hapo kama sio ufisadi hapo lumumba nini hiki kumbuka mnazolipwa kama posho ni Kodi zetu Walala puuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…