Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I have tried to run a simulation with the little forensic science I know of bullet being shot in the air( thrust, speed, velocity and resistance to gravity) and upon its thrust upwards declining, it descends almost free fall (gravity of course)and then penetrates metal frame of the bus and blows someone’s head killing them.... what kind of Gun and bullet were these?
Logic thinking imekuwa disrupted for last 3-4 days kuuliza such question.... eti risasi ilipigwa juu...
Je forensics za crime scene, hilo basi na hata kuona bullet hole na trajectory zilifanywa? kisha Kamanda Mambosasa akatoa such "inconclusive" statement kuwa Akwilina ni mhanga wa risasi iliyopigwa juu na ambapo sasa kauli yake yenye muonekano wa kukosa umakini wa tathmini na uchunguzi wa Kipolisi inaturudisha kufanya umakini wa tukio na maelezo ya Kamanda Mambosasa?
Then why askari 6 wamewekwa ndani?
Tuliuliza vitu logic tunaitwa wachochezi...
Aha. Very interesting. So she was targeted!!!!!!!
Wewe hauna tofauti na mambosasa,unapoteza muda kwa kitu ambacho unatakiwa utumie utashi tu wa kawaida kama binadamu,samahani kama nitakuwa nimekukeraI have tried to run a simulation with the little forensic science I know of bullet being shot in the air( thrust, speed, velocity and resistance to gravity) and upon its thrust upwards declining, it descends almost free fall (gravity of course)and then penetrates metal frame of the bus and blows someone’s head killing them.... what kind of Gun and bullet were these?
Logic thinking imekuwa disrupted for last 3-4 days kuuliza such question.... eti risasi ilipigwa juu...
Je forensics za crime scene, hilo basi na hata kuona bullet hole na trajectory zilifanywa? kisha Kamanda Mambosasa akatoa such "inconclusive" statement kuwa Akwilina ni mhanga wa risasi iliyopigwa juu na ambapo sasa kauli yake yenye muonekano wa kukosa umakini wa tathmini na uchunguzi wa Kipolisi inaturudisha kufanya umakini wa tukio na maelezo ya Kamanda Mambosasa?
Then why askari 6 wamewekwa ndani?
Tuliuliza vitu logic tunaitwa wachochezi...
Mfumo unaweza kuwa ni yale yalio andikwa au yale tuyatendayo na tukaendelea kuyatenda kwa muda mrefu na baadhi ya watu wakaamini ndo mambo yanavyo takiwa kuwa. Haya yakileta mtafaruku yanatakiwa yashughulikiwe mara moja. Tumeona tabia ya NEC kutufikisha walipo tufikisha Kinondoni na tumeona au kusikia jinsi polisi walivyo handle hao waandamanaji mpaka yakatokea yaliyo tokea. Na hii sio mara ya kwanza-Morogoro, Iringa etc. Kwangu mimi mfumo unaotumika una matatizo-aliyechelewesha kutoa vibali vya utambulisho atakuambia yuko ndani ya sheria, polisi "watadeal" na wapiga risasi, lakini unajiuliza walipitia hatua gani hadi kufikia kutumia risasi, risasi zile zililengwa wapi (ingawa watu wanaongelea matokeo ya risasi moja ) walio umia kwa risasi ni wengi tu. Hivyo kamanda anaposema zimepigwa hewani unajiuliza walioumia kwa risasi wote walikuwa hewani ni dhahiri anadanganya. Nani wakuwajibishwa? Kwangu mimi tuna mifumo mibovu na isipofumuliwa huko mbele itatuletea majamnga makubwa zaidi.Ndugu, Hakuna Shida kwenye huo mfumo kama Utaratibu na Haki za kikatiba zingefuatwa; Pale Utaratibu/Sheria zilikiukwa NEC na Kwa Askari pia; Kuna Mifumo ya Kufumuliwa ile haina Shida kabisa kama watu wote wangefuata Utaratibu.
Point blank shot ni execution, ile haikuwa execution.Polisi walilenga na kudhamiria kuua. Huwezi kufanya kulenga point blank and then called it a stray bullet.
Ha ha ha ha aha nmeipenda hiiMambosasa's first law of motionView attachment 698878
HahahahhahaaaaaaHa ha ha ha aha nmeipenda hii
It states that "when the bullet is shoot in the air the probability of changing its direction its high if there is moving vehicle around the area"
Ha ha ha ha aha nmeipenda hii
It states that "when the bullet is shoot in the air the probability of changing its direction its high if there is moving vehicle around the area"
Na ukisoma gazeti la Mwananchi la j3 wameandika kwamba alipigwa na KITU CHENYE NCHA KALI. Yan inaonekna alishindwa kusema ni risasi. Hahahahaha. Hata kisu kina ncha kali.Juzi alibadili statement! Alisema waandamanaji wale waliokamatwa 40 yawezekana mmoja alikuwa na silaha na ndiye aliyepiga rusasi ikamuua Akwilina.
Aha. Very interesting. So she was targeted!!!!!!!