Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Mkuu hivyo vitabu vya Forex for dummies and Naked Forex naweza vipata duka gani kwa wewe mzoefu?
Vitabu vimeshawekwa humu vitafute uvipakue dukani ukatafute nini tena?
 
kila siku nimekuwa nikipitia huu uzi nikitegemea kutangazwa kwa siku ya kuanza kwa mafunzo
 
Mkuu hivyo vitabu vya Forex for dummies and Naked Forex naweza vipata duka gani kwa wewe mzoefu?
acha uvivu soma hii thread yote ina vtu vng sana vya muhim
kwa kukusaidia nenda pg 42 post ya 411
 
Mkuu mwanambugulu naomba unipatie link ya kitabu cha Naked Trading
 
Mkuu ONTARIO tunashukuru sana kwa darasa. Ila muhimu ukawaambia watu kwamba Forex Trading si biashara ya kila mtu, na kuna faida na hasara. Magwiji wa Forex hujitahidi ku mimimize loss ili kupata faida, ila ukiingia kichwakichwa itakufilisi.
 
God bless you brother
 
Mkuu ONTARIO tunashukuru sana kwa darasa. Ila muhimu ukawaambia watu kwamba Forex Trading si biashara ya kila mtu, na kuna faida na hasara. Magwiji wa Forex hujitahidi ku mimimize loss ili kupata faida, ila ukiingia kichwakichwa itakufilisi.

Mbona alisha toa tahadhari hata Na mfano halisi wake mwenyewe jinsi alivyo pata hasara? Au umeanzia kusoma kivivu hivyo unakwepa Za mwanzoni? Fanya walau sampling kabla hujaanza kushiriki kutuandikia.
Na kwa ufupi tu! Hakuna uwekezaji wowote ule unaolipa ambao hauna risk kubwa! Karibu sana.
 
Mkuu PHES nimemsoma toka mwanzo. Chagua maneno ya staha, maana hiyo comment haikukulenga wewe. Naamini Hutopungukiwa na kitu. Nami nikitumia maneno yasiyo hapa nitakuharibia siku.

Naamini kuna watu wameanza Fx miaka mingi sana. Mimi nimeanza miaka saba sasa. Najua wengi huwa na mihemko wakidhani FXtrading ni utajiri wa haraka. Kichwa cha thread kitafanya watu wasiwe na maamuzi sahihi. Hata ONTARIO pamoja na uzoefu wake, lazima anapata loss; lakini ana minimize loss kwa ku maximize gain/win kisha kuwa na net profit. Lakini onyo honest, Forex si utajiri wa haraka. Na pia si kila raia anapaswa kujiunga na Forex trading.

 

Mkuu tunashukuru kwa angalizo uzuri wewe sio wa kwanza kusema kuwa forex sio rahisi na ni risk, kuna wengine mpaka wamefungua kabisa thread.

Ahsante kwa kutuambia ukweli ila tunaomba uendelee kuwepo humu kutupa darasa na uzoefu wako wa miaka 7 maana tuna uhitaji.
 
Umeniwahi kumjibu
 
Wadau kuna hii app kwan
gu inasomeka go forex(sio jina halisi,ckumbuki jina halisi inaonyesha muda markets zinafunguliwa kwa timezone yetu,kwa wale tulioanza na demo acc tunaweza kutumia kujifunza muda masoko yanafunguliwa na kufungwa
 
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…