Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Mbona hujajibu message bosi nimekutumia. Weka na namba ya simu.. coz ushaamua kusaidia watanzania wnye uhitaji so malizia kutupatia namba ya simu ili tukucheki vzr
Hutaelewa hata akiweka number! Kama tu maagizo aliotoa hapa hujaelewa! Mambo ya forex yalivo complicated na ya kizungu utaelewa??? Au unapenda kusumbua watu tu mkuu?
 
Mkuu JembeNaNyundo asante kwa tahadhari unayotoa. Ni kweli inapaswa kwenda kwa tahadhari sana. Ila naomba nikuulize kwa nia njema tu. Unaposema si kila raia unamaanisha nini Kwa nia njema tu. Unaposema si kila raia kwa kweli sijakupata. Manake ninavyoelewa mimi mtu yoyote akijifunza chochote vizuri anaweza kukifanya kwa mafanikio. Please dadavua ujumbe wako ili wengi tunifaike. Again asante kwa ushauri.
 
Naomba kuniunga kwa hiyo group wadau Pls Naomba tujuzane kuhusu hii mambo ya forex 0766459969
 
ONTARIO contact zangu ni 0718 150152 naomba niunganishwe kwenye group kuhusu forex
 
mkuu Ontario naomba nami niwepo kwenye kundi la kwanza la watu 150,nashukuru vitabu CT FOR DUMMIES na NAKED FOREX vinanipa mwangaza na njia nzuri na pia najaribu demo naona mwanga japo nakutana na loss ajabu,,namba yangu 0718905491
 
Mkuu hujakapata tu?
 
Naitwa tito raia wa burundi naomba niunganishwe kwrnye group kama foregner namba yangu hii hapa 0755480759 but baada ya kusoma thread zako i real interestrd nakuja bongo kusubiri siku ya kuizindua rasmi please consider ombi langu.
 
Hatupo kwenye kampeni zenu za ccm, watu wanapata risk yakuzamia meli itakuwa kupoteza dola 300? Chama chenu hadi leo kina madeni wasanii hawajalipwa, shigongo katolewa nduki na 'baba' yake kinana out. Uchuro wa ccm hatuutaki humu.

Kama ni risk mkuu Onta ameziongelea sana na member wote humu wanajua.

Nendeni dodoma mnatuwekea kiwingu tu na uchuro wenu humu.
 
Ndugu JEMBE NA NYUNDO ,wakati unacomment na kutoa warning about this business,tayari tulikuwa tumefikia post zaidi ya 2000, na asilimia kubwa ya comments za wadau wengi wanatoa maonyo na kutahadharisha kuwa hii si biashara lelemama,hats Mtoa mada pia kasema toka mwanzo,tunachosisitiza ni kwamba TUMESOMA MAONI SASA YANATOSHA ,KILICHOBAKI NI KAZI TU- KAZI GANI - KUJISOMEA- KUJADILI- KUSUBIRI MAFUNZO DARASANI,Wewe Jembenyundo na wengine wenye comment kama zako mkiendelea na hoja wengine tunaweza kuamini kuwa MNA AJENDA NYINGINE YA SIRI YA KUWAKATIMISHA TAMAA WATU ILI MUBAKI WACHACHE KWENYE GAME( ingawa bado binafsi sitaki kuamini kuwepo kwa ajenda hiyo ya siri),Jembe tupe uzoefu wako kwenye biashara hii achana na negativity elements za biashara hii,HAKUNA KUNA RAHISI DUNIANI,HATA KUNYWA KINYWAJI PIA NI SHUNGHULI NGUMU.Hivi mnao katisha watu tamaa mnataka wafanye nini sasa? Tunaambiwa ,tunasoma na kuona kuwa biashara hii sasa ndiyo number one duniani,HADI JANA ,EAST AFRICA STATES KUNA TRAININGS INSTITUTIONS NA TRADING/BROKERS COMPANY except Burundi,South Sudan na Tanzania,.Wewe unataka tuendelee kusubiri,hivi Wewe inawezekana hatukuelewi UNATAKA TUFANYE NINI ?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…