Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Mkuu Bavaria account yangu ya Tshs naweza itumia kwa ku-deposit au ku-withdraw ela kutoka kwa broker?

Au lazima niwe na account ya dola au euro?

Je apart from FNB ni bank gani wako vizuri kwenye forex?
Account ya Tsh haina shida yeyote. Hela ikitoka au ikiingia inakuwa converted kwenda kwenye required currency.
Bank yeyote inayosupport online transactions.
 
aisee sasa hii spread inakua covered vipi? mana Risk management ni issue ya kwanza katika trading

Spread ni tofauti kati ya bei ya kununua na kuuza. Hizi bei haziwezi kuwa sawa. Kama spread ni 20 pips kwa mfano, Na wewe ukawa umenunua certain pair at certain time T, na assume market haijabadilika na bei zikawa zilezile za wakati unanunua at time T, Hapo ukiamua kuuza maana yaku utakuwa umeuza kwa hasara ya 20 pips. Ambazo hizi 20 pips ni faida ya broker kutokana na wewe kufanya biashara. Broker yeye anachukua commision yake mapema, so huko mbeleni hata ushinde ama uloose, yeye anakuwa ameshapata chake.

Njia pekee ya kukiepika hiki kiunzi ni kwa wewe kufanya analysis yako kwa umakini kabla ya kuingia katika biashara, ili ukiingia biashara ianze kwenda direction yako uliyoichagua wewe na hiyo difference in spread iwe cleared at first beginning.
 
Mkuu Bavaria account yangu ya Tshs naweza itumia kwa ku-deposit au ku-withdraw ela kutoka kwa broker?

Au lazima niwe na account ya dola au euro?

Je apart from FNB ni bank gani wako vizuri kwenye forex?

Hata ya shillingi kwa nnavyofahamu, sema ukifanya transaction ya dola, utakatwa shiling zako kutokana na exchange rate ya siku hiyo.

Kuhusu benki nyingine, BankABC kidogo wanajitahidi katika hizi issues za internett banking. Mimi nina kadi ya BankABC ambayo kabla nilikuwa naitumia kulipia/kununulia vitu toka mitandaoni na pia kupokelea malipo kadhaa toka nje ya nchi yaliyokuwa yakitumwa kwangu.
 
Itabidi nikawatafute maana FNB hapa nilipo hawana branch!!
 
Reactions: MC7
mkuu Ontario tunakusubiri wewe utoe go ahead kitu kipandishwe tufaidi wote...
 

Naamini HII SUALA LA ANALYSIS LINAHITAJI MENTOR Mana nimejaribu kuweza kuidentify Zones ila kuweka Suport Resistance inaniwia tatizo.

ILA NAAMINI NINAWEZA NAANZA NA CANLDESTICK KISHA SCALPING, nitamalizia na training ya ANTARIO mambo yataenda sawa.
 
Naamini HII SUALA LA ANALYSIS LINAHITAJI MENTOR Mana nimejaribu kuweza kuidentify Zones ila kuweka Suport Resistance inaniwia tatizo.

ILA NAAMINI NINAWEZA NAANZA NA CANLDESTICK KISHA SCALPING, nitamalizia na training ya ANTARIO mambo yataenda sawa.

Zones hizo hapo, kifupi ni eneo ambalo graph iligoma kuzidi kupanda(green lines) na kushindwa kuzidi kushuka (red lines)

 
Zones hizo hapo, kifupi ni eneo ambalo graph iligoma kuzidi kupanda(green lines) na kushindwa kuzidi kushuka (red lines)

Swala linakuja kwenye kuzifanyia kazi ndio hapo ninapozua mjadala
 
Zones hizo hapo, kifupi ni eneo ambalo graph iligoma kuzidi kupanda(green lines) na kushindwa kuzidi kushuka (red lines)

nilikua napitia notes, kuna chart zina zaidi ya zone moja katika line tofauti, na kuna ambazo zina line moja tu ila inaonyesha support na resistance tofauti.

sasa hizi zenye line tofauti kama yako ndio zinanipa wakati mgumu
 
Zones hizo hapo, kifupi ni eneo ambalo graph iligoma kuzidi kupanda(green lines) na kushindwa kuzidi kushuka (red lines)


kwa hiyo mkuu hapo kunakuwa na signal gan endapo graph itavuka au kugusa hizo zone (red n green)
 
Mkuu nilikua na swali hapo, kwamfano nimenunua, kwanza kwa uzoefu wako inaweza kuchukua mda gani hadi kupanda bei.. masaa, Siku au..? na pili ninaweza kukaa mda gani mpaka kuziuza tena.. Je kuna limit tyme..?
 
Ndio nimeliza chapter 1 Kitabu cha kwanza bado nipo chuo Mwka wa mwisho akinipiti chochote japo kuwa najiandaa na paper la mwisho .... Kwa Sehem nimejitaidi kuamasisha Wada apa chuo wamependa hii business wameanza kusoma vitabu na kufungua demo account pa 1 sana ONTARIO japokuwa hii mambo tunasoma kwenye INTERNATIONAL FINANCE semester hii talatibu nakuwa full nondo
 
nilikua napitia notes, kuna chart zina zaidi ya zone moja katika line tofauti, na kuna ambazo zina line moja tu ila inaonyesha support na resistance tofauti.

sasa hizi zenye line tofauti kama yako ndio zinanipa wakati mgumu

Hapo nilikuwa naangalia trend ya 1hour mkuu, ukiweka zaidi utakuwa support au resistance inaweza kuwa chini au juu zaidi.

Matumizi ya hizi ni kukusaidia kwenye kuweka order yaani buy stop/sell stop na Buy limit/sell limit Kama ikitokea ghraph ime break resistance au support level na kufanya speculation ya at what level graph itaanza kushuka(resistance level) au kupanda (support level)
 
nilikua napitia notes, kuna chart zina zaidi ya zone moja katika line tofauti, na kuna ambazo zina line moja tu ila inaonyesha support na resistance tofauti.

sasa hizi zenye line tofauti kama yako ndio zinanipa wakati mgumu
Very very simple.
Ingia youtube andika how to know support and resistance zones?
Utapata tutorials za kufa mtu.
 
Mkuu nilikua na swali hapo, kwamfano nimenunua, kwanza kwa uzoefu wako inaweza kuchukua mda gani hadi kupanda bei.. masaa, Siku au..? na pili ninaweza kukaa mda gani mpaka kuziuza tena.. Je kuna limit tyme..?

Aisee kwa hili nikwambje tuu hakuna muda maalumu wa kusubria. Bei inaweza panda ama kushuka muda wowote ule toka ufanye biashara.
So kujua ni muda gani utakaa long ama short inategemea na strategy yako kama wewe ni short term ama long term trader
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…