Andaa milioni 2 cash mkuu.naitaka hyo nafasi ya watu 300 my number 0744785898
2m 😕Andaa milioni 2 cash mkuu.
Kama huna soma uzi upya utaelewa kuhusu hizo nafasi.
Kuna option. Rahisi sana,2m 😕
Samahan mkuu, naomba kukusumbua kidgo, huyo zamanizaman n biashara gani anaongelea, au post yake n post namba ngap, nimeitafute wee sijaionamkuu unaingiza zaidi ya milioni nne kwenye giza...
click kwenye mshale unaoelekea juu uliopo post niliyo quote..itakupeleka unapotakaSamahan mkuu, naomba kukusumbua kidgo, huyo zamanizaman n biashara gani anaongelea, au post yake n post namba ngap, nimeitafute wee sijaiona
Kitakuandaa kisaikolojia zaidi ndo maana nakwambia anza na part 3 ndo uje part 1 then 2.Aisee hiki kitabu naked FOREX mbona kigumu sanaa. Nakumbuka uliki recommend... kipo tight n tofaut na vitabu vingine nilivyosomaa duhhhhh.
Umesoma vitabu kweli?Bavaria hivi ni Muda gani mzuri wa kununua?na Muda gani mzuri wa kuuza?
Yaan hiki kitabu hakiamin kbsaa mambo ya indicator.. wakat me nmemeza indicator kibao.. sasa inanibid nizifute kichwaniKitakuandaa kisaikolojia zaidi ndo maana nakwambia anza na part 3 ndo uje part 1 then 2.
kazi ipo humu ndani mmmhBavaria hivi ni Muda gani mzuri wa kununua?na Muda gani mzuri wa kuuza?
Nope nimesoma kitabu na sijamaliza badoUmesoma vitabu kweli?
Ungesoma kitabu vizuri ungepata jibu lako..
Njia gani nzuri ya kusoma kitabu,kukisoma kitabu chote then nifanye Kwa vitendo au nisome Kwa vitendo..Ungesoma kitabu vizuri ungepata jibu lako..
Kwanini uzifute?Yaan hiki kitabu hakiamin kbsaa mambo ya indicator.. wakat me nmemeza indicator kibao.. sasa inanibid nizifute kichwani
Uwe umefungua MT4 yako pembeni.Njia gani nzuri ya kusoma kitabu,kukisoma kitabu chote then nifanye Kwa vitendo au nisome Kwa vitendo..
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Hapo unauza GBP na kununua USDJe kwa indicators hizi, Current trend ya GBP/USD, Je ni muda sahihi wa kusema unananunua GBP/USD pair.?
View attachment 524359
CC: Ontario, Bavaria.
Asante BAVARIA,nitajitaidi kufata hiyo mbinu na Nakuhaidi nitakuwa Bora katika FOREX,na NAOMBA PIA KWA WADAU WENGINE WENYE UELEWA MPANA msisite kutoa mbinu nzuri za kuweza kuelewa hii BIASHARA tusiwe wachoyo,ONTARIO angeweza kukaa na Ukweli aliouweka Wazi kuhusu biashara Hii ila Kwa kuwa sio Mchoyo AmEanzisha Uzi WENYE Faida ulionipelekea KUTHUBUTU KU RISK AJIRA YANGU..Hata mm nilitoka kama nikivyoingia ila nikarudi nikasoma tena Uzi na comments kadhaa...nikaanza kupata mwanga...nimeanza kusoma Currency trading for dummies napata mwanga zaidi.
Komaa Mkuu soma soma soma...unajua sisi ambao hatukusoma masomo ya Biashara itakuwa ngumu sana kugrasp mapema hii ishu ila ukikomaa kinaeleweka mbonaaaa.
Be Blessed kiongozi nilikua zinanipa tabu sasa hapa knowladge imekuja
bado detailed Scalping
Uwe umefungua MT4 yako pembeni.
Ukisoma kitu unakijaribu kuangalia kama unakiona au kukifanyia kazi..
Ukisoma chote ukifungua MT4 yako utakuwa umeshasahau.
Unless umeshakuwa vizuri.