PlayBoyMwema
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 1,714
- 1,829
Punguza balance... mpk $50 then ipandishe mdogo mdogo...Kipindi mkuu ontario kaweka huu uzi hapa jukwaani... Nakumbuka nilikuwa kati ya watu 100 au 200 wa kwanza kuomba nafasi ya training.. Lakin kuna watu walinibeza sana kisa niliandika nina miaka 26 lakin bado niko nyumban kwa wazaz nagombania remote na wadogo zangu lakin sikujali kejeli zao nilikazana kusoma vitabu alivoshauri mkuu ontario.. Na haya ndio matunda yakeView attachment 528418
Mapendekezo yako ni sahihi ila ni vyema tukampa pongezi kwa kujitahidi !!Punguza balance... mpk $50 then ipandishe mdogo mdogo...
Kipindi mkuu ontario kaweka huu uzi hapa jukwaani... Nakumbuka nilikuwa kati ya watu 100 au 200 wa kwanza kuomba nafasi ya training.. Lakin kuna watu walinibeza sana kisa niliandika nina miaka 26 lakin bado niko nyumban kwa wazaz nagombania remote na wadogo zangu lakin sikujali kejeli zao nilikazana kusoma vitabu alivoshauri mkuu ontario.. Na haya ndio matunda yakeView attachment 528418
Katika majibu yote yaliyotolewa humu kwa wakurupukaji nimelipenda hili watu wanauliza maswali ya kivivu hadi wanaboaThe first best book I recommend is this thread, soma yote kuanzia mwanzo mpaka mwisho usiruke hata comment moja then ukimaliza njoo uulize kitabu gani kingine cha kusoma if it will still be a valid question to ask
Naomba uniunganishe kwenye hii WhatsApp group no yangu 0621003284Kiukweli mpaka sasa juhudi za watu binafsi zinaonekana
1.Kuna watu tayari eameshafungua live account
2. Watu wamejiunga magroup telegrams na whatsup
3. Watu wameanza kukutana na kushare knowledge kiduchu waliojisomea kutoka kwa vitabu na kupitia YouTube
4. Kuna group la what's up wamepata mentor kutokea South Africa naskia wapo makundi 2 moja lipo stage 2...
Ontario atakuwa na kazi rahisi kuendeleza kwa kuwa sasa watu wanajua maana ya Sell stop, Buy Stop, Sell limit, Buy limit. stop loss Take profit
Leverage, broker candle sticks, go long , go short, broker, bullish& bearish, opening & closing sessions, lots size, equity balance.
Mpaka hapa wengi walikofikia Ontario anastahili pongezi , na akianza darasa wanafunzi wake hawatamsumbua sana nazani atakua anafundisha zaidi trading strategies & market pattern analysis na Sio what's Forex[emoji112] [emoji112] .
Kiu ya Forex haijawahi kumwacha MTU salama
Mmh kazi ipoNaomba nijue hiyo training inafanyika lini na kama ni dar tujue tu nakuja au mrekodi then tanunua CD za masomo tusome mi naitaji kuwa bilionea bhana na hicho kitabu pia na pia Mimi nimefungua demo ya Fx kuna mwalimu wangu ananipigia simu kutoka malekani ananifundisha jinsi ya buying and selling kwa kutumia mkwanjwa wa $50,000 kama training napenda sana hii biashara na siku nikijua vizur sioni hatar kutafuta hata $70000 nikawekeza kikubwa naitaji mafanikio bhana mlio na uelewa nyie tupeni darasa tuyaone mafanikio
Hii ni live au demo?Kipindi mkuu ontario kaweka huu uzi hapa jukwaani... Nakumbuka nilikuwa kati ya watu 100 au 200 wa kwanza kuomba nafasi ya training.. Lakin kuna watu walinibeza sana kisa niliandika nina miaka 26 lakin bado niko nyumban kwa wazaz nagombania remote na wadogo zangu lakin sikujali kejeli zao nilikazana kusoma vitabu alivoshauri mkuu ontario.. Na haya ndio matunda yakeView attachment 528418
Mkuu asante sana naomba kuwa kwenye first 300 batch . No. 0754479420
Naona kazi inaendelea, if possible mkuu Ontario nami naomba niwe among the first leg to touch the ground, phone NO 0756546828
NYIE MTAKUA WA MIKOAN HAKYANIAhsante sana wana JF , hakika haya ni zaidi ya madini. Naomba niwe included 0716768277
Hivi hizi namba za simu za kuanikwa hovyohovyo nadhani hata zenyewe zinajuta kuwa kwenye mikono hiyoNYIE MTAKUA WA MIKOAN HAKYANI
Kwa upande wangu hata ikiwa demo bado hayo ni maajabuHii ni live au demo?
Demo mkuuHii ni live au demo?
Tunakutafuta huko huko ulipo, ila unaweza ukatumia dropbox au google drive kuupakia hapa hapa ama private goole drive na dropbox email yangu ni nzaojr@gmail.comView attachment 528139
kuna mzigo wa video tutorials, recorded webinars pamoja na E-books kuhusu FOREX kama GB 32 ambazo zimenisaidia sana kujua strategies na techniques kibao za trading. ningependa kushare mzigo wote huu kwa yoyote atakayehitaji free, ishu nina upload vipi na wapi hizi GB32 ili atakayetaka aupate mzigo huu?? site nyingi nilizokua napakua mizigo hii zimepigwa chini sina link now! kama una idea usije inbox, carbon copy hapahapa wote tujadili!!
Hebu share hzo link za magrup tena hapa mkuu watu wapate knowledge zaidiKiukweli mpaka sasa juhudi za watu binafsi zinaonekana
1.Kuna watu tayari eameshafungua live account
2. Watu wamejiunga magroup telegrams na whatsup
3. Watu wameanza kukutana na kushare knowledge kiduchu waliojisomea kutoka kwa vitabu na kupitia YouTube
4. Kuna group la what's up wamepata mentor kutokea South Africa naskia wapo makundi 2 moja lipo stage 2...
Ontario atakuwa na kazi rahisi kuendeleza kwa kuwa sasa watu wanajua maana ya Sell stop, Buy Stop, Sell limit, Buy limit. stop loss Take profit
Leverage, broker candle sticks, go long , go short, broker, bullish& bearish, opening & closing sessions, lots size, equity balance.
Mpaka hapa wengi walikofikia Ontario anastahili pongezi , na akianza darasa wanafunzi wake hawatamsumbua sana nazani atakua anafundisha zaidi trading strategies & market pattern analysis na Sio what's Forex[emoji112] [emoji112] .
Kiu ya Forex haijawahi kumwacha MTU salama
Bravo mkuu.. Keep upDemo mkuu
hapo nakubaliana na ww, utumiaji wa softcopy kwa mda mrefu hasa usiku sio mzuri kwa afya ya macho yako...Hi there,I'm back again. Natumai wote tunakwenda safi kabisa na tunazidi kuongeza knowledge. Speed yangu ilikuwa kali mno nikajikuta naishi unhealthy & stressful life ukizingatia kuwa natumia soft copy kitu ambacho si salama kwa macho ya mtumiaji. Tuwe makini Dear TRADERS, afya ni muhimu pia. Una study bila ku athiri/kuathiri kwa kiwango kidogo shughuli zako za kila siku. UKiweza kuprint uwe na hard copy inaweza kukusaidia kama unatumia muda mwingi kusoma,hasa usiku. All the best
Maui nimejitahidi kuielrwa hiya app inanisumbua kusoma graft zake, Narnia app us go forex, VP waweza nielewesha angalau Kosovo Kama hautajaliKipindi mkuu ontario kaweka huu uzi hapa jukwaani... Nakumbuka nilikuwa kati ya watu 100 au 200 wa kwanza kuomba nafasi ya training.. Lakin kuna watu walinibeza sana kisa niliandika nina miaka 26 lakin bado niko nyumban kwa wazaz nagombania remote na wadogo zangu lakin sikujali kejeli zao nilikazana kusoma vitabu alivoshauri mkuu ontario.. Na haya ndio matunda yakeView attachment 528418