[emoji146]Nice Move boss..
Salute!!!
Waoh. FantasticHappy weekend ahead big bosses
Hi traders, hope you've all been having a perfect week, and looking forward to a fantastic weekend. Am sending love from mine to yours - baada ya misukosuko.
Soon, very soon in deed nitafungua uzi mpya kuhusu nini kinafuata. We are getting started very soon bosses, hope moderators hawataunganisha uzi.
Nitatoa criteria za kupata ile offer niliyotoa ya watu 150... pia nimekaa na kufikiria upya, hapo awali nilipromise free classes kwa watu 300, baadae nikabadilisha hadi watu 150, nimeona nifanye mabadiliko mengine.
Kwa siku I think kutakua na sessions mbili tu... ambayo session 1 itakua na masaa matatu. Kila session itachukua wanafunzi 50 (nimedesign royal classes) yani mazingira safi yatakayoruhusu maximum bond kati ya mentors/facilitators na wanafunzi. Kitu kama hiki hapa (this is just a sample)
So kwa maana hiyo nitaanza na wanafunzi 100. Lakini kwakua nilitoa ahadi ya wanafunzi 300, let me fulfil my promise. Hao 100 wakimaliza mafunza nitachukua 100 wengine wa free, then 100 wengine wa free. It's gonna be super interesting.
Still nasisitiza tuendelee kusoma... Read more than you trade.
●●Nimebadili avatar na kueka picha yangu, msidhani nimekua hacked.
Salute bosses - cheers cheers!!
===============================
:::Edited:::
Baada ya muda kati ya wanafunzi wangu wa mwanzoni kabisa, nitafanya selection ya cream kwajili ya kuendeleza mapambano. So the best students will join my amazing team. Tutachukua watu kama wa5 then watakaa na mentors for like 3 months kujua forex in out, kama kutakua na haja tutawasafirisha mara kwa mara to SA kupata mafunzo na skills za ziada, kisha tutashirikiana kufungua more branches. I need Dar kuwe na Branches 3 kabla ya December. Then tutamove mikoani.
Enjoy ur weekend & take care!
Salute to you Boss,Happy weekend ahead big bosses
Hi traders, hope you've all been having a perfect week, and looking forward to a fantastic weekend. Am sending love from mine to yours - baada ya misukosuko.
Soon, very soon in deed nitafungua uzi mpya kuhusu nini kinafuata. We are getting started very soon bosses, hope moderators hawataunganisha uzi.
Nitatoa criteria za kupata ile offer niliyotoa ya watu 150... pia nimekaa na kufikiria upya, hapo awali nilipromise free classes kwa watu 300, baadae nikabadilisha hadi watu 150, nimeona nifanye mabadiliko mengine.
Kwa siku I think kutakua na sessions mbili tu... ambayo session 1 itakua na masaa matatu. Kila session itachukua wanafunzi 50 (nimedesign royal classes) yani mazingira safi yatakayoruhusu maximum bond kati ya mentors/facilitators na wanafunzi. Kitu kama hiki hapa (this is just a sample)
So kwa maana hiyo nitaanza na wanafunzi 100. Lakini kwakua nilitoa ahadi ya wanafunzi 300, let me fulfil my promise. Hao 100 wakimaliza mafunza nitachukua 100 wengine wa free, then 100 wengine wa free. It's gonna be super interesting.
Still nasisitiza tuendelee kusoma... Read more than you trade.
●●Nimebadili avatar na kueka picha yangu, msidhani nimekua hacked.
Salute bosses - cheers cheers!!
===============================
:::Edited:::
Baada ya muda kati ya wanafunzi wangu wa mwanzoni kabisa, nitafanya selection ya cream kwajili ya kuendeleza mapambano. So the best students will join my amazing team. Tutachukua watu kama wa5 then watakaa na mentors for like 3 months kujua forex in out, kama kutakua na haja tutawasafirisha mara kwa mara to SA kupata mafunzo na skills za ziada, kisha tutashirikiana kufungua more branches. I need Dar kuwe na Branches 3 kabla ya December. Then tutamove mikoani.
Enjoy ur weekend & take care!
pamoja sana mkuu mapambano yanaendelea. kila la kheriHappy weekend ahead big bosses
Hi traders, hope you've all been having a perfect week, and looking forward to a fantastic weekend. Am sending love from mine to yours - baada ya misukosuko.
Soon, very soon in deed nitafungua uzi mpya kuhusu nini kinafuata. We are getting started very soon bosses, hope moderators hawataunganisha uzi.
Nitatoa criteria za kupata ile offer niliyotoa ya watu 150... pia nimekaa na kufikiria upya, hapo awali nilipromise free classes kwa watu 300, baadae nikabadilisha hadi watu 150, nimeona nifanye mabadiliko mengine.
Kwa siku I think kutakua na sessions mbili tu... ambayo session 1 itakua na masaa matatu. Kila session itachukua wanafunzi 50 (nimedesign royal classes) yani mazingira safi yatakayoruhusu maximum bond kati ya mentors/facilitators na wanafunzi. Kitu kama hiki hapa (this is just a sample)
So kwa maana hiyo nitaanza na wanafunzi 100. Lakini kwakua nilitoa ahadi ya wanafunzi 300, let me fulfil my promise. Hao 100 wakimaliza mafunza nitachukua 100 wengine wa free, then 100 wengine wa free. It's gonna be super interesting.
Still nasisitiza tuendelee kusoma... Read more than you trade.
●●Nimebadili avatar na kueka picha yangu, msidhani nimekua hacked.
Salute bosses - cheers cheers!!
===============================
:::Edited:::
Baada ya muda kati ya wanafunzi wangu wa mwanzoni kabisa, nitafanya selection ya cream kwajili ya kuendeleza mapambano. So the best students will join my amazing team. Tutachukua watu kama wa5 then watakaa na mentors for like 3 months kujua forex in out, kama kutakua na haja tutawasafirisha mara kwa mara to SA kupata mafunzo na skills za ziada, kisha tutashirikiana kufungua more branches. I need Dar kuwe na Branches 3 kabla ya December. Then tutamove mikoani.
Enjoy ur weekend & take care!
Ni mara ya kwanza kuuona uzi huu, ningependa kuwa pamoja na watu 150(naamini watakua wamejaa tayari) ili niweze kujifunza zaidi baada ya kujifunza mwenyewe ikiwa ni mwezi wa pili sasa, kwa lengo la kupanua mawazo, uwezo na pia kukutana na watu wenye passion ya forex trading, nikipata nafasi (nikawa mtu wa 151 katika wale watu) nitashukuru sana... Natanguliza shukrani, na uendelee na moyo huohuo!Happy weekend ahead big bosses
Hi traders, hope you've all been having a perfect week, and looking forward to a fantastic weekend. Am sending love from mine to yours - baada ya misukosuko.
Soon, very soon in deed nitafungua uzi mpya kuhusu nini kinafuata. We are getting started very soon bosses, hope moderators hawataunganisha uzi.
Nitatoa criteria za kupata ile offer niliyotoa ya watu 150... pia nimekaa na kufikiria upya, hapo awali nilipromise free classes kwa watu 300, baadae nikabadilisha hadi watu 150, nimeona nifanye mabadiliko mengine.
Kwa siku I think kutakua na sessions mbili tu... ambayo session 1 itakua na masaa matatu. Kila session itachukua wanafunzi 50 (nimedesign royal classes) yani mazingira safi yatakayoruhusu maximum bond kati ya mentors/facilitators na wanafunzi. Kitu kama hiki hapa (this is just a sample)
So kwa maana hiyo nitaanza na wanafunzi 100. Lakini kwakua nilitoa ahadi ya wanafunzi 300, let me fulfil my promise. Hao 100 wakimaliza mafunza nitachukua 100 wengine wa free, then 100 wengine wa free. It's gonna be super interesting.
Still nasisitiza tuendelee kusoma... Read more than you trade.
●●Nimebadili avatar na kueka picha yangu, msidhani nimekua hacked.
Salute bosses - cheers cheers!!
===============================
:::Edited:::
Baada ya muda kati ya wanafunzi wangu wa mwanzoni kabisa, nitafanya selection ya cream kwajili ya kuendeleza mapambano. So the best students will join my amazing team. Tutachukua watu kama wa5 then watakaa na mentors for like 3 months kujua forex in out, kama kutakua na haja tutawasafirisha mara kwa mara to SA kupata mafunzo na skills za ziada, kisha tutashirikiana kufungua more branches. I need Dar kuwe na Branches 3 kabla ya December. Then tutamove mikoani.
Enjoy ur weekend & take care!
Hawa wakina Ontario wanataka u broker ili watengeneze pesa kama false prophet Bushiri! Wewe waache wakasomeshe bure alafu hiyo bure itawatokea puani.Hivi wote tukikimbilia kufanya biashara ya Forex atanunua nani? Isitoshe sijaona nadharia ya kufanya biashara hii hapa kwetu Tz penye uchumi dhaifu usiokuwa na transactions nying za pesa za kigeni. S. Africa wana maviwanda (I doubt if they're not neuclear power) hivyo na mzunguko wake ni babu kubwa. Pale OR Tambo International airport kuna ndege zirukazo na kutua every passing minute from big cities all over the world. Huku kwetu angalia hata London kwenyewe huwezi kwenda moja kwa moja lazima uunganishe sehemu nyingine, hiyo biashara ya forex waachie wajukuu zenu, nyie kwanza fikirieni kulima chakula cha kuwatosha, tuwe na umeme wa uhakika, maji matibabu nk.
Salam Mkuu.Hawa wakina Ontario wanataka u broker ili watengeneze pesa kama false prophet Bushiri! Wewe waache wakasomeshe bure alafu hiyo bure itawatokea puani.
Mjomba wacha njaa kali, kafanye kazi site utapata pesa ya halali, wachana na shortcuts.Salam Mkuu.
Ni hivi its very and very simple decesion, kama wewe umeona hivyo na umeona ni hasara funga mdomo wako na macho yako unapoiona hii thread na utulize akili yako usitukaribie kabisa. Nimetumia busara iliyopitiliza kukujibu tu.
Busara gani unataka shortcuts? Zitakuuwa hizo! Uishiye kifo cha mende! Hahaha!Salam Mkuu.
Ni hivi its very and very simple decesion, kama wewe umeona hivyo na umeona ni hasara funga mdomo wako na macho yako unapoiona hii thread na utulize akili yako usitukaribie kabisa. Nimetumia busara iliyopitiliza kukujibu tu.
Hapo sasa! Kwahiyo broker anaweza hasiwe reliable? Na kwani muda wa kumtumia broker una matter?Huyu broker umemtumia toka lini?
Reliability yake ipoje?
Nakuombea na kukutakia mafanikio ili ndoto hii njema itimie. Binafsi nakuhakikishia ushirikiano ukianza kuja mikoani. Wewe ni hazina ya taifa na nyota ya matumaini. Stay blessed.Happy weekend ahead big bosses
Hi traders, hope you've all been having a perfect week, and looking forward to a fantastic weekend. Am sending love from mine to yours - baada ya misukosuko.
Soon, very soon in deed nitafungua uzi mpya kuhusu nini kinafuata. We are getting started very soon bosses, hope moderators hawataunganisha uzi.
Nitatoa criteria za kupata ile offer niliyotoa ya watu 150... pia nimekaa na kufikiria upya, hapo awali nilipromise free classes kwa watu 300, baadae nikabadilisha hadi watu 150, nimeona nifanye mabadiliko mengine.
Kwa siku I think kutakua na sessions mbili tu... ambayo session 1 itakua na masaa matatu. Kila session itachukua wanafunzi 50 (nimedesign royal classes) yani mazingira safi yatakayoruhusu maximum bond kati ya mentors/facilitators na wanafunzi. Kitu kama hiki hapa (this is just a sample)
So kwa maana hiyo nitaanza na wanafunzi 100. Lakini kwakua nilitoa ahadi ya wanafunzi 300, let me fulfil my promise. Hao 100 wakimaliza mafunza nitachukua 100 wengine wa free, then 100 wengine wa free. It's gonna be super interesting.
Still nasisitiza tuendelee kusoma... Read more than you trade.
●●Nimebadili avatar na kueka picha yangu, msidhani nimekua hacked.
Salute bosses - cheers cheers!!
===============================
:::Edited:::
Baada ya muda kati ya wanafunzi wangu wa mwanzoni kabisa, nitafanya selection ya cream kwajili ya kuendeleza mapambano. So the best students will join my amazing team. Tutachukua watu kama wa5 then watakaa na mentors for like 3 months kujua forex in out, kama kutakua na haja tutawasafirisha mara kwa mara to SA kupata mafunzo na skills za ziada, kisha tutashirikiana kufungua more branches. I need Dar kuwe na Branches 3 kabla ya December. Then tutamove mikoani.
Enjoy ur weekend & take care!
FXCC NI Dolar mia....just google top ten brokers utaletewa waliozuri kulinga na feedback za watu....pia msome huyo broker uelewe sheria zakeKiukweli kamwanga nimekapata ila nimejisajili kwenye forex.com na wamenipa dau kuwa la dollar 50,000 ila kiwango cha chini unachoweza kuzungusha ni dollar 1000,mwenye kujua forex yenye dau dogo la hata dollar 200 atupie hapa
mkuu hapo mi sioni cha ajab, koz kwa wenzutu forex n fursa kubwa sana so wanaitumia kutengeneza faida kwa tutoria au kuanzisha mavyuo, so ontario nae anatumia fursa hiyo cha ajab n kwamba wabongo hatupendi kuona hata ndugu wa karib akifanikia xo n aina tuu ya wivu cshangai. dunia ya sasa n kucheza na fursa tuu kila ikija unaitumia effectively,Hawa wakina Ontario wanataka u broker ili watengeneze pesa kama false prophet Bushiri! Wewe waache wakasomeshe bure alafu hiyo bure itawatokea puani.
Mkono wa mtu nn? Waswahl banaGuys this is all I can say - This has been my worst week ever in the past 2 decades, as far as napumua na nimeweza kutype hapa JF basi ni kheri kumshukuru Mungu for another chance in life see you soon bosses.
Demo mkuu
Mkuu, much respect to you, hope you gonna make it.Happy weekend ahead big bosses
Hi traders, hope you've all been having a perfect week, and looking forward to a fantastic weekend. Am sending love from mine to yours - baada ya misukosuko.
Soon, very soon in deed nitafungua uzi mpya kuhusu nini kinafuata. We are getting started very soon bosses, hope moderators hawataunganisha uzi.
Nitatoa criteria za kupata ile offer niliyotoa ya watu 150... pia nimekaa na kufikiria upya, hapo awali nilipromise free classes kwa watu 300, baadae nikabadilisha hadi watu 150, nimeona nifanye mabadiliko mengine.
Kwa siku I think kutakua na sessions mbili tu... ambayo session 1 itakua na masaa matatu. Kila session itachukua wanafunzi 50 (nimedesign royal classes) yani mazingira safi yatakayoruhusu maximum bond kati ya mentors/facilitators na wanafunzi. Kitu kama hiki hapa (this is just a sample)
So kwa maana hiyo nitaanza na wanafunzi 100. Lakini kwakua nilitoa ahadi ya wanafunzi 300, let me fulfil my promise. Hao 100 wakimaliza mafunza nitachukua 100 wengine wa free, then 100 wengine wa free. It's gonna be super interesting.
Still nasisitiza tuendelee kusoma... Read more than you trade.
●●Nimebadili avatar na kueka picha yangu, msidhani nimekua hacked.
Salute bosses - cheers cheers!!
===============================
:::Edited:::
Baada ya muda kati ya wanafunzi wangu wa mwanzoni kabisa, nitafanya selection ya cream kwajili ya kuendeleza mapambano. So the best students will join my amazing team. Tutachukua watu kama wa5 then watakaa na mentors for like 3 months kujua forex in out, kama kutakua na haja tutawasafirisha mara kwa mara to SA kupata mafunzo na skills za ziada, kisha tutashirikiana kufungua more branches. I need Dar kuwe na Branches 3 kabla ya December. Then tutamove mikoani.
Enjoy ur weekend & take care!