Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Nakuombea na kukutakia mafanikio ili ndoto hii njema itimie. Binafsi nakuhakikishia ushirikiano ukianza kuja mikoani. Wewe ni hazina ya taifa na nyota ya matumaini. Stay blessed.
Wewe muombee tu, utakapo filisiwa na huo mchezo wa Forex wa akina fake prophet Bushiri ndiyo utajua kumlaani. You people are a joke!
 
Waoh. Fantastic

Nimefurahi sana kwa hatua hii. Big up ONTARIO boss. That's very big progress.
I hope to see you and my lovely traders in Dar sometime down the line if I will be amongst

Big up [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]
Weweeee watch out! [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hapo sasa! Kwahiyo broker anaweza hasiwe reliable? Na kwani muda wa kumtumia broker una matter?

Wewe nimekugundua ni kundi moja na Ontario ili kuibia watu... kazi yako kupiga chapuo pembeni kama vile humjui Ontario, kumbe wamoja! Janja ya nyani mimi kesha gundua bana!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Join date; March 05

Ma Snitch hua hamkosekani unge kuja na ID yako ya siku zote tuku tumbue..

Pili pili usio ila yakuwashia nini??
 
Happy weekend ahead big bosses

Hi traders, hope you've all been having a perfect week, and looking forward to a fantastic weekend. Am sending love from mine to yours - baada ya misukosuko.

Soon, very soon in deed nitafungua uzi mpya kuhusu nini kinafuata. We are getting started very soon bosses, hope moderators hawataunganisha uzi.

Nitatoa criteria za kupata ile offer niliyotoa ya watu 150... pia nimekaa na kufikiria upya, hapo awali nilipromise free classes kwa watu 300, baadae nikabadilisha hadi watu 150, nimeona nifanye mabadiliko mengine.

Kwa siku I think kutakua na sessions mbili tu... ambayo session 1 itakua na masaa matatu. Kila session itachukua wanafunzi 50 (nimedesign royal classes) yani mazingira safi yatakayoruhusu maximum bond kati ya mentors/facilitators na wanafunzi. Kitu kama hiki hapa (this is just a sample)
ff3238419640a5d4ce6454d33ef560a0.jpg


So kwa maana hiyo nitaanza na wanafunzi 100. Lakini kwakua nilitoa ahadi ya wanafunzi 300, let me fulfil my promise. Hao 100 wakimaliza mafunza nitachukua 100 wengine wa free, then 100 wengine wa free. It's gonna be super interesting.

Still nasisitiza tuendelee kusoma... Read more than you trade.

●●Nimebadili avatar na kueka picha yangu, msidhani nimekua hacked.

Salute bosses - cheers cheers!!

===============================

:::Edited:::

Baada ya muda kati ya wanafunzi wangu wa mwanzoni kabisa, nitafanya selection ya cream kwajili ya kuendeleza mapambano. So the best students will join my amazing team. Tutachukua watu kama wa5 then watakaa na mentors for like 3 months kujua forex in out, kama kutakua na haja tutawasafirisha mara kwa mara to SA kupata mafunzo na skills za ziada, kisha tutashirikiana kufungua more branches. I need Dar kuwe na Branches 3 kabla ya December. Then tutamove mikoani.

Enjoy ur weekend & take care!

A Very very nice idea mr Ontario.
Tena hapo kny top 5 kama vile najiona huyoo nimekidhi vigezo.
 
My Analysis kwenye Gold expected price next week. Kwa msaada wa price action na top down analysis.

1. Nilichukua candlestick chart ya gold ya week kama inavyoonekana hapo chini.
2. Kutoka katika hii weekly time frame, nikagundua kwamba kuna bullish uptrend. Hivyo nikachora uptrend kama inavyoonekana.
3. Kisha nikagundua kuna divergence in price katika candles mbili za mwishoni, kwa maana kwa msaada wa stochastic oscillator utaona kwamba hizo dashed trend lines kuelekea chini zinakinzana na oscillator indication.
4. Pia kwa msaada wa concept ya ontario, Nikachora resistance level ( Hii resistance level inaonekana vizuri katika daily chart) Ila tukiwa hapa katika weekly chart na tukatumia same daily resistance line, utaona kwamba mwaka jana 2016 kulikuwa na breach katika hiyo resistance level

View attachment 529803

Weekly gold chart



Nilipomaliza kwa upande wa weekly, Kama top down analysis inavyotaka, nikaenda katika daily chart kama inavyoonekana hapa chini. Hapa napo nikaibuka na haya.

1. Iliniwezesha kupata resistance level ambayo nimeichora. na hii resistance level inahold sifa zote za kuwa resistance kama vile kuwa resistance/support in previous times/years na Kuna major bull breaches in past
2. Uptrend bado inaonekana vizuri na inahold true
3. Divergence line nilizozichora katika weekly chart bado hapa zinahold true ingawa hapa unatakiwa uwe na jicho kali kuona hiyo divergence as the difference is very small.

View attachment 529805


CONCLUSSION

Kutokana na analysis hizo hapo juu, Na kuzingatia price ya gold mwezi wa sita mwaka jana ilivyobreach resistance level (kitu ambacho inaonekana hata mawaka huu itabreach same resistance level) Nimefikia conclussion kwamba Next week tutegemee Bullish price move ya Gold. So kama wiki ijayo ningekuwa mnunuzi, ningenunua Gold kwa kutegemea bei yake itapanda.

Sijui kama nimeanalyse sawa ama nimekosea. Masahihisho please if any.

CC: Bavaria, Ontario.
Eti analysis!? Matapeli wa mtandaoni...hahahahahaha
 
Eti analysis!? Matapeli wa mtandaoni...hahahahahaha
Elezea bas kwann unasema matapeli wa mtandao? Km ni risk kila kitu kinarisk ktk haya maisha so people are taking the risk kwaiyo acha kukatisha watu tamaa! Kuna vitabu vya forex ving inamana navyo ni utapeli au nn
 
Hawa wakina Ontario wanataka u broker ili watengeneze pesa kama false prophet Bushiri! Wewe waache wakasomeshe bure alafu hiyo bure itawatokea puani.

Utaendelea kucheza vibati hadi lini wewe...

I believe in fx trading ""they win, i win...we prosper"
 
Eti analysis!? Matapeli wa mtandaoni...hahahahahaha

Nadhani kinachofuata sasa ni kukutukana, Unaquote uzi wangu wa nini.? una maisha yako, endelea na maisha yako. Nina maisha yangu niache niendelee na maisha yangu, Tusipangiane maisha. Sijakuomba msaada wala sihitaji msaada wako, Pesa natumia yangu, na nitaitumia ninavyotaka. Pesa aliyoitafuta mwanaume mwenzie wewe inakuwasha nini katika matumizi yake.? Kama si tabia za kishoga ni nini.? Hata kama nikilose i am prepared to. So leave me alone, and get a life.

kama pesa yangu ninayotumia kwa mambo yangu inakuuma njoo nikupatie. Punguwani wahed wewe. Next time ni matusi ndo yatakayofuata
 
biashara itafanywa tu uwe unataka au hutaki wewe unayetaka kuharibu huu uzi
Hakuna kuharibika kitu lazima tukubali kuwa criticised constructively. Wale watakao kuwa pande yangu wataokoa visenti vyao na wale ambao watakuwa upande wa so called Forex trading, jehanam ya kupoteza pesa inawasubiri.
 
My story so far (Part 2!)

Baada ya kuunguza account mara mbili huu ndio mrejesho wangu...

Awali ya yote, niseme asante kwa wote mlionitia moyo kwa yaliyonitokea!! Nilipounguza account nilileta uzi hapa kushare nanyi yaliyonikuta(post namba 3357) pitia hii link...
FOREX: Biashara yenye utajiri mkubwa zaidi duniani ambayo hakuna benki itataka uijue!

Mara ya kwanza niliunguza kwa uzembe wangu sikujifunza nikafungua ingine nika trade bado nikachezea za kichwa!! mara ya pili ndio akili ikastuck na kukaa sawa nikaona isiwe shida nikae chini niandike makosa yangu yanayofanya kila siku naunguza account!!!

Niliyaandika na kufanyia kazi moja baada ya lingine!!! Na nna mshukuru Mungu baada ya kuunguza account, nilipokuja kupost mrejesho humu nikakutana na hiki kitabu cha hawa jamaa wanajiita astrofx!

Hili ndio somo nililojifunza...kutoka astrofx book!!

Capture1.PNG


Hapa niliona mengi na mengi nilijifunza kwenye kitabu cha astro fx ambacho kipo humu!! makosa yangu ilikua ni kutumia leverage kubwa(500:1) na ku open positions nyingi zenye volume kubwa na zinazorun in loss kitu ambacho kilipelekea Margin, free margin, na margin level zote kushuka na mwisho wa siku nikawa nime tia moto account, asikwambie mtu...iliniuma balaa!!!

Sasa baada ya kugundua makosa yangu nikaanza tafakari wapi nitapata pesa baada ya kuunguza account! kumbuka mda huo nimshachezea za kichwa na pesa sina!! Baada ya kuwaza mda mrefu nikakumbuka nikiwa mwaka wa kwanza chuo nilinunuaga hisa za benk flani, basi bila hiyana nikafunua kabati kutafuta cheti changu cha hisa, nikaziuza!!

Baada ya kuuza nikatenga dola 100 kwa ajili ya ku-trade!!

This time nimekua makini kwenye positon sizes(nyingi zinachezea 0.01 mpaka 0.03) na leverage(1:100)!!

Sasa kwa siku moja i mean masaa 24, nimeweza kupata faida hiyo apoo kama unavoiona kwenye picha, ina weza ikawa sio kubwa ila am still grateful guys!!!

Screenshot_20170624-111535.png


So kwa masaa 24 nimeweza kupata dola 26.02! ambayo ni sawa na 26.02*2250tsh = 58,545 Tsh!! hii ni ndani ya masaa 24!!

Lengo langu la kwanza lilikua kupata walau dola 15 per day nashukuru Mungu nimevuka lengo!!

Pia kama unafwatilia kuna habari ilitokea jana mida saa sita mpaka saa tisa huko Canada, hii ilipelekea dola ya canada kushuka ghafla, hahaha hapa paliniwezesha kupiga faida kwa kweli!!

Ushauri!!

Kuna huyu chalii wa sauzi anaitwa shezi kama sijakosea jina, katika moja ya video zake anadai kwamba "Don't wait, start, make mistakes and learn, dont wait to be perfect as you will never start if u want to be perfect" ... "most of people believe you gotta be perfect before you start, and if that is you're goal then you will never start" hayo ni maneno yake...

Nikiwa chuo mwaka wa kwanza tu nakumbuka tulipelekwa kwenda kufanya field practicals, kumbuka by that time hatukua mainjinia kamili lakini tulipewa mitambo kuiendesha na kupewa majukumu ya mainjinia bila kujali kwamba tulikua mwaka wa kwanza! My point is, practical ni muhimu, na kama alivyosema shezi dont wait to be perfect ndio uanze!! otherwise hata chuoni tusingepelekwa field kupewa majukumu ya wahandisi wakati sisi tulikuwa mwaka wa kwanza na hatukuhitimu mafunzo ya uhandisi!!

So to all those who we started together, take courage and start doing something, start small and make them mistakes!! dont wait to be perfect ndio uanze!! life is full of risks so even of you won't start then that's another risk!!!

Guys this thing is real! you can make loss or profits within very short period of time! but there's no way you can make it kama huwezi controll hisia zako (psychology) hasa unapopata loss, kusoma/kujifunza ni muhimu na haikwepeki, kufwatilia matukio yanayotokea huko majuu ni muhimu pia!!

Bottomline, In any business, Loss haikwepeki na hata ukiangalia kwenye screen shot kuna ka-loss(-0.24)! kuna saa utapata faida pia kunasaa utachoma account, dont give up that's the essence of business homie!! Na utapounguza account, usijilaumu wala kuumia maana japo umepoteza pesa ila umepata experience(Haya maneno ya ONTARIO)!!! Please do not invest money which you're not willing to lose!!!

Kama ilivyo mbegu iliyo jangwani ikingoja mvua inyeshe ili iote, nasi basi tusikate tamaa katika kuomba Mungu na kufanya kazi na kujifunza mapya kila siku, ili tuendelee kupambana na huyu adui anayejiita UMASKINI!!

Anyways, its weekend, na leo hamna market, acha niendelee kuweka mikakati na kujifunza kwa ajili ya soko jipya!!

One love, One God, One life...tuko pamoja wakuu!!

Wako katika kujifunza,

Lodrick Thomas (Eng.)
 
Nadhani kinachofuata sasa ni kukutukana, Unaquote uzi wangu wa nini.? una maisha yako, endelea na maisha yako. Nina maisha yangu niache niendelee na maisha yangu, Tusipangiane maisha. Sijakuomba msaada wala sihitaji msaada wako, Pesa natumia yangu, na nitaitumia ninavyotaka. Pesa aliyoitafuta mwanaume mwenzie wewe inakuwasha nini katika matumizi yake.? Kama si tabia za kishoga ni nini.? Hata kama nikilose i am prepared to. So leave me alone, and get a life.

kama pesa yangu ninayotumia kwa mambo yangu njoo nikupatie. Punguwani wahed wewe. Next time ni matusi ndo yatakayofuata
JF wataku ban ukituna. Kama una loose your mind like that. Je, ukiliwa hivyo visenti utakuwaje?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom