Naamini kwa sasa taratiibu umeanza kukunjia mkia katikati ya miguu miwili ya nyuma......now what are you waiting...RUUUUUN!JF wataku ban ukituna. Kama una loose your mind like that. Je, ukiliwa hivyo visenti utakuwaje?
Weweeee uta run wewe kwenda jehanamu subiri tu, nenda pata training, ukimaliza visenti viliwe na broker. Hapo ndipo utajua kukunja mkia kama jibwa koko.Naamini kwa sasa taratiibu umeanza kukunjia mkia katikati ya miguu miwili ya nyuma......now what are you waiting...RUUUUUN!
Pamoja sana mkuu, usisahau kutuambia ni bank gani tunaweza kufungua ac kwaajili ya kuweka na kutoa hela, broker gani ni mzuri kwa kuanzia..kulingana na uzoefu wako. Nini tunatakiwa kujua tunapoenda bank kufungua ac Nk.. all da best kamanda.I am humbled to hear that my friend!!
Infact nilishaanza kuelezea aina ya brokers!!
Ngoja najiandaa kuandaa article itayoelezea hayo mambo, possibly kesho au next week nitaiweka humu!!
Pamoja!
Salutemkuu usimjibu tena huyu boya... asitake kututoa kwenye lengo
Kwani ulitusaidia kutafuta hizi pesa au tuliomba ushauri kwako jinsi ya kutafuta?.kimbelembele cha nini sasa kujidai unatushauri jinsi ya kutumia pesa zetu.Sisi ni watu wazima na tumeamua kujifunza na kufanya forex trade , kaa kimya na mind your own business.Wewe nawe member wa future broker unampigia chapuo nini? Yaani mume gang ili kuwatumbukiza watu na visenti vyao kwenye kuzimu!
Fursa nini mjombaaa! Ujanja ujanja tu wabongo, ngoja mliwe misingi yenu alafa mtanikumbuka wote humu vipofu. Eti fursa ya Forex TZ? Kuigaiga vitu msivo vijua ili kuibia watu mchana mchana!
Thank you alot en God bless you broHappy weekend ahead big bosses
Hi traders, hope you've all been having a perfect week, and looking forward to a fantastic weekend. Am sending love from mine to yours - baada ya misukosuko.
Soon, very soon in deed nitafungua uzi mpya kuhusu nini kinafuata. We are getting started very soon bosses, hope moderators hawataunganisha uzi.
Nitatoa criteria za kupata ile offer niliyotoa ya watu 150... pia nimekaa na kufikiria upya, hapo awali nilipromise free classes kwa watu 300, baadae nikabadilisha hadi watu 150, nimeona nifanye mabadiliko mengine.
Kwa siku I think kutakua na sessions mbili tu... ambayo session 1 itakua na masaa matatu. Kila session itachukua wanafunzi 50 (nimedesign royal classes) yani mazingira safi yatakayoruhusu maximum bond kati ya mentors/facilitators na wanafunzi. Kitu kama hiki hapa (this is just a sample)
So kwa maana hiyo nitaanza na wanafunzi 100. Lakini kwakua nilitoa ahadi ya wanafunzi 300, let me fulfil my promise. Hao 100 wakimaliza mafunza nitachukua 100 wengine wa free, then 100 wengine wa free. It's gonna be super interesting.
Still nasisitiza tuendelee kusoma... Read more than you trade.
●●Nimebadili avatar na kueka picha yangu, msidhani nimekua hacked.
Salute bosses - cheers cheers!!
===============================
:::Edited:::
Baada ya muda kati ya wanafunzi wangu wa mwanzoni kabisa, nitafanya selection ya cream kwajili ya kuendeleza mapambano. So the best students will join my amazing team. Tutachukua watu kama wa5 then watakaa na mentors for like 3 months kujua forex in out, kama kutakua na haja tutawasafirisha mara kwa mara to SA kupata mafunzo na skills za ziada, kisha tutashirikiana kufungua more branches. I need Dar kuwe na Branches 3 kabla ya December. Then tutamove mikoani.
Enjoy ur weekend & take care!
waaaooooh, i like the update, unanizidishia munkari wakuendelea kuchimba like those time nlipokua natafuta A, au tuliita BANDA hahahaha,Happy weekend ahead big bosses
Hi traders, hope you've all been having a perfect week, and looking forward to a fantastic weekend. Am sending love from mine to yours - baada ya misukosuko.
Soon, very soon in deed nitafungua uzi mpya kuhusu nini kinafuata. We are getting started very soon bosses, hope moderators hawataunganisha uzi.
Nitatoa criteria za kupata ile offer niliyotoa ya watu 150... pia nimekaa na kufikiria upya, hapo awali nilipromise free classes kwa watu 300, baadae nikabadilisha hadi watu 150, nimeona nifanye mabadiliko mengine.
Kwa siku I think kutakua na sessions mbili tu... ambayo session 1 itakua na masaa matatu. Kila session itachukua wanafunzi 50 (nimedesign royal classes) yani mazingira safi yatakayoruhusu maximum bond kati ya mentors/facilitators na wanafunzi. Kitu kama hiki hapa (this is just a sample)
So kwa maana hiyo nitaanza na wanafunzi 100. Lakini kwakua nilitoa ahadi ya wanafunzi 300, let me fulfil my promise. Hao 100 wakimaliza mafunza nitachukua 100 wengine wa free, then 100 wengine wa free. It's gonna be super interesting.
Still nasisitiza tuendelee kusoma... Read more than you trade.
●●Nimebadili avatar na kueka picha yangu, msidhani nimekua hacked.
Salute bosses - cheers cheers!!
===============================
:::Edited:::
Baada ya muda kati ya wanafunzi wangu wa mwanzoni kabisa, nitafanya selection ya cream kwajili ya kuendeleza mapambano. So the best students will join my amazing team. Tutachukua watu kama wa5 then watakaa na mentors for like 3 months kujua forex in out, kama kutakua na haja tutawasafirisha mara kwa mara to SA kupata mafunzo na skills za ziada, kisha tutashirikiana kufungua more branches. I need Dar kuwe na Branches 3 kabla ya December. Then tutamove mikoani.
Enjoy ur weekend & take care!
Hongera sana mkuu tunasubiri hiyo articleI am humbled to hear that my friend!!
Infact nilishaanza kuelezea aina ya brokers!!
Ngoja najiandaa kuandaa article itayoelezea hayo mambo, possibly kesho au next week nitaiweka humu!!
Pamoja!
Samahani waungwana lugha kidogo isiwe kali ivo ili twende sawa maana naamini hii ni familia moja na lenho pia ni moja plz twende sawa maana ni viyu vya kusameheana na kusahau.
good sana mkuu,me pia sometimes hua nataman nijilipue ila hapa umeniiongeza nguvu ya kumake decision.My story so far (Part 2!)
Baada ya kuunguza account mara mbili huu ndio mrejesho wangu...
Awali ya yote, niseme asante kwa wote mlionitia moyo kwa yaliyonitokea!! Nilipounguza account nilileta uzi hapa kushare nanyi yaliyonikuta(post namba 3357) pitia hii link...
FOREX: Biashara yenye utajiri mkubwa zaidi duniani ambayo hakuna benki itataka uijue!
Mara ya kwanza niliunguza kwa uzembe wangu sikujifunza nikafungua ingine nika trade bado nikachezea za kichwa!! mara ya pili ndio akili ikastuck na kukaa sawa nikaona isiwe shida nikae chini niandike makosa yangu yanayofanya kila siku naunguza account!!!
Niliyaandika na kufanyia kazi moja baada ya lingine!!! Na nna mshukuru Mungu baada ya kuunguza account, nilipokuja kupost mrejesho humu nikakutana na hiki kitabu cha hawa jamaa wanajiita astrofx!
Hili ndio somo nililojifunza...kutoka astrofx book!!
View attachment 529798
Hapa niliona mengi na mengi nilijifunza kwenye kitabu cha astro fx ambacho kipo humu!! makosa yangu ilikua ni kutumia leverage kubwa(500:1) na ku open positions nyingi zenye volume kubwa na zinazorun in loss kitu ambacho kilipelekea Margin, free margin, na margin level zote kushuka na mwisho wa siku nikawa nime tia moto account, asikwambie mtu...iliniuma balaa!!!
Sasa baada ya kugundua makosa yangu nikaanza tafakari wapi nitapata pesa baada ya kuunguza account! kumbuka mda huo nimshachezea za kichwa na pesa sina!! Baada ya kuwaza mda mrefu nikakumbuka nikiwa mwaka wa kwanza chuo nilinunuaga hisa za benk flani, basi bila hiyana nikafunua kabati kutafuta cheti changu cha hisa, nikaziuza!!
Baada ya kuuza nikatenga dola 100 kwa ajili ya ku-trade!!
This time nimekua makini kwenye positon sizes(nyingi zinachezea 0.01 mpaka 0.03) na leverage(1:100)!!
Sasa kwa siku moja i mean masaa 24, nimeweza kupata faida hiyo apoo kama unavoiona kwenye picha, ina weza ikawa sio kubwa ila am still grateful guys!!!
View attachment 529801
So kwa masaa 24 nimeweza kupata dola 26.02! ambayo ni sawa na 26.02*2250tsh = 58,545 Tsh!! hii ni ndani ya masaa 24!!
Lengo langu la kwanza lilikua kupata walau dola 15 per day nashukuru Mungu nimevuka lengo!!
Pia kama unafwatilia kuna habari ilitokea jana mida saa sita mpaka saa tisa huko Canada, hii ilipelekea dola ya canada kushuka ghafla, hahaha hapa paliniwezesha kupiga faida kwa kweli!!
Ushauri!!
Kuna huyu chalii wa sauzi anaitwa shezi kama sijakosea jina, katika moja ya video zake anadai kwamba "Don't wait, start, make mistakes and learn, dont wait to be perfect as you will never start if u want to be perfect" ... "most of people believe you gotta be perfect before you start, and if that is you're goal then you will never start" hayo ni maneno yake...
Nikiwa chuo mwaka wa kwanza tu nakumbuka tulipelekwa kwenda kufanya field practicals, kumbuka by that time hatukua mainjinia kamili lakini tulipewa mitambo kuiendesha na kupewa majukumu ya mainjinia bila kujali kwamba tulikua mwaka wa kwanza! My point is, practical ni muhimu, na kama alivyosema shezi dont wait to be perfect ndio uanze!! otherwise hata chuoni tusingepelekwa field kupewa majukumu ya wahandisi wakati sisi tulikuwa mwaka wa kwanza na hatukuhitimu mafunzo ya uhandisi!!
So to all those who we started together, take courage and start doing something, start small and make them mistakes!! dont wait to be perfect ndio uanze!! life is full of risks so even of you won't start then that's another risk!!!
Guys this thing is real! you can make loss or profits within very short period of time! but there's no way you can make it kama huwezi controll hisia zako (psychology) hasa unapopata loss, kusoma/kujifunza ni muhimu na haikwepeki, kufwatilia matukio yanayotokea huko majuu ni muhimu pia!!
Bottomline, In any business, Loss haikwepeki na hata ukiangalia kwenye screen shot kuna ka-loss(-0.24)! kuna saa utapata faida pia kunasaa utachoma account, dont give up that's the essence of business homie!! Na utapounguza account, usijilaumu wala kuumia maana japo umepoteza pesa ila umepata experience(Haya maneno ya ONTARIO)!!! Please do not invest money which you're not willing to lose!!!
Kama ilivyo mbegu iliyo jangwani ikingoja mvua inyeshe ili iote, nasi basi tusikate tamaa katika kuomba Mungu na kufanya kazi na kujifunza mapya kila siku, ili tuendelee kupambana na huyu adui anayejiita UMASKINI!!
Anyways, its weekend, na leo hamna market, acha niendelee kuweka mikakati na kujifunza kwa ajili ya soko jipya!!
One love, One God, One life...tuko pamoja wakuu!!
Wako katika kujifunza,
Lodrick Thomas (Eng.)
"You don't need to be perfect mkuu, start small and grow"!!good sana mkuu,me pia sometimes hua nataman nijilipue ila hapa umeniiongeza nguvu ya kumake decision.
asante sanaaaaa teh teh
Hao vilaza wanatusumbuaWenye mawazo mabovu tutaanza kuwaremove vile vilee hapa kazii tuuuu utakuta ni boya mumojaa tuuuu apooo mzembe wa kusomaa
May God uplift you gentleman,Goodluck Ninja.
Hope hao watu 300 hawatakuangusha..
Utakuwa umewasaidia vijana wenzako wengi sana..
Amen Batu.May God uplift you gentleman,
Safi sana kamanda, unatumia broker gani aseeMy story so far (Part 2!)
Baada ya kuunguza account mara mbili huu ndio mrejesho wangu...
Awali ya yote, niseme asante kwa wote mlionitia moyo kwa yaliyonitokea!! Nilipounguza account nilileta uzi hapa kushare nanyi yaliyonikuta(post namba 3357) pitia hii link...
FOREX: Biashara yenye utajiri mkubwa zaidi duniani ambayo hakuna benki itataka uijue!
Mara ya kwanza niliunguza kwa uzembe wangu sikujifunza nikafungua ingine nika trade bado nikachezea za kichwa!! mara ya pili ndio akili ikastuck na kukaa sawa nikaona isiwe shida nikae chini niandike makosa yangu yanayofanya kila siku naunguza account!!!
Niliyaandika na kufanyia kazi moja baada ya lingine!!! Na nna mshukuru Mungu baada ya kuunguza account, nilipokuja kupost mrejesho humu nikakutana na hiki kitabu cha hawa jamaa wanajiita astrofx!
Hili ndio somo nililojifunza...kutoka astrofx book!!
View attachment 529798
Hapa niliona mengi na mengi nilijifunza kwenye kitabu cha astro fx ambacho kipo humu!! makosa yangu ilikua ni kutumia leverage kubwa(500:1) na ku open positions nyingi zenye volume kubwa na zinazorun in loss kitu ambacho kilipelekea Margin, free margin, na margin level zote kushuka na mwisho wa siku nikawa nime tia moto account, asikwambie mtu...iliniuma balaa!!!
Sasa baada ya kugundua makosa yangu nikaanza tafakari wapi nitapata pesa baada ya kuunguza account! kumbuka mda huo nimshachezea za kichwa na pesa sina!! Baada ya kuwaza mda mrefu nikakumbuka nikiwa mwaka wa kwanza chuo nilinunuaga hisa za benk flani, basi bila hiyana nikafunua kabati kutafuta cheti changu cha hisa, nikaziuza!!
Baada ya kuuza nikatenga dola 100 kwa ajili ya ku-trade!!
This time nimekua makini kwenye positon sizes(nyingi zinachezea 0.01 mpaka 0.03) na leverage(1:100)!!
Sasa kwa siku moja i mean masaa 24, nimeweza kupata faida hiyo apoo kama unavoiona kwenye picha, ina weza ikawa sio kubwa ila am still grateful guys!!!
View attachment 529801
So kwa masaa 24 nimeweza kupata dola 26.02! ambayo ni sawa na 26.02*2250tsh = 58,545 Tsh!! hii ni ndani ya masaa 24!!
Lengo langu la kwanza lilikua kupata walau dola 15 per day nashukuru Mungu nimevuka lengo!!
Pia kama unafwatilia kuna habari ilitokea jana mida saa sita mpaka saa tisa huko Canada, hii ilipelekea dola ya canada kushuka ghafla, hahaha hapa paliniwezesha kupiga faida kwa kweli!!
Ushauri!!
Kuna huyu chalii wa sauzi anaitwa shezi kama sijakosea jina, katika moja ya video zake anadai kwamba "Don't wait, start, make mistakes and learn, dont wait to be perfect as you will never start if u want to be perfect" ... "most of people believe you gotta be perfect before you start, and if that is you're goal then you will never start" hayo ni maneno yake...
Nikiwa chuo mwaka wa kwanza tu nakumbuka tulipelekwa kwenda kufanya field practicals, kumbuka by that time hatukua mainjinia kamili lakini tulipewa mitambo kuiendesha na kupewa majukumu ya mainjinia bila kujali kwamba tulikua mwaka wa kwanza! My point is, practical ni muhimu, na kama alivyosema shezi dont wait to be perfect ndio uanze!! otherwise hata chuoni tusingepelekwa field kupewa majukumu ya wahandisi wakati sisi tulikuwa mwaka wa kwanza na hatukuhitimu mafunzo ya uhandisi!!
So to all those who we started together, take courage and start doing something, start small and make them mistakes!! dont wait to be perfect ndio uanze!! life is full of risks so even of you won't start then that's another risk!!!
Guys this thing is real! you can make loss or profits within very short period of time! but there's no way you can make it kama huwezi controll hisia zako (psychology) hasa unapopata loss, kusoma/kujifunza ni muhimu na haikwepeki, kufwatilia matukio yanayotokea huko majuu ni muhimu pia!!
Bottomline, In any business, Loss haikwepeki na hata ukiangalia kwenye screen shot kuna ka-loss(-0.24)! kuna saa utapata faida pia kunasaa utachoma account, dont give up that's the essence of business homie!! Na utapounguza account, usijilaumu wala kuumia maana japo umepoteza pesa ila umepata experience(Haya maneno ya ONTARIO)!!! Please do not invest money which you're not willing to lose!!!
Kama ilivyo mbegu iliyo jangwani ikingoja mvua inyeshe ili iote, nasi basi tusikate tamaa katika kuomba Mungu na kufanya kazi na kujifunza mapya kila siku, ili tuendelee kupambana na huyu adui anayejiita UMASKINI!!
Anyways, its weekend, na leo hamna market, acha niendelee kuweka mikakati na kujifunza kwa ajili ya soko jipya!!
One love, One God, One life...tuko pamoja wakuu!!
Wako katika kujifunza,
Lodrick Thomas (Eng.)