Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
GBP/USD leo lazima mtu uwe na uzoefu wa kubadili gia angani, ama sivyo unaua bendi hivi hivi.Aisee hiyo pair ni pasua kichwa kwa nilivyoona. Though kama ningekuwa natrade ningeingia kuanza analysis kwa kuweka tahadhari kuwa most probable USD itapata nguvu kwa wiki hii, na Euro itapoteza nguvu kwa wiki hii.
[emoji3] [emoji3] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Ngoja niweke alama ntarudi kusoma
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ..sio Mr.president ila congr:umewaza mbali sana. ok gud!Sasa JPM ...si watakua balaa hao broker!!??
Mazee wengine tutoe kwenye mkumbohuo.
Mimi ni mtu ambaye sipendi kuanika mambo yangu personal, lakini kuna watu wameniomba mpaka portfolio yangu nimeweka screenshot hapa.
Na vitabu nimeweka.
Naomba uniondoe katika mkumbo huo.
Mbona yote watu washafanya sana humu.Kumpa mtu kitabu ni nako msaada maana mtu hajui chochote kuhusu FOREX leo unampa kitabu akasome uon kama ndo umempoteza kabsa. Basi kama vitabu ni msaada tusingekuwa tunapelekwa shule kufundisha tungekuwa tunapewa vitabu tukasome nyumbani. Mpe mtu basic kuhusu FOREX na BROKER gani mzuri n.k. FOREX ni kama Programming language(kwa watu wa IT wanaelewa) lazima uwe na basic ya kufundisha kwanza ndo ukatafute material mengine. Kama humu JF hawezekani kufundisha weka mazingira rafik ata ya kulipia kwa bei rafik watu wasome .
mkuu usitufanyie hivo, tutajie jina la broker wako tafadhali , hapo umesema mambo ya germany stock index, ukitutajia na broker mwenye full vitu kama hivo itakuwa vizuri zaidiWhen I win let's win together, when I lose let's make losses together
Eish hectic day but it's worth it.
Wazee msione nipo kimya. It's never easy starting something from scratch into a reputable corporate entity. It takes time and concentration - foundation is everything, sitaki nianze kitu niishie kati. So, msione Jeff labda anadelay or something. Kuna jamaa hapo juu ana avatar ya rangi ya blue naona ananikejeli - while hajui nini nafanya na nini kinaniconsume time zaidi.
Kuandaa syllabus ya FX si sawa na syllabus ya Jogi ya form 2. It takes time. But soon mambo yakiwa sawa, inshaallah tutanzaa. Mimi tayari nimeapa afe simba afe mmasai, afe beki afe kipa, we will take over. Sitaki kubahatisha - najua hata uelewa wetu unatofautiana sana, so lazima nifanye kitu ambacho kinaweza kua consumed and absorbed hata na form 4 re-seater.
My boy is winning big time, we are winning and losing together
That boy is going places, he trades what I trade and he learns through it, tunatofautiana tu lot size. Ukiachilia mbali currencies leo tumetrade utamu mwingine, achana na mafuta. Tumeingia soko la Frankfurt na kutrade Germany Stock Index (DE30 ama DAX) - hii inainclude makampuni 30 makubwa zaidi ya ujerumani yenye liquidity kubwa kama Adidas, BMW nk.
Dogo leo kapiga mshahara wa Lecturer (kama tukisema lecturer analipwa kwa siku 267,000). It makes me a happy man.The boy doing it again, jaza ujazwe!!
Guys!! Tuache papara, let's be ready to learn and acquire knowledge na skills - money will flow through. Watu kama huyo jamaa post no. 4632 ni aina ya watu ambao hata ufanyaje, he'll still come back and point a finger at you.
funguka unahitaji nini maana unalalamika bila sababu , yani ushapewa chakula unataka na kutafuniwa, kwetu sisi wengine hii post tu ni elimu tosha,Kumpa mtu kitabu ni nako msaada maana mtu hajui chochote kuhusu FOREX leo unampa kitabu akasome uon kama ndo umempoteza kabsa. Basi kama vitabu ni msaada tusingekuwa tunapelekwa shule kufundisha tungekuwa tunapewa vitabu tukasome nyumbani. Mpe mtu basic kuhusu FOREX na BROKER gani mzuri n.k. FOREX ni kama Programming language(kwa watu wa IT wanaelewa) lazima uwe na basic ya kufundisha kwanza ndo ukatafute material mengine. Kama humu JF hawezekani kufundisha weka mazingira rafik ata ya kulipia kwa bei rafik watu wasome .
Ndomana forex sio ya kila mtu.. Sasa wewe unataka mtu aanze kuambiwa tu broker flani ndo mzuri bila idea yoyote forex ni nini.. Ni sawa na mtoto asiejua kusoma wala kuandika af siku ya kwanza shuleni unaanza kumkremisha ile halo helena cjui beberu chinja na nini huko cjui..Kumpa mtu kitabu ni nako msaada maana mtu hajui chochote kuhusu FOREX leo unampa kitabu akasome uon kama ndo umempoteza kabsa. Basi kama vitabu ni msaada tusingekuwa tunapelekwa shule kufundisha tungekuwa tunapewa vitabu tukasome nyumbani. Mpe mtu basic kuhusu FOREX na BROKER gani mzuri n.k. FOREX ni kama Programming language(kwa watu wa IT wanaelewa) lazima uwe na basic ya kufundisha kwanza ndo ukatafute material mengine. Kama humu JF hawezekani kufundisha weka mazingira rafik ata ya kulipia kwa bei rafik watu wasome .
Boss niambie utatumiaje last kiss au busu la mwisho ili kuepuka fake-out kama PA trader soko likiwa kwenye drifting mood??mkuu usitufanyie hivo, tutajie jina la broker wako tafadhali , hapo umesema mambo ya germany stock index, ukitutajia na broker mwenye full vitu kama hivo itakuwa vizuri zaidi
Ndomana forex sio ya kila mtu.. Sasa wewe unataka mtu aanze kuambiwa tu broker flani ndo mzuri bila idea yoyote forex ni nini.. Ni sawa na mtoto asiejua kusoma wala kuandika af siku ya kwanza shuleni unaanza kumkremisha ile halo helena cjui beberu chinja na nini huko cjui..
Books ndo foundation yenyewe ya forex kwa mtu asiejua chochote about forex we kama ni mvivu kusoma ni wewe ila wengi hapa ambao tumeijua forex kupitia uzi huu vitabu ndio vimetumulikia njia na kututoa matongotongo nakushangaa sana wewe unaekosoa utumiaji wa vitabu unataka mtu akaanze kupigwa pindi moja kwa moja, na hapo ndo inakua rahic kudanganywa sabab huna knowledge yoyote iyosoma kutoka kwenye authentic source (vitabu).
Watch it..!![emoji121]
Boss niambie utatumiaje last kiss au busu la mwisho ili kuepuka fake-out kama PA trader soko likiwa kwenye drifting mood??
Watu kama nyinyi ndio wa kwanza kurusha matusi mkishachoma accounts zenu. Kama una haraka sana do what's best. Forex bila patience ni sawa na kujitekenya tekenya, sasa kama unakosa patience ndogo utaweza kuhandle manyota nyota ya soko.
Mimi kawaida mtu akinipa kitabu nacheza nacho kama kuna sehemu sijaelewa nakwenda kumuuliza na swali specific.funguka unahitaji nini maana unalalamika bila sababu , yani ushapewa chakula unataka na kutafuniwa, kwetu sisi wengine hii post tu ni elimu tosha,
Sasa huyu anataka kuambiwa broker fulani mzuri hata yeye mwenyewe hajui anachotaka nini.Ndomana forex sio ya kila mtu.. Sasa wewe unataka mtu aanze kuambiwa tu broker flani ndo mzuri bila idea yoyote forex ni nini.. Ni sawa na mtoto asiejua kusoma wala kuandika af siku ya kwanza shuleni unaanza kumkremisha ile halo helena cjui beberu chinja na nini huko cjui..
Books ndo foundation yenyewe ya forex kwa mtu asiejua chochote about forex we kama ni mvivu kusoma ni wewe ila wengi hapa ambao tumeijua forex kupitia uzi huu vitabu ndio vimetumulikia njia na kututoa matongotongo nakushangaa sana wewe unaekosoa utumiaji wa vitabu unataka mtu akaanze kupigwa pindi moja kwa moja, na hapo ndo inakua rahic kudanganywa sabab huna knowledge yoyote iyosoma kutoka kwenye authentic source (vitabu).
Watch it..!![emoji121]
Hata huyo wa kwenye avatar yako nae anashida ya lugha ila amekomaa na sasa ivi ndio mkulu!! Komaa boss life is not that easy!!kiukweli Mimi huu Uzi nimeufatilia kwa umakini sana vitabu vyote nimedownload ila tatizo liko kwenye lugha, lugha jamani lugha!!!
Hapo ni kweli,hii kitu haiitaji papara,inabidi mtu uinvest time kusoma.mim nipo mezani hapa.taratibu,mambo yanaeleweka.ni kupata mwongozo kidogo tu.mkuu usinisahau ktk training.niko napiga big shadow hapa.lets learn!...Boss niambie utatumiaje last kiss au busu la mwisho ili kuepuka fake-out kama PA trader soko likiwa kwenye drifting mood??
Watu kama nyinyi ndio wa kwanza kurusha matusi mkishachoma accounts zenu. Kama una haraka sana do what's best. Forex bila patience ni sawa na kujitekenya tekenya, sasa kama unakosa patience ndogo utaweza kuhandle manyota nyota ya soko.