Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Nadhan kakwelewa. Ni kweli hata ufanyeje, hata uwasaidieje watu bado kuna watakaosema hawajasaidiwa au anajiosha.
Mi sikuwahi hata kuandika definition ya forex lakini nimeanza kwa demo account, nimedownload videos youtube, nimetoa vitabu mpaka google scholars.
Hivi sijui watu wanataka walishw vipi
 
Ndugu zangu wana makinikia,

Ninahitaji kufungua Demo Account ya Forex. Naomba recommendation nijaribu Website gani Au kuna mobile App gani ambayo ninaweza kujifunzia hii biashara.

NB. Kama kuna mtu alishawahi kujibu Haya kwenye post za nyuma naomba arudie tena Tafadhali. Post ni nyingi sana sana kuweza kusoma kila mchango hapa.

Nashukuru sana.

~kinga~
 
sasa hio hapo ni simu ama laptop..sijui nianzie wapi.hebu nisanue Chala'angu.
Hiyo ipo mtandaoni, unafanyia analysis kwenye PC na ukiridhika na kufungua trade unakua unatumia simu kuangalia matokeo! Ni kama kuanzisha thread JF kwa kutumia PC alaf usome commebts kwa simu
 
Wanasema Muda mzuri wa kutrade ni Jumanne na jumatano, Hivi kuna siri gani kati ya siku hizo?
Au ni propaganda tu?
ONTARIO
J4 na J5 ni siku ambazo trader wakubwa wanakuwa wamemaliza ku finalise analysis yao baada ya kuona j3 market imeamka vip, so kunakuwa na trades nying zinafanyika hiyo inapelekea market kuchangamka so hata ukitrade position itakua inatembea fasta
 
Mkuu sasa ninavyojiunga na kudeposite pesa yangu kwa ajili ya kucheza huu mchezo, Je pesa ninayo deposite ina kuwa in Tsh au nina badilisha kwanza kwenye Us dollar ndo naanza kucheza?
inategemea akaunti yako ya benki uliifungulia kwa curency ipi, na ungpendelea kutrade katika currency ipi. Yote hayo ni juu yako, na kikubwa kitakachoplay part kama currency zisizofanana ni exchange rate ya siku husika wakati unafany transaction.
 


Nikiwa katika practice ya FIBONACCI tricks, na determination perfect entrance/exit point katika trade, nikavamia BRENTOIL.

Nimejaribu kuanalyse BRENTOIL kwa kutumia price action na msaada wa fibs, Price action inaonesha ni downtrend kwa sasa, na naona kuna posibility kubwa kukawa na retracement/resistance katika 50% level. kwa maana trend ilijaribu kurudi chini kwa kutengeneza dari katika 50% level, ila kumetokea buyers ambao wanataka previous trend(uptrend to continue) ingawaje sellers wanaonekana kutake back their lost trend, ingawaje sellers pia wana pullback jitihada za buyers. Hii inaashiriwa na DOJI ambayo ipo right on 50% spot mpaka sasa.

Kwa kuzingatia kanuni yetu kuwa never go against trend, Na trend yetu inaonesha ni downward trend na kuna down swings kadhaa. Hivyo 50% mark kwa mimi ndo naona ndo perfect mark ya kuingia short katika trade. Lets see nini kitajiri. Kama mimi ningekuwa nafanya biashara ningeuza hapo katika 50% mark

CC: Bavaria, Ontario
 
 
Wanasema Muda mzuri wa kutrade ni Jumanne na jumatano, Hivi kuna siri gani kati ya siku hizo?
Au ni propaganda tu?
ONTARIO
Mkuu dunia inazunguka Wakati Europe wanafunga soko Lao la pesa unakuta Australia wanafungua na Australia wakiwa wanafunga basi America wanafungua pia Kuna weekends masoko mengi hufungwa so kwenye mwingiliano wa hizo zones ndo zinaangukia j4,j5,alhamis ndo soko la pesa linafurahisha
 
Mimi sio mjuvi lakini wakati watu wanazungumzia Online Shopping maneno yalikuwa hayahaya lakini kiukweli watu wanafanya.

Hivi vitabu lukuki vilivyoko mitandaoni na madukani vinavyohusu forex ina maana vinatajeti wizi?
 
Naomba nimjbie... Iwe consolidation trend unaiwekea zone.baada ya consolidation kuna Candle inakua inatoka nje ya zone km inatrend lakn inarud na kutouch tena zone then inaanza tena trend nje ya zone. Io ndo Last kiss kuepuka Fake breakout.
Hakksha exitn candles zpo atleast 6 kabla ya kugusa tena zone then izo exitn candle zisiwe zmegusa zone kabsa. Hii inakua nzur zaid kkutrade pip nyng.
count me IN
 
Mkuu vizuri kama darasa likaanzia humu pia. Ni vema pia watu wakasoma vitabu kwa wingi kabla ya yote.
Vitabu vya "Kizaramo" vipo mkuu? Kuna tatizo kwa sisi ambao tuliishia madarasa lazima. Je, mtatusaidiaje?
Serious.

CC: Ontario.
 
Wakuu nisaidien jinsi ya kuchora point a and b kwenye fibonnaci retracement...nashindwa kugundua high swing and low swing
 
Wakuu nisaidien jinsi ya kuchora point a and b kwenye fibonnaci retracement...nashindwa kugundua high swing and low swing

Aisee swali lako lipo too general. Ili kupata msaada, weka screenshot ya kile unachotaka kichorewe Fibonacci, then watu wataichora na kuiupload tena humu uone.

Ila tuu caution, Fibonacci is not final an conclusive fact ya kuingia katika trade. Ni lazima iwe combined na tools nyingine ili kupata picha halisi ya nini kinaendelea katika market. Na kupata haswa kile unachokikusudia.

Na pia tambua kuwa, kutokea katika chart moja kila mtu anaweza kuja na analysis yake ambayo ipo tofauti na mwenzake. Na kila mmoja akawa yupo sahihi juu analysis yake.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…