Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
AKILI YANGU NAIJUA MWENYEWE,MIMI SIJACHORA CHOCHOTE ZAIDI YA KUSOMA NA KUWEZA KUWEKA LOSS PROFIT NA TAKE PROFIT SANA SANA NASUBIRIA KUTOKA KWA ONTARIO WAKATI ANATUFUNDISHA NAMNA YA KUCHORA KWA KUTUMIA PROJECTOR KWENYE MAFUNZO SIKU IKIWADIA
 
Heshima kwenu wakuu.
Nampa pongezi kubwa sana mkuu ONTARIO Kwa kutoa Siri nzito Sana ya mafanikio ambayo wengi wetu tuna roho za korosho na hatupendi wengine wapate.
MUNGU akubariki Sana ONTARIO na akuzidishie.
Baada ya mada ya mkuu ONTARIO, niliamua kuingia kazini na kusoma Kwa kina Sana kuhusu FOREX trading, Usiniulize nilitoa wapi kitabu au notice, ukiwa na nia ya kujua kitu ni lazima tu utaziona notice zilipo hata Kama ni chini ya bahari.
Wakati nikiwa nimejichimbia kusoma Niliendelea kusoma maoni ya ndugu zangu kwenye uzi wa ONTARIO, nikabaini kuwa ndugu zangu watanzania tuna safari ndefu Sana ya kufikia kwenye mafanikio.
Wengi sana wanaogopa kupoteza pesa, wanapenda mambo laini tu, nilishangaa Sana, a true soldier can't be upset of a single bullet, tangu lini askari wa kweli akahofia kupigwa risasi vitani, na tena risasi moja tu? Tena ya mguuni.
Anayeogopa Forex trading siyo mjasiriamali, ukweli ni kwamba, wanapoteza Forex ni wachache Sana na wanaopiga pesa ni wengi mno.
Twende kwenye mada.
Nashukuru Mungu tayari nimeshapiga pesa ya kutosha Kwa muda mfupi tu, sasa kinachonipa shida ni benki ya uhakika ya kuwa nachukulia pesa zangu maana benki nyingi ni Kama wana chuki ya asili na hii biashara.
Anayetambua ni benki ipi bora tujuzane tafadhali, maana Tatizo la ndugu yangu ONTARIO hajibu pm.
Ahah kwamba umepiga msuli mnene, umefuatilia comments humu na ushapiga mkwanja wa maana ila hujui benki gani ni nzuri kwa hii trade. Ooh sweet lord help us Tanzanian
 
uuuhhhhhh, kuna m2 kanipigia kua xul inaanza sunday duuuh, nmetoka jasho, nkadhan kuna post cjaiona.
asanteni kwa kuja
 
  • Thanks
Reactions: MC7
duuuj hatimaye dummies kimeisha.... technical analysis still changamoto... ngoja nirudie tena kwenye vitabu vingine
 
Habarini waheshimiwa, katika pitapita zungu hapa JF leo, nimekutana na uzi, na nikajaribu kuusoma, nilichongudua ni kuona nimekosa mengi sana, maana uzi huu umekuwepo tangu mwezi May...Naamini penye nia pana njia, napenda kuungana nanyi katika kuyasaka mafanikio kwa kujifunza elimu hii ili baadae nichukue hatua. Mheshimiwa ONTARIO, NAOMBA KATIKA HAO WATU MIA 300 IKIWA WAMESHAFIKA 299, BASI MIMI NIWE WA MIA 300. Asanteni kwa kunipokea, na niaanza kusoma post zote.
 
Habarini waheshimiwa, katika pitapita zungu hapa JF leo, nimekutana na uzi, na nikajaribu kuusoma, nilichongudua ni kuona nimekosa mengi sana, maana uzi huu umekuwepo tangu mwezi May...Naamini penye nia pana njia, napenda kuungana nanyi katika kuyasaka mafanikio kwa kujifunza elimu hii ili baadae nichukue hatua. Mheshimiwa ONTARIO, NAOMBA KATIKA HAO WATU MIA 300 IKIWA WAMESHAFIKA 299, BASI MIMI NIWE WA MIA 300. Asanteni kwa kunipokea, na niaanza kusoma post zote.
Next time soma kwanza
 
Ingia pale kwenye pairs kisha click ile sehem ya juu yenye alama +(plus)... Pale nadhani unaweza ku add pair ya oil... Wengine wanaweza kusaidia
Kwenye mt4 hakuna oil
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom