Ahah kwamba umepiga msuli mnene, umefuatilia comments humu na ushapiga mkwanja wa maana ila hujui benki gani ni nzuri kwa hii trade. Ooh sweet lord help us TanzanianHeshima kwenu wakuu.
Nampa pongezi kubwa sana mkuu ONTARIO Kwa kutoa Siri nzito Sana ya mafanikio ambayo wengi wetu tuna roho za korosho na hatupendi wengine wapate.
MUNGU akubariki Sana ONTARIO na akuzidishie.
Baada ya mada ya mkuu ONTARIO, niliamua kuingia kazini na kusoma Kwa kina Sana kuhusu FOREX trading, Usiniulize nilitoa wapi kitabu au notice, ukiwa na nia ya kujua kitu ni lazima tu utaziona notice zilipo hata Kama ni chini ya bahari.
Wakati nikiwa nimejichimbia kusoma Niliendelea kusoma maoni ya ndugu zangu kwenye uzi wa ONTARIO, nikabaini kuwa ndugu zangu watanzania tuna safari ndefu Sana ya kufikia kwenye mafanikio.
Wengi sana wanaogopa kupoteza pesa, wanapenda mambo laini tu, nilishangaa Sana, a true soldier can't be upset of a single bullet, tangu lini askari wa kweli akahofia kupigwa risasi vitani, na tena risasi moja tu? Tena ya mguuni.
Anayeogopa Forex trading siyo mjasiriamali, ukweli ni kwamba, wanapoteza Forex ni wachache Sana na wanaopiga pesa ni wengi mno.
Twende kwenye mada.
Nashukuru Mungu tayari nimeshapiga pesa ya kutosha Kwa muda mfupi tu, sasa kinachonipa shida ni benki ya uhakika ya kuwa nachukulia pesa zangu maana benki nyingi ni Kama wana chuki ya asili na hii biashara.
Anayetambua ni benki ipi bora tujuzane tafadhali, maana Tatizo la ndugu yangu ONTARIO hajibu pm.
jamaan hao 300@ONTARIO naomba niwe wa 299
Naomba hiyo dummiesduuuj hatimaye dummies kimeisha.... technical analysis still changamoto... ngoja nirudie tena kwenye vitabu vingine
Next time soma kwanzaHabarini waheshimiwa, katika pitapita zungu hapa JF leo, nimekutana na uzi, na nikajaribu kuusoma, nilichongudua ni kuona nimekosa mengi sana, maana uzi huu umekuwepo tangu mwezi May...Naamini penye nia pana njia, napenda kuungana nanyi katika kuyasaka mafanikio kwa kujifunza elimu hii ili baadae nichukue hatua. Mheshimiwa ONTARIO, NAOMBA KATIKA HAO WATU MIA 300 IKIWA WAMESHAFIKA 299, BASI MIMI NIWE WA MIA 300. Asanteni kwa kunipokea, na niaanza kusoma post zote.
Hongera,mm niko na naked napambana nayo then nihamie astrofx.mambo yanaeleweka kwa kweliduuuj hatimaye dummies kimeisha.... technical analysis still changamoto... ngoja nirudie tena kwenye vitabu vingine
duuuj hatimaye dummies kimeisha.... technical analysis still changamoto... ngoja nirudie tena kwenye vitabu vingine
acha tuNakuona huchezi mbali. Inakuwa kama enzi zile nyumbani kumepikwa wali maharagwe.
Fungua additional account, kuna internal transfer bila gharama ni ndani ya 30 seconds umemaliza kutransfer.Kwa hiyo mkuu hii MT4 yangu niachane nayo mkuu..coz haina oil
Kwenye mt4 hakuna oilIngia pale kwenye pairs kisha click ile sehem ya juu yenye alama +(plus)... Pale nadhani unaweza ku add pair ya oil... Wengine wanaweza kusaidia
Sio lazima uibadili kuwa ya dolarCRDB vipi wakuu ninauliza mana nina card waliniambiaga naweza ibadili kuwa ya dolari
ipo inategemea na broker unayetumia, mimi natumia JPKwenye mt4 hakuna oil