Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
like a financial analyst,siku za usoni natumaini tutakuwa na wachambuzi wetu wa masuala ya financial market kwenye TV stations za kibongo,mwanzo huoneakana hivi,good job mdau
 
Asante sana, mkuu kwa uzi huu....! Unajua mimi nilipokuwa nafuatilia mambo ya financial market...yaani mbali nakujua kidogo lugha ya malkia yaani wale watangazaji nilikuwa naona wanongea marue rue...! Kwa uzi huu nimeweza kupata rough idea juu ya forex. nimeamua kwanza kabla ya kuja kwenye darasa lako walao nijue 1,2,3 za forex. nimekutana na website hii How to Trade Forex
yaani slide zao mbili tu...yaani ari ya kutaka kufanya forex trading imeongezeka maradufu.
==
Niko tayari kuwa mwanafunzi wako.
 
Again GOLD analysis




katika harakati za kuangalia bei ya dhahabu, Kutoka katika chart ya juu, nimeona kwa takribani miezi mitatu, Gold imekuwa ikiitii hiyo channel ya support na resistance nilizozichora kwa dashed line. Na situation ya sasa ni kwamba imegota katika sakafu na as our rule says never go agaisnt trend, Hivyo kwa kuzingatia kanuni hii mimi ningenunua dhahabu.

Nikaongezea Fibonacci, Tunaona kabisa kwamba imetest fib line katika 23.6%, na kurudi chini, ila trend inaonesha ni uptrend na hiyo kugota katika 23.6 ni just sellers wanajitahidi kujitutumua kuendelea na monopoly. Ila kwa msaada wa stochastic inaniambia kwamba wanunuaji wameshanunua vya kutosha na wapo katika saturation zone. Hii inanipa picha kwamba next time price itabreak hiyo level ya 23.6% na kwenda juu zaidi.





Kuongezea sababu za kununua, Nikaongeza na bollinger bands katika hiyo chart ya juu. Inaonesha price imegusa band ya chini. Na kama moja wapo ya concepts za bolinge zinavyosema kwamba lower side band most of the time can act as a support yo the price action, Na nikicombine na kutoka katika stochastic inayoonesha sellers wameingia saturation zone, then hapa conclusion kwangu ni kununua na kukaa pembeni nikisubiri maamuzi ya soko.

CC: Bavaria, Ontario.
 


BOOOOOOMMMMM...!!

Kwa wale scalpers tayari wangekuwa wameshaweka kibindoni pips kadhaa mpaka sasa. Na 50% mark kweli ina dalili za kuwa resistance level.

 
ha
hapo mkuu ni analysis nzuri mm binafsi nimeelewa sana,ila nataka kujua kwa analysis hii does not consider time frame,so kama una press buy button there is no need to apply stop loss and take profit au itakuwaje,because once you have spoted the entry buy point it means unaweza ku face some retracement hapo but ushajua kuwa direction ni uptrend je hizo reversals haziwezi ku affect na kuleta loss kama huja apply SL and TP,ufafanuzi zaidi please
 
Benji nzuri ni FNB kama alivyosema Ontario hapo mwanzo.
 


Ukitaka uwe na maisha marefu katika hii biashara, Stop loss ndo mkombozi wako, vinginevyo jiandae one day kufadhaika kusiko kifani. Kwa mimi, hapo ningetumia trailing stop loss, ambapo ningeweka initial stop los chini kidogo ya hiyo support level, na ningefanya hivyo kwa sababu, imekuwa takribani miezi mitatu price haijashuka chini ya hiyo support level.
 
BOOOOOOMMMMM...!!

Kwa wale scalpers tayari wangekuwa wameshaweka kibindoni pips kadhaa mpaka sasa. Na 50% mark kweli ina dalili za kuwa resistance level.

View attachment 535981

Its your turn to go short mkuu. Umezitumia vizuri indicator na inshort I think over buying has been done vya kutosha.
Good analysis.
 
Mkuu pangah asante kwa download link,,lakini haifunguki hii,nikifungua inanipeleka kwenye software ya kufungulia ambayo sina kwenye PC yangu,,mdau yeyote ambaye anaweza aka upload forex bible hapa ili tukipakue ambao hatujakipata
mmi nime download na nimeipata kirahisi tu
 

jamaan hao 300@ONTARIO naomba niwe wa 299

Sorry, hiyo ndio nafasi yangu, jaribu 300

Na hiyo 300 Ni yangu labda ajaribu 301 kama inaruhusiwa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Hizi nafasi mbili zimegeuka kua mcharo..
 


Mkuu mm bado nipo kwenye demo...namtumia JPmarkets...ila trailing stop loss siioni...na wakati unasoma Kuhusu trailing stop loss walisema sio broker wote wana offer tsl..ebu nisaidie kidogo Mkuu au wewe broker unayemtumia ana tsl???
 
Mkuu hongera kwa speed ya kusoma,na pongezi kwa kuchukua hatua,vitabu vyote recomended ninavyo kasoro hicho cha forex bible,msaada wa kukipata softcopy au kama kuna link ilitolewa humu sijaona naomba msaada nikipate





Mkuu nimeona kama umesema umedownload folder la vitabu Kutoka kwa Mwl.CRT ila halifunguki...kama unatumia PC jaribu kudownload unzip file.

Mm natumia cm...Bible forex ninayo ila Sijui kwa nn simu yangu siwezi Fanya attachments nungekutumia mkuu....ila nikiwa kwa computer nitakutumia mkuu wangu..pamoja mkuu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…