Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Baada ya kuanza kusoma vitabu vya Forex nimegundua dawa mujarabu kabisa, ukitendwa na bf au gf wako njoo usome Forex utamsahau ndani ya wiki tu,100% proved!!!!ha ha haaa

Kabisa. Jamaa mmoja wakuitwa Jordan Bellfort aliwapa hiyo strategy vijana wake wa sales katika movie ya The Wolf Of Wallstreet.
 
Baada ya kuchunguza sana na kutumia Demo account nikagundua huu ni utapeli. A total scam.
Kuna mawil apa kama sio mvivu wa kusoma yawezekana umesoma vitabu Sana but hujaelewa chochote na kama ivo sivyo basi uchunguzi wako ni wakimakinikia zaid, wasalim uko. N.B Usiache kuja apa kuchek updates za wadau
 
Mkuu hongera kwa speed ya kusoma,na pongezi kwa kuchukua hatua,vitabu vyote recomended ninavyo kasoro hicho cha forex bible,msaada wa kukipata softcopy au kama kuna link ilitolewa humu sijaona naomba msaada nikipate


mkuu forex bible hyo hapo kama bado hujapata
 

Attachments


Booooom, Jana 0% level ilikubali kuwa kama support, na ilitii analysis yetu.




Booooom, Jana 0% level ilikubali kuwa kama support, na ilitii analysis yetu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…