chanika moja
Member
- Apr 18, 2015
- 80
- 29
Hlf hajaweka stop loss au sio!?Kwa maelezo yake aliiacha usiku mzima ameamka asubuhi anakuta kitu kimejibu
Yaani huelewi? Ukimu win broker ana maana ukimpa broker rushwa...mambo yakibongo bongo babuu!Ukimuwin broker kivipi.? Broker anahusikaje katika mafanikio yako ya kufanikiwa katika biashara ya forex.?
Kwa maana broker ni kwamba anakupa platfoam tuu ya wewe kuingia sokoni, na si yeye anayepanga price ya how currency should react on each other. Kinachoamua how certain currency ireact against currency nyingine ni nguvu ya supply and demand.
Supply na demand ndo vinavyoamua namna soko linavyotakiwa kuwa, na namna curency pair zitakavyoreact. Hakuna broker anayepanga soko kama vile gambling house wanavyopanga odds.
$7000Mkuu Kama Naanza natakiwa kuanza kwa Kiasi gani cha pesa
Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
Unaandika with authority as if you know anything about mental illness!Umeshawai ku diagnose mgonjwa wa akili katika maisha yako ya shida mpaka unakimbilia uzii huu ukuokoe na dhiki zako? Utatuzi wa shida zako hautopatikana kwa forex trading kamwe! Unajisumbua tu na ukichaa wako! [emoji23] [emoji23]Ahah mkuu ujue watanzania wengi wanaumwa magonjwa ya akili ila hawajitambui naamini huyo jamaa ni mmojawapo
Sent from my BEGIN 101 using JamiiForums mobile app
Toka hapa muongo wewe![emoji23] [emoji23] [emoji23]Namshukuru Mungu kwa sasa,angalau kila wiki napata dola 500$
Utabaki hivo hivo mkuu,ngoja sisi tu move on!..Toka hapa muongo wewe![emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Mmhh mkuu kwenye Live acc asiweke stop loss tena... Hawa ma pro trader mambo ya risk management wanazingatia sanaHlf hajaweka stop loss au sio!?
Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
Ulianza na mtaji gani mwanangNamshukuru Mungu kwa sasa,angalau kila wiki napata dola 500$
Really elfu saba???$7000
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Sometimes brokers wana influence market. Refer market marker broker!!Ukimuwin broker kivipi.? Broker anahusikaje katika mafanikio yako ya kufanikiwa katika biashara ya forex.?
Kwa maana broker ni kwamba anakupa platfoam tuu ya wewe kuingia sokoni, na si yeye anayepanga price ya how currency should react on each other. Kinachoamua how certain currency ireact against currency nyingine ni nguvu ya supply and demand.
Supply na demand ndo vinavyoamua namna soko linavyotakiwa kuwa, na namna curency pair zitakavyoreact. Hakuna broker anayepanga soko kama vile gambling house wanavyopanga odds.
Kila nkiiona hii post duh kiroho kinadunda,Mkuu Ontario utaanza lini darasa hata kama ni la kulipia?Ni Ontario boss.
Watu wazembe kama wewe mtakuja kunisumbua darasani na kunichafulia jina. Uzi una post 2600 unashindwa kusoma, utaweza kumaliza page 660 ya Bible of a trader?!
Nilishatoka kwenye 300, nipo kwenye 150.
Kila mwenye nia ya kujifunza na kubadili knowledge into reality ndio watakaopata fursa ya kunijoin. Sitaki kuwa kama syllabus za Kibongo mtu anasoma miaka 17-20 lkn akitoka shule hajui nini kinafata. I want real traders - na real traders mpk sasa atakua anajua ABC kuhusu forex. Hakuna nafasi nitakazotoa kama sanda kalawe - watoto wenye akili za kiInstagram hii kitu haitawahusu, I need serious people who know what life means.
Pili haya mafunzo hayatakuwa ya batch 1, nitakua sijafanya kitu - sawa na kusema nitakua nimetengeza tu gap kati ya have and have not. Hiki kitu ni continuous, baada ya batch ya kwanza itakuja ya 2, ya 3, ya 4... mpaka tunafika batch 10 hivi by mwisho wa mwaka - lkn hawa itabidi wachangie ela ya AC na umeme.
Na kama alivyopendekeza ndugu yangu Bavaria, wanafunzi wa batch za mwanzo mwanzo nataka tuanze as soon as possible ili hadi kufika Dec tupange trip ya kwenda Capetown au Durban, yani tunabook SA Airways yote, tunaenda vacation kujipongeza (I'm only happy when the whole team is winning). Tukifika hatua hiyo nahisi watu wataelewa nini namaanisha. Kuanzia mwakani sasa kila kichwa kitakua kinalipia ada kama ya CPA au school of law. Ndipo tutakapoweza kufungua branch Mwanza, Arusha, Mbeya, Dodoma nk.
Umemuandikia Ontario alafu unaweka Cc to Ontario! Umeshamuandikia sasa copy kwa Ontario ya nini? Ontario ataona haufai kufundishwa.. ndiyo nyiye wa "syllabus za kibongo" kama alivyosema Ontario, miaka 20 ukimaliza kusomeshwa bado huelewi unatoka mweupe!Kila nkiiona hii post duh kiroho kinadunda,Mkuu Ontario utaanza lini darasa hata kama ni la kulipia?
Cc ontario
Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app
Reallyyy mjomba! Haya katafute $7000 sasa uliwe! [emoji23] [emoji23]Really elfu saba???
Sent from my TECNO 8H using JamiiForums mobile app
150$Ulianza na mtaji gani mwanang
Sent from my TECNO 8H using JamiiForums mobile app
mberoya mbona ivo man ucdiscourage raia kiac icho naamin nawe upo humu kujifunzaReallyyy mjomba! Haya katafute $7000 sasa uliwe! [emoji23] [emoji23]
mberoya mbona ivo man ucdiscourage raia kiac icho naamin nawe upo humu kujifunza
mpe bac info sahihi
navojua hata $150 unafungua live acc
Sent from my Infinix-X552 using JamiiForums mobile app
Even 10$,you can startmberoya mbona ivo man ucdiscourage raia kiac icho naamin nawe upo humu kujifunza
mpe bac info sahihi
navojua hata $150 unafungua live acc
Sent from my Infinix-X552 using JamiiForums mobile app
We jamaa unaijua Forex vizuri tena i bet we ni pro,bahati mbaya una roho mbaya ya kimaskini na uchoyo sio wa nchi hii,haiwezekani uiponde Forex kwa Nguvu zote hizi bila kutoa solution ya mabaya ya Forex au alternative idea,mkuu tupe mbadala basi ambao ni rahisi kuliko Forex kuliko unavyotumia muda mwingi kuipondaUmemuandikia Ontario alafu unaweka Cc to Ontario! Umeshamuandikia sasa copy kwa Ontario ya nini? Ontario ataona haufai kufundishwa.. ndiyo nyiye wa "syllabus za kibongo" kama alivyosema Ontario, miaka 20 ukimaliza kusomeshwa bado huelewi unatoka mweupe!
Mambo ya forex trading yanaitaji commitment, focus, time, knowledge, enough fund to loose na akili iliyo sawazika, ama sivyo utakufa kifo cha miguu juu kama mende! Utaikimbia mwenyewe forex trading lakini broker mwenzako atakuwa anadunda!