Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.


POVU sio jibu, TUSUBIRI KILIO KIKUU
 
Naanza kuelewa
 
Kwa mwanzo kabisa hao watu watatusamehe kwakweli, lkn naamini with time tunaweza kutrain mentors ambao watatoa special classes kwa hiyo group. Haishindikaniki boss.
Namna ya kukupata mkuu ama hata mawasiliano yako
 
Enyi Wenzangu, ambao mnaonyeshwa TAMU SIDE ya hii kitu, nanyi mnaamini kila kilichopo mitandaoni.....

Niwaase kwa nia njema, hukatazwi ..... ila tumia akili zako zaidi kuliko za kushikiwa..... kumbuka hakuna mtu unayemjua , pindi inakula kwako utakuja humuhumu kulia......

TUSUBIRI KILIO KIKUU
 
Asante kwa kumshauri nasi tuna shauku ya kujua ila watu tusio jua rugha tumehaisiwa atu ya pili atatuweka kundi maalum ila tunaona tumetengwa tulitaka tuwe pamoja atumaanishi kutokujua rugha ni wajinga na atutaki kujua rugha ila tatizo vichwa vimeingiliana na mambo mengi ata kwenda kusoma hiyo rugha ya muingereza hatuna muda na ata tukienda aviingi kichwani ubongo una loodi sababu tumekimbilia biashara na kushika pesa .Tunaomba tafadhali utuweke usitusahau pamija tujenge taifa.
 
Mkuu! Naomba kujiunganisha nawe please! Hakika ni MUNGU kakuleta humu JF asubuhi hii!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…