Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.

Asante Mkuu
 
Naomba website za hao brokers wanaotoa bonus mkuu ili na mimi niwe mteja wao niongezee ujuzi wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MasterCard inakubaliwa na hao brocker ?
 
wadau, tujulishane njia nzuri ya kudeposite na kutumiwa fedha na broker pale tupatapo faida baada ya kutrade forex, mimi nimefungua account katika benk ya Equity bank posta. nilimueleza nahitaji account ambayo naweza fanyia biashara za mtandao ikiwepo na forex busness aliniambia hakuna haja ya kufungua account ya fedha za kigeni, fungua account ya kawaida ila tutakupa viza kadi, ndani ya dakika 20 nilipata visa card iliyounganishwa, tatizo sijui niazie wapi sasa, msaada kwa wajuz
 
bora nyie mliojifungia huku mnatengeneza pesa.sisi ngoja tuendelee kusumbuana na wakina lipumba
heheh mkuu Jf imejaa nyuzi za MMU hadi nakereka yani ukienda insta kule ni umbea tu ukirudi fb ni utoto utoto tu! yaani ukitafakari utagundua ss watz tukiweka bando hamna cha maana tunachofatilia mitandaoni zaidi ya udaku! tangu nimeuona Uzi huu sichezi mbali nao bahati nzuri nimebahatika na kujiunga na magrp yanayohusiana na kitu hiki yaani nimebadilika haswa nikitembea najiona kuwa ninakitu kichwani bacho wengi wa vijana hawana japo safari ndefu ila naimani nitafika tu!!
 
Wadau kuna mtu/sehemu wanatoa training za Forex...wenzetu mnajifunzaje?
 
AF mimi napendekeza hii thread iondolewe aisee wengi wetu humu tumeshafahamu nahisi kabisa mabank yataweka umoja wao nakupinga hichi tunachofanya kwa serikali ili tuonekane tunakiuka hivyo kufanya tunapoteza hili dili maono yangu lakini
 
My assumption is...

1. Una basics za forex (umeshasoma vitabu)

2. Una broker tayari(kama huna unaweza kutafuta online...)

Kama una visa card unaweza itumia ku-deposit kwa broker, ni rahisi tu! Nenda kwenye website yake, uki-login kwenye akaunti yako utaona kuna sehemu ya ku-deposit, weka namba za card yako then you're good to go!!!

Lakini uwe na uhakika broker wako ana support kudeposit pesa kwa visa card!!

Last remark, equity bank rate yao ni 2303TSH kwa dola moja, so chukua kiwango chako cha pesa gawanya kwa 2303tsh kupata dola utazoweza kudeposit kwa broker wako!!

Kila la heri!!
 
AF mimi napendekeza hii thread iondolewe aisee wengi wetu humu tumeshafahamu nahisi kabisa mabank yataweka umoja wao nakupinga hichi tunachofanya kwa serikali ili tuonekane tunakiuka hivyo kufanya tunapoteza hili dili maono yangu lakini
Mimi sioni kama ni sahihi uzi kutolewa, maana kila siku member wapya wanajiunga JF! So itakua faida kwao pia!!

Sizani kama mabenki wanaweza kuzuia, na kama mafunzo yakianza ina maana jamaa atakua amepata kibali!!

Ila ina case nchi ikizuia tutaamia South au hata hapo Kenya kuendeleza mapambano!!
 
kweli kabisa shaka yangu ili kuwa hapo kupata kibali sababu yeye mwenyew alisema mabenk walikuwa hawataki watu wajue kila mtu aliyejiunga hapa sasa aone jf ni tofauti na mitandao mingine
 

Mkuu kwa kweli hapa umenena vyema nilishafikiria kuhusu KUHAMIA SA au nchi nyingine ya jirani (hapa saivi nafanya mchakato wa passport) incase kama serikalii yetu na taasis zake zitaonesha kupinga au kuleta any resistance to forex traders (Retail traders ) here in tanzania. Finacial freedom is what i have been dreaming for long time na nitashangaa sana (although they WILL NEVER stop me) kama nitaona serikari yetu inashindwa ku support hii kitu ili kuukuza uchumi hata kama bishara ya mabenki itadorora kwanza ndio utakuwa muda muafaka wa kufanya mabadiliko kwenye biashara hiyo ya banking ikiwa ni pamoja na kuboresha huduma na kuwa wabunifu. Aisee huu moto hauzimiki and i belive kuna wenzangu na mimi ambao na wao wameshaamua kuwekeza muda and other resources kwenye forex baada Mr ONTARIO kutufungulia hii fursa hapa. Nisiseme mengi ngoja nirudi study room kundeleza mapambano.
MAY ALL THE PIPs BE WITH YOU ALL.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…