Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Updates kwa Upande wangu.

Nimeamua kuchoma pesa, nimetuma pesa leo kwa Broker throuhg Bnk wire (kwanini bank wire) kulingana na bank nayotumia nimeona nirahisi kwangu hata kutoa pesa nikiamua kuwithdraw nikishinda ni ndani ya saa 24 nakua na pesa mkononi, pia njia utayotumia kulipa ndio utayotumia kulipwako BANK WIRE nikaona ni "suitable way":
NIMEAMUA KURISK NA SIOGOPI KURISK NA SI MARA YA KWANZA KURISK

Nimetuma Tshs. 850,000/= kama USD 320 Hivi, na Usd 75 (Tshs. 58,000) kama fee ya kutuma, mpaka sasa wameshanijulisha pesa imetumwa ila haijafika kwa broker ko kesho nitaanza kutrade rasmi kama MUNGU akitupa uzima,

MALENGO

1. Nimeamua nicheze "real" ili nipate uzoefu zaidi maana real ina changamoto nyingi sana kuliko demo.
2. Nitatrade kwa malengo ya usd 200 tu kwa wiki kama faida ila sijaliweka kipaumbele sana
3. Sitojali kuchoma akaunti​
 
Updates kwa Upande wangu.

Nimeamua kuchoma pesa, nimetuma pesa leo kwa Broker throuhg Bnk wire (kwanini bank wire) kulingana na bank nayotumia nimeona nirahisi kwangu hata kutoa pesa nikiamua kuwithdraw nikishinda ni ndani ya saa 24 nakua na pesa mkononi, pia njia utayotumia kulipa ndio utayotumia kulipwako BANK WIRE nikaona ni "suitable way":
NIMEAMUA KURISK NA SIOGOPI KURISK NA SI MARA YA KWANZA KURISK

Nimetuma Tshs. 850,000/= kama USD 320 Hivi, na Usd 75 (Tshs. 58,000) kama fee ya kutuma, mpaka sasa wameshanijulisha pesa imetumwa ila haijafika kwa broker ko kesho nitaanza kutrade rasmi kama MUNGU akitupa uzima,

MALENGO

1. Nimeamua nicheze "real" ili nipate uzoefu zaidi maana real ina changamoto nyingi sana kuliko demo.
2. Nitatrade kwa malengo ya usd 200 tu kwa wiki kama faida ila sijaliweka kipaumbele sana
3. Sitojali kuchoma akaunti​
Safi mkuu. Benki ipi umetumia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Updates kwa Upande wangu.

Nimeamua kuchoma pesa, nimetuma pesa leo kwa Broker throuhg Bnk wire (kwanini bank wire) kulingana na bank nayotumia nimeona nirahisi kwangu hata kutoa pesa nikiamua kuwithdraw nikishinda ni ndani ya saa 24 nakua na pesa mkononi, pia njia utayotumia kulipa ndio utayotumia kulipwako BANK WIRE nikaona ni "suitable way":
NIMEAMUA KURISK NA SIOGOPI KURISK NA SI MARA YA KWANZA KURISK

Nimetuma Tshs. 850,000/= kama USD 320 Hivi, na Usd 75 (Tshs. 58,000) kama fee ya kutuma, mpaka sasa wameshanijulisha pesa imetumwa ila haijafika kwa broker ko kesho nitaanza kutrade rasmi kama MUNGU akitupa uzima,

MALENGO

1. Nimeamua nicheze "real" ili nipate uzoefu zaidi maana real ina changamoto nyingi sana kuliko demo.
2. Nitatrade kwa malengo ya usd 200 tu kwa wiki kama faida ila sijaliweka kipaumbele sana
3. Sitojali kuchoma akaunti​

Hatua nzuri sana hiyo mkuu. Wakati una register live ulitumia passport au Identity ya kura?
 
Updates kwa Upande wangu.

Nimeamua kuchoma pesa, nimetuma pesa leo kwa Broker throuhg Bnk wire (kwanini bank wire) kulingana na bank nayotumia nimeona nirahisi kwangu hata kutoa pesa nikiamua kuwithdraw nikishinda ni ndani ya saa 24 nakua na pesa mkononi, pia njia utayotumia kulipa ndio utayotumia kulipwako BANK WIRE nikaona ni "suitable way":
NIMEAMUA KURISK NA SIOGOPI KURISK NA SI MARA YA KWANZA KURISK

Nimetuma Tshs. 850,000/= kama USD 320 Hivi, na Usd 75 (Tshs. 58,000) kama fee ya kutuma, mpaka sasa wameshanijulisha pesa imetumwa ila haijafika kwa broker ko kesho nitaanza kutrade rasmi kama MUNGU akitupa uzima,

MALENGO

1. Nimeamua nicheze "real" ili nipate uzoefu zaidi maana real ina changamoto nyingi sana kuliko demo.
2. Nitatrade kwa malengo ya usd 200 tu kwa wiki kama faida ila sijaliweka kipaumbele sana
3. Sitojali kuchoma akaunti​

Sawa Mkuu, things to avoid
1. Don't put high Lot size
2. Don't open many positions at ago.
3. Always observe your marginal level %. Muulize broker wako Marginal call yake ni % ngapi!
Otherwise, nikutakie kila la kheri Mkuu!
 
Updates kwa Upande wangu.

Nimeamua kuchoma pesa, nimetuma pesa leo kwa Broker throuhg Bnk wire (kwanini bank wire) kulingana na bank nayotumia nimeona nirahisi kwangu hata kutoa pesa nikiamua kuwithdraw nikishinda ni ndani ya saa 24 nakua na pesa mkononi, pia njia utayotumia kulipa ndio utayotumia kulipwako BANK WIRE nikaona ni "suitable way":
NIMEAMUA KURISK NA SIOGOPI KURISK NA SI MARA YA KWANZA KURISK

Nimetuma Tshs. 850,000/= kama USD 320 Hivi, na Usd 75 (Tshs. 58,000) kama fee ya kutuma, mpaka sasa wameshanijulisha pesa imetumwa ila haijafika kwa broker ko kesho nitaanza kutrade rasmi kama MUNGU akitupa uzima,

MALENGO

1. Nimeamua nicheze "real" ili nipate uzoefu zaidi maana real ina changamoto nyingi sana kuliko demo.
2. Nitatrade kwa malengo ya usd 200 tu kwa wiki kama faida ila sijaliweka kipaumbele sana
3. Sitojali kuchoma akaunti​
Hongera mkuu!

Unatumia broker gani?? Je hana option ya ku-deposit ya visa card?
 

Nimetuma Tshs. 850,000/= kama USD 320 Hivi, na Usd 75 (Tshs. 58,000) kama fee ya kutuma, mpaka sasa wameshanijulisha pesa imetumwa ila haijafika kwa broker ko kesho nitaanza kutrade rasmi kama MUNGU akitupa uzima,

MALENGO

1. Nimeamua nicheze "real" ili nipate uzoefu zaidi maana real ina changamoto nyingi sana kuliko demo.
2. Nitatrade kwa malengo ya usd 200 tu kwa wiki kama faida ila sijaliweka kipaumbele sana
3. Sitojali kuchoma akaunti​

Kwenye kiwango cha pesa nahisi kama umekosea kitu mkuu!!

Kama umetuma 850k wakakuwekea dola 320 ina maana wamefanya dola moja sawa na tsh 2650 kiasi ambacho ni kikubwa!! benki nyingine wanafanya 2303tsh ambapo kwa pesa yako ungepata dola 369!!

Cheki na benki yako vizuri na kama hivyo viwango viko sawa na ulivyoandika chukua hatua mapema!!

Alafu huyo broker ungewasilana nae kwa email akwambie kama anasupport visa card au la maana nimejaribu kuchek kwenye website yao naona kama wana support ku-deposit kwa visa which is cheap ukilinganisha na hiyo njia uliyotumia!!

Kukatwa elfu 58 kwa ku deposit tu hiyo ni cost kubwa kiasi mkuu!!

Otherwise, nikutakie kila la heri mkuu!!
 
Kwenye kiwango cha pesa nahisi kama umekosea kitu mkuu!!

Kama umetuma 850k wakakuwekea dola 320 ina maana wamefanya dola moja sawa na tsh 2650 kiasi ambacho ni kikubwa!! benki nyingine wanafanya 2303tsh ambapo kwa pesa yako ungepata dola 369!!

Cheki na benki yako vizuri na kama hivyo viwango viko sawa na ulivyoandika chukua hatua mapema!!

Alafu huyo broker ungewasilana nae kwa email akwambie kama anasupport visa card au la maana nimejaribu kuchek kwenye website yao naona kama wana support ku-deposit kwa visa which is cheap ukilinganisha na hiyo njia uliyotumia!!

Kukatwa elfu 58 kwa ku deposit tu hiyo ni cost kubwa kiasi mkuu!!

Otherwise, nikutakie kila la heri mkuu!!
ni kweli angetumia visa ni cheap
 
Kwenye kiwango cha pesa nahisi kama umekosea kitu mkuu!!

Kama umetuma 850k wakakuwekea dola 320 ina maana wamefanya dola moja sawa na tsh 2650 kiasi ambacho ni kikubwa!! benki nyingine wanafanya 2303tsh ambapo kwa pesa yako ungepata dola 369!!

Cheki na benki yako vizuri na kama hivyo viwango viko sawa na ulivyoandika chukua hatua mapema!!

Alafu huyo broker ungewasilana nae kwa email akwambie kama anasupport visa card au la maana nimejaribu kuchek kwenye website yao naona kama wana support ku-deposit kwa visa which is cheap ukilinganisha na hiyo njia uliyotumia!!

Kukatwa elfu 58 kwa ku deposit tu hiyo ni cost kubwa kiasi mkuu!!

Otherwise, nikutakie kila la heri mkuu!!

NI usd 375 mkuu, rate ya jana ilikua 2288, ambapo 300 ilikua forex na 75 ilikua fee, jumla ni 858,000

Nilikosea mahesabu kidogo

Deposit unaweza fanya kwa credit pekee

Screenshot_2017-07-26-15-03-19.png


Nadhani mnaweza mkaona payment methods
 
NI usd 375 mkuu, rate ya jana ilikua 2288, ambapo 300 ilikua forex na 75 ilikua fee, jumla ni 858,000

Nilikosea mahesabu kidogo

Deposit unaweza fanya kwa credit pekee

View attachment 550998

Nadhani mnaweza mkaona payment methods
Nimekupata mkuu, ila ukicheki kwenye hizo payment methods naona credit card ipo hapo, tena ya kwanza kabisa!!

Next time jitahidi kutumia credit card/visa card method (kama una atm card inayosupport online payments) gharama zao ni cheap tofauti na hiyo wire transfer!!

Otherwise rate ya backlays ni affordable kuliko ya equity bank!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom