Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Doonh kwa kweli wakuu Mungu awabarikis sana na Mkuu Ontario hakika Utabarikiwa zaidi na wala usiogope vitisho ...Yaani kila kitu kipo kila kitabu watu wanajitolea kwa kweli Lazima kieleweke.... wakuu nataka kujua jinsi ya kusoma hivi vitabu nauliza nianze na kipi maana tangu Huu uzi uansishwe nimedowload vitabu sita Lakini nahitaji Mwongozo wakuu nianze na kipi vitabu nilivyopakua ni
1.CT-dummies-FOREX
2.ASTRO FX training book
3.Forex Godfather elite
4.Mark douglas-trading in the zone
5.Naked forex high probability
6.The forex bible
Nawakilisha wakuu najua kuna wengine humu wameshasoma angalau nipeni mwanga
hahaaaa kiukwelii dadaa hapo hakuna jinsi vyote ni vya lazima coz hata mie naexpirience tatizo kama lako but ni kama trading plan nilio jiwekea ya kusoma nimeanza na Dummies almost kumaliza kama pgs 60 then forex godfather Elite, then Astro fx trading book , naked forex na the bible na pia hichi aliko reccomend Boss ONTARIO last day Mark douglas-trading in the zone hivi vingine nimevipitia tuu juu juu kama highlit nikaona kila sehem tamu alafu inanifanya niendelee kusoma Ndipo traing plan ikaja ya kusoma at least 20 pgs even more per day hii yote tu nimalize kumsoma vitabu vyote, now way out ukitaka kuwa GURU on this one finish them all.....
Mchana mwema
 
count down... days counting down

Dear friends, hope you all doing great and of course enjoying the weekend. Mungu kutupa uhai means ametuzawadia chance nyingine adhimu ya kuweza kutimiza vitu ambavyo bado hatujavitimiza, Jiulize sana umempa Mungu kitu gani cha thamani sana hata yeye akupe uzima leo, kuna watu wanatangulia mbele za haki kila kukicha, si kwamba wao ni waovu sana, ni vile tu Mungu ni mwingi wa rehema na neema. So siku unapoamka mzima na unapumua usiichukulie hiyo siku for granted, use it to do something for yourself and those surrounding u.

Pili niwapongeze sana kwa uvumilivu. Patience is among the greatest virtue to become a good and profitable trader. Tangu nimepost huu uzi May 26 ni miezi miwili sasa, lkn kila siku nasema tutaanza soon, kila siku nasema hivyo hivyo - but you guys hv always been patient. Guys nimepambana sana hadi kufika hapa, challenges nilizokutana nazo ni nyingi sana, kuna wakati hata nilitamani mods waufunge huu uzi, uwepo tu kwa ajili ya watu kujifunza lkn kusiwe na option ya kuendelea kuchangia. The journey has been super tough, vitu vingine hata siwezi kuvisema ndugu zangu.

Yani huwezi kuamini tangu nimepost huu uzi nimesafiri SA mara nne, just kuhakikisha kila kitu kinakua sorted out. Na katika mara 4 hizo mara 3 nimeenda bila mafanikio. Huu uzi pekee umenitengenezea maadui wengi, yani hadi nafika point najilaumu why I did all this. Huu uzi umenifundisha vitu vingi sana, umeniimarisha sana, umenifanya niwe very bold. Hata watu ambao nilihisi ni marafiki zangu, huu uzi umenionesha true colours of everyone around me.

Nakumbuka wakati nasoma High school (apparently nilienda 1 ya shule zenye matokeo mabovu zaidi TZ, nilisoma Bukoba - shule inaitwa Ihungo, wale form 6 walionitangulia, matokeo yao ni kwamba walikua wa 23 kati ya shule 25 mkoa Kagera and science was even worse, wengi walikua wanaishia kutumia vyeti vya form 4 kusoma diploma; na jamaa ambae ndio alikua TO pale shule kwa masomo ya Sciences aliishia kusoma ualimu UDOM). Siku 1 nikashuka town, just kwenda kununua marker pen, kisha nikarudi shule. Ile marker pen niliinunua kwa purpose 1 tu, nilivyofika shule nikaenda kitandani kwangu pale nikaandika na kubold haya maneno stop not until the goal is reached. Sasa kila nikienda kulala lazima nisome yale maneno, na kila nikiamka lazima nisome tena. The hustle was real, at last mtihani wa mwisho nilikua one of top performers, nikaenda UDSM (si tu kwenda UDSM, nilienda UDSM na nikasoma 1 of the top most courses at campus, cozy ambayo nilisoma ilihitaji wanafunzi 20 tu, tuliapply watu 1230, watu 987 walikua eligible na mwishoe I was among how watu 20).

Same as this journey, nimepata useless objections nyingi sana, a lot rejections, nimepata haters wengi tu, ni ngumu hata kuelezea. Huwezi amini hata mentors ilifika kipindi wakagoma kbs kuja, kumtoa mtu SA ambae ana maisha yake mazuri, ana familia (mke na watoto) afu umlete Bongo. Guys it wasn't easy, afu ukigeuka huku unakutana na negativities kibao kutoka kwa watu unaowaheshimu. Nikaeka notification kwa screen ya simu yangu Arise! Awake! and stop not until the goal is reached. kila nikisoma haya maneno yakua energised na kukumbuka why I started this journey.

Leo hii naeza kusema we are almost starting, mambo yamefika patamu sana sana sana. Mentors na traders makini wawili tayari wamekubali kuja, (one of this mentor is 1 of my fantastic mentor unaeza kumcheki IG Createn Valoyo Snr - 90% ya post zake ni kuhusu FX), bado napambana kupata mentors wengine wawili ili jumla team iwe na watu wa5.

Mimi siwezi kuwapromise vitu vikubwa sana, maana we can't pay bills and send kids to school with words, actions does. Nataka actions ndio ziongee, results ndio ziwe shahidi ya all this hustle that I hv been putting. Ili haters wanyamaze, ni lazima wanafunzi wangu wawe na awesome results, so it's you guys that will always make me proud, it's you guys that will make me not regret starting this journey. We need you guys to master this game, make money hadi hawa haters waanze kiwafata nyinyi, coz wao kama wao wataona aibu kufika ofisini kwangu ama kunitumia text WhatsApp. You guys should also start teaching people about forex ndani ya mwaka mmoja. We want you guys muweze kumaster the skill hata muwafundishe ndugu na jamaa zenu wa karibu (km hamtakua wa binafsi). Na ili uweze kufika hiyo point ni vzr msome sana materials ambazo nilitoa.

Please guys, trust me you, mimi hata hapa nilipo, siku haiishi kama sijasoma chapters 2. Ili kuwa trader mzr lazima usome sana boss wangu. Ukimaliza hivyo vitabu tafuta kitabu kimeandikwa Trading in the zone by Mark Douglas (wajanja wa JF mtakibandika. Guys let's make this sh*t real, nyie ndio nawategemea ili the whole journey iwe successful. Your success is my success, we can't afford to lose. Tayari nimeshatumia millions of shillings over this programme (nikitaja real numbers wengi mtakataa- mimi na Mungu wangu ndio tunajua), so let's finish the journey. Na njia nzuri ya kufinish the journey ni you guys kumaster trading skills and use it to become profitable traders, change your financial status and for those around your circle.

Soon, siku si nyingi sana nitaweka uzi mpya, nitaongea na uingozi wa JF wasiuunganishe na huu, ili kusudi watu wapate updates at the right time. Taarifa na Vigezo vyote nitavizungumzia.

Asante sana Mkuu tupo pamoja. Waiting for your final say!!
Changamoto katika maisha haziepukiki! Endelea kufight tuko pamoja nawe katika maombi!
 
Msaada tutani nipo hapa FNB Kufungua akaunt ya Forex naona wanamakato makubwa ni $ 14 kwa mwezi ,msaada zaidi aliyefungua akaunt hapa ?

Kama una pesa za mawazo achana nao hao FNB. Nenda zako BancABC na vitambulisho vyako, wao ni Tsh 15,000 kufungua akaunti na hawana makato ya mwezi. Nenda uwaambie wakupe cash card. Hii ni card unayoweza kufanyia malipo na kupokelea pesa online.
 
mkuu Tafadhali naomba msaada wa vitabu hivyo, card memory imeformat bahati mbaya nimepoteza kila kitu.
haya Mkuu hivyo hapo all the best
 

Attachments

Kama una pesa za mawazo achana nao hao FNB. Nenda zako BancABC na vitambulisho vyako, wao ni Tsh 15,000 kufungua akaunti na hawana makato ya mwezi. Nenda uwaambie wakupe cash card. Hii ni card unayoweza kufanyia malipo na kupokelea pesa online.
Mkuu Complex je nao pia wanatoa pesa kwa haraka kama tulivyombiwa kwa FNB?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Broker anafaidikaje katika kunipa mkopo wake? Mana nimeona kuna hii kitu leverage ambapo broker anaweza kukukopesha kulingana na kiasi ulicho nacho kwenye account.
Na je vipu ikiwa utapata hasara kwakwe ina athari gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Broker anafaidikaje katika kunipa mkopo wake? Mana nimeona kuna hii kitu leverage ambapo broker anaweza kukukopesha kulingana na kiasi ulicho nacho kwenye account.
Na je vipu ikiwa utapata hasara kwakwe ina athari gani?

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu ungesoma kwanza hivyo vitabu hapo juu maswali yako yote yangepata majibu..
But what you have to know is that kwa kila trade unayofanya wewe regardless kama utapata faida au hasara broker yeye hapo ana commission yake fixed!! Ndo maana hushauriwi sana kuopen trade positions nyingi at the same time maana unamfaidisha zaidi broker while you are putting yourself under high risk of marginal call!
 
Mkuu Complex je nao pia wanatoa pesa kwa haraka kama tulivyombiwa kwa FNB?

Sent using Jamii Forums mobile app

Mimi bado sijaanza kufanya biashara ya forex kwa kuweka pesa.

Ila nawatumia hawa BancABC katika shughuli nyingine za kimtandao. Kadi yao natumia kununulia vitu toka nje ya nchi. Na katika hili hawana zengwe, na pia napokelea pesa toka nje ya nchi kwa njia ya VISA/Master. Katika hili huwa inatumia saa 48 mpaka kupata pesa toka muda niliotumiwa.
 
Habari yako mkuu!!

With all due respect ... naona kama hujamfanyia fair muuliza swali!!

Mimi nadhani humu wengi wetu tunajifunza, sasa kwa maneno makali kama haya unadhani kama jamaa alikua na nia ya kuanza kujifunza ataendelea kweli?? Kumbuka hata wewe kuna kipindi ulikua hujui kama yeye, je na wewe watu wangekujibu kama ulivyomjibu jamaa ungefika hapo??

Kumwambia forex is not for you ni kama umem-judge kitu ambacho kwa namna moja au nyingine sio cha kiprofeshno na ni cha kumvunja moyo!! Huoni kama utakua umempoteza George Soros wa kesho?

Katika safari ya forex kuna kipindi itafika utakua mentor wa wengine, je kwa comment kama hizo utaweza kuwajenga forex traders wapya kweli mkuu?

Anyways kwa nnavyoona wewe ndiye "forex is not for you" maana kwa tunavyojua moja kati ya sababu za ku-win katika forex ni kuwa fit psychologically, sasa ndugu yangu kwa comment yako huoni kama umefeli katika aspect ya psychology??

Nadhani ni vyema tuka fika mahali tukabadilika, na kidogo tulicho nacho tusaidie wenzetu ili nao wafike tulipo!!

Sorry kama nitakua nimekukwaza, ni katika harakati kujengana!!

Tuko pamoja!!
Daaah Mungu akuinue juu tena juu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Broker anafaidikaje katika kunipa mkopo wake?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiujumla broker anafaidika kupitia commisions au spreads au vyote!

Na je vipu ikiwa utapata hasara kwakwe ina athari gani?
My friend broker hapati hasara kwa kupata hasa kwako!! Kuna level ya margin level ikifika anafunga account yako maana anachukua chake mapema kabla hajapata hasara! hii margin level inaitwa stop-out level (kila broker ana stopout level yake ila wengi wanachezea kwenye 10% na 30%)!

Ukitaka kujua zaidi kasome hizi terms

1. Equity

2. Margin

3. Margin level

4. Margin call

5. Stop-out level

Pitia na hii link....

How Forex Brokers Make Money
 
Hii kwa baadhi tuliosoma zamani hatuna maujanja kama haya. Karibu 20yrs ya ajira rasmi maisha bado ni maumivu. Kwa jinsi ninavyo kuona wewe ni mdogo wangu lakini kichwa kinafikra Pevu. Nimesoma baadhi thread katika uzi huu nimejifunza kitu kidogo lakini dozi ni kubwa sana sielewi nianzie wapi kujifunza. P'se nipe mwongozo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sielewi nianzie wapi kujifunza. P'se nipe mwongozo.

Sent using Jamii Forums mobile app
So far hamna classes zilizoanza ila karibu zitaanza kwa mujibu wa mleta mada!!

Tunachofanya ni kupitia vitabu ili kujinoa, kwahiyo kama unataka kuanza anza na vitabu viko humu, soma taratibu utapata mwanga/basics.

Classes zikianza ndio utaweza kuendelea kujifunza, ila inashauriwa tuanze na vitabu kujisomea taratibu huku tukingoja kuanza kwa classes!!

Vitabu viko humu, kuna post hapo juu naona kaweka vyote, unaweza anza na hivi hapa...

 
Hivi naweza kupata broker mzuri ambaye atanifanyia trade mimi nikawekeza kiasi cha pesa?
 
Hivi naweza kupata broker mzuri ambaye atanifanyia trade mimi nikawekeza kiasi cha pesa?
bila kusoma na kuelewa hata ukimpata huyo broker kama wapo wakufanyie kazi watakuibia tu,kwani kwanza unatakiwa ujue unachokifanya wewe mwenyewe then mambo mengine baadae
 
Mimi bado sijaanza kufanya biashara ya forex kwa kuweka pesa.

Ila nawatumia hawa BancABC katika shughuli nyingine za kimtandao. Kadi yao natumia kununulia vitu toka nje ya nchi. Na katika hili hawana zengwe, na pia napokelea pesa toka nje ya nchi kwa njia ya VISA/Master. Katika hili huwa inatumia saa 48 mpaka kupata pesa toka muda niliotumiwa.

hata barclays bank wapo vizuri
 
Hivi naweza kupata broker mzuri ambaye atanifanyia trade mimi nikawekeza kiasi cha pesa?
ina haja gani broker akufanyie trading wakati mwenyewe una uwezo wa kujifanyia hivyo?..kuna jamaa mmoja anasema kwamba kumtafuta mtu au broker akufanyie trading ni sawa na kujitia "ulemavu wa kufikiri"manake,yule mtu akiondoka kwenye forex business au pengine akafa itakubidi trading uisahau au uanze upya kumtafuta mtu mwingine wa kukufanyia forex trading..pili,commissions anazopata baada ya kukuingishia faida itakuwa kubwa hivyo kitakachosalia baada ya charges zingine utaona hakiendani kabisa na mtaji wako..tatu,unahitajika kiwango kikubwa sana ili upate pro au broker wa kutrade kwa niaba yako..nne,hasara zikiingia kimakosa huo ni mzigo wako wala sio wa mwenye kukufanyia trading.tano,hauna misingi yoyote ya ujuzi wa forex hivyo huwezi kuuliza swali lolote wewe utapokea au utakubali chochote unachoambiwa..so,what is the point of relying on someone when you can learn,acquire skills and trade for yourself???
 
Mkuu Ontario Heshima Kwako Mkuu! Since Day One.
Wakuu wangengine woote i salute You all
Tangu huu uzi umeanzishwa nimewahi kupost mara moja tyu! but nimesoma every single page ya huu uzi. from there nikadownload a number of books, yaan vingi vingi sana. na i am serious navisoma, although mwanzo ilikua tough kidogo, but tayari na take off. kwa wale ambao wanashindwa kupata vitabu, tumieni hii web kushusha vitabu vyote ambavyo Ontario amevipendekeza na vingine vingi; www.pdfdrive.net
Maguru woote wa vitabu wanaielewa, naamini zipo zingine naomba tusaidiane. sasa nina ombi moja tu dogo, Mkuu Ontarioo na wengine wote, nipo kitabu cha nne saizi japo navirudia rudia, embu naomba ujuvi zaidi kwa vipengere hivi hapa chini

1. HOW TO USE THE COT REPORT,
2. Jinsi ya kufanya Currency-Cross
3. impact za Leverage and Margi kwa trades unazofanya. ..

Nimepata notes nyingi sana, especially kwa kitabu cha Forex Godfather, ameelezea kwa kirefu juu ya hizo mambo, lkn hata nirudie vp, bado sijiamini kwamba nimeelewa.
With God Grace, nikizielewa hizo issues hapo juu, hasa hiyo namba 3, mwezi wa nane nianze Demo Trade.

Wndugu Forex Trading is not a get reach fast, it takes alot of effort, kusoma sana sana kunahitajika.
Make pips, Keep pips & Repeat.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom