Mzaleee
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,069
- 3,899
Wakuu huyu mkuu "MAPENZI MATAMU " aliahidi ya kuwa kuna kitabu safi kabisa kwa ajili ya sisi beginners ,japo alisema huwa hajibu Pm lakn naona kidogo kwangu mm nimepata bahati kanijibu japo imechukua mda kunijibu ila hajatuacha tupu kwa bahati kanipa kile kitabu ,,,kutokana na ubusy wake kaniomba kushare nanyi hapa ...hvo kitabu ni hiki hapa[emoji116]jamani samhani nilisema sitojibu PM yeyote ya mtu so plz msijisumbue saana. hapa naangaika kutafta ka kitabu flani nilikanunua mwaka 2011 kutoka dow jones. Ni kazuri saaana kanasaidia beggeners pamoja na pros. aisee kako poa mnoo hata uwe nesi ukikasoma kale na kalivyosimple (maana jamaa wanaelezea forex market kama wanamfundisha mtoto wa darasa la saba toka kishumundu) kana njia zoote za kukuepusha wewe na risk pia maswali kadhaa kwa forex dealer waako nk. Aisee nikazur saana. sasa jamani nakatafta sikapati kabisa sijui kako waapi na jini sikakukmbuki maani ni kama ka hand book. Niombeeni nikakumbuke jamani mimi nitakatoa hapa bure japo nilikanunua $1100.
Sent using Jamii Forums mobile app