Sawa mkuuu
FNB wana account inaitwa Golden account ambayo utachajiwa sh 16,000 tu kwa mwezi n autaweza kufanya kia kitu bure....wanakupa visa card na utaweza kutoa pesa kwenye atm yoyote BURE pia watakuunganisha na oline banking na utaweza kufanya transactions online BURE na pia utaweza kutuma na kupokea pesa popote duniani.
KARIBU
Habari ya asubuhi wadau, kwa walioamka na EURGBP ni wangapi? Pia nimetengeneza channel Telegram ntakapokuwa ninatoa signal bure kwa watu mia wa kwanza na channel nyingine kwa mafunzo ya forex kwa wale watu wanaoanza! Unaweza kuni-pm ili nikuunganishe, hakikisha una app ya Telegram! Kuweni na siku njema
Ithought the same, it is about investment and displine of moneyAsante mkuu.
Hiko kitabu hakihusiani na Forex kabisa. Ni novel tu.
Mods naomba wakupige life ban kwanini unaquote uzi nzm?Mbona hujajibu message bosi nimekutumia. Weka na namba ya simu.. coz ushaamua kusaidia watanzania wnye uhitaji so malizia kutupatia namba ya simu ili tukucheki vzr
Mbona kama unanivuruga
Mbona kama unanivuruga
XM
XM Global, wanatoa $30 after validation ya account yako bila hata ya deposit.
PROOF OF RESIDENCY;
Wakuu, Naombeni msaada tutani. Kwa sisi ambao hatuna bills under our names inakuwa tabu kidogo kuproduce a proof of residency. Tupeane hints wewe ulitumia document gani as proof of residency. Nimeona option ya Bank statement ila sasa sijajua kama wataikubali sababu natumia NMB na haioneshi address at the top.
Wakuu huyu mkuu "MAPENZI MATAMU " aliahidi ya kuwa kuna kitabu safi kabisa kwa ajili ya sisi beginners ,japo alisema huwa hajibu Pm lakn naona kidogo kwangu mm nimepata bahati kanijibu japo imechukua mda kunijibu ila hajatuacha tupu kwa bahati kanipa kile kitabu ,,,kutokana na ubusy wake kaniomba kushare nanyi hapa ...hvo kitabu ni hiki hapa[emoji116]
Sent using Jamii Forums mobile app