issac77
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 4,128
- 7,899
naweza sema fx ni kama beiskeli ukishajua umejua...swari la kujiuliza hao wanaujua kwanini wameweza Mimi nashindwa wapi? siku zote hamna mafanikio yanayokuja kirahisi ndiyo maana unaambiwa usome kwanza uelewe, unadhani ingekuwa kitu cha utapeli hivyo vitambu vingeandaliwa vya nini? forex ni elim kama elim zingine tena ile elim ngumu ndiyo maana wengi wanafeli sababu siyo kitu rahisi cha kujifunza Leo harafu kesho uingie sokoni.
kuhusu Ontario kutoa elim hii hadhalani ili watu waijue kwanza nampongeza japo wengi wanambeza kwa kumwita kila aina ya majina namshauri asikate tamaa apambane atimize lengo la kuwakwamua vijana wa ktz najua hamna hustle isiyokuwa na faida tena akikamilisha vijana wengi wakqjinoa wakaielewa soko nadhani ontario atakuwa ni broker mzuri tena ambaye tunamfaham tena mtz mwenzetu Yale masuala ya kujiuliza ni broker gani mzuri ili uingie sokoni yatakoma!!... ONTARIO KAZA BUTI KIJANA TUKO NYUMA YAKO JAPO SAFARI NI NDEFU TUTAFIKA TU!
kuhusu Ontario kutoa elim hii hadhalani ili watu waijue kwanza nampongeza japo wengi wanambeza kwa kumwita kila aina ya majina namshauri asikate tamaa apambane atimize lengo la kuwakwamua vijana wa ktz najua hamna hustle isiyokuwa na faida tena akikamilisha vijana wengi wakqjinoa wakaielewa soko nadhani ontario atakuwa ni broker mzuri tena ambaye tunamfaham tena mtz mwenzetu Yale masuala ya kujiuliza ni broker gani mzuri ili uingie sokoni yatakoma!!... ONTARIO KAZA BUTI KIJANA TUKO NYUMA YAKO JAPO SAFARI NI NDEFU TUTAFIKA TU!