Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Umejaza namba ya card?
Je cvc..yaani namba 3 za mwisho nyuma ya card umezijaza?
Je umepewa kibali na crdb cha ku buy online?

Kujaza hizo CVC nimejaza. Kuhusu kupewa kibali cha buy online am not sure. Lakini kipindi naweka deposit kwa broker wangu nilitumia CRDB ikaenda. Sasa I think nina kibali! Au kibali ni per transaction??
 
Mkuu Mimi mkazi wa dar ila nishapitwa na darasa lililofanyika dar,naomba kujua je bado nina nafasi ya kujifunza nikiwa dar? Arusha sitaweza kwenda Kwa hiyo week ijayo
Mkuu dar watarudi lkn inaweza chelewa lkn darasa la biginaz limepita hao jamaa wako bize kupita maelezo...wanameneji acc za watu wengi huku wanatrade wao
 
ok....sasa kwenye mastercard ukienda kwenye ATM utawithdrawal interm of USD au kwa Tsh?
Tsh lakin yenye rate nzuri tofauti na za mabank..wale wanaopokea pesa toka nje watanielewa kuwa mabank wana rate chafu sana na unapotezs pesa nyingi sana
 
Mkuu dar watarudi lkn inaweza chelewa lkn darasa la biginaz limepita hao jamaa wako bize kupita maelezo...wanameneji acc za watu wengi huku wanatrade wao
nimeku pm mkuu,hujanijibu.msaada tafadhali
 
Mkuu dar watarudi lkn inaweza chelewa lkn darasa la biginaz limepita hao jamaa wako bize kupita maelezo...wanameneji acc za watu wengi huku wanatrade wao
Mkuu kujifunza online kwa kusoma vitabu inatosha niingie darasani? Mkuu huu Uzi sijausoma kote yani comments za maswali na majibu ya wakuu wengine sijapitia hivyo nahisi nimekosa vitu vingi sana huko,nimesoma tu thread Ontario aliyoiweka na pages hizi 3 za mwsho ndio nakuona wewe ukifafanua.Nimevutiwa sana na maelezo yako mkuu
 
Tsh lakin yenye rate nzuri tofauti na za mabank..wale wanaopokea pesa toka nje watanielewa kuwa mabank wana rate chafu sana na unapotezs pesa nyingi sana
hapo kwenye exchange rate ndio kunachangamoto kama wanatoa rate nzuri basi wako poa.... benki nyingi rate zao ni za hovyo sana
 
Ontario amesema kila kitu..piga kitabu kwa sana lakini bila menta utakula za uso. Ukitaka kuwa trader mzuri jitahidi upate menta akufundishe namna ya kufanya analysis kwa charts. Bila hivyo tegemea kupoteza pesa. Ontario anagharamia mno safari za South, sio mjinga..anapoteza ili apate knowledge sahihi. Hii sio gambling mkuu
 
Mkuu nimekupata vzr ..lakn bado nina utata kidogo kazi ya ile MasterCard ya I&M Ni nn hasa?? Kwasabab umesema inahitajika kufunguliwa..!

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio lazima I&M bank but nimetoa mfano sababu ninaifahamu lkn zipo bank zingine eg barclays japo nk lkn hii ya I&m bank ni bora.
Kazi ya hii kwa ajili ya kudepsit pesa kwenye mastercard yako ready kutuma kwa broker au skrill to broker..una swali?
 

mkuu nahitaji hilo darasa na mentor pia.utaratibu tafadhali
 
Umejaza namba ya card?
Je cvc..yaani namba 3 za mwisho nyuma ya card umezijaza?
Je umepewa kibali na crdb cha ku buy online?

Mkuu naona kuna kabalance kamekuja kale ka kuverify VISA Account info. Naona kuna options mbili za kufanya transfer. Moja ni Bank transfer wanaweka account yako na nyingine ni VISA, ya bank wamesema it might take two business days. I think hii itakuwa na mlolongo. Vipi kuhusu hii VISA? Is it instant transfer? Na je ukitumia VISA option kufanya transfer hiyo pesa yako ukienda kwenye account ya CRDB unaiona ikiwa imeingia?
 
Unapouliza swali uwe specific mkuu wangu.
1. Unaongelea broker?
2. Skrill?
3. Payoneer?
Kuhusu crdb plz sitaki hata uniulize, nimeichukia sana. Pesa ikitumwa kupitia crdb utasaga soli hadi uilaani siku uliyojiunga...rejea maswali yangu
 
Unapouliza swali uwe specific mkuu wangu.
1. Unaongelea broker?
2. Skrill?
3. Payoneer?
Kuhusu crdb plz sitaki hata uniulize, nimeichukia sana. Pesa ikitumwa kupitia crdb utasaga soli hadi uilaani siku uliyojiunga...rejea maswali yangu
Nazungumzia Skrill Mkuu
 
Kitu kingine mkuu payoneer nadhan haina physical place hapa bongo sasa ukitaka kujaza pesa unajazaje au ndo tunarudi palepale kwny local ac kwenda payoneer
Ahaa hili la kujaza pesa unaenda kujaza bank ulikochukulia mastercard bila shida yoyote then unatumia eidha kwa ku buy online, au kutoa kwa atm popote duniani palipo na atm ya mastercard


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapouliza swali uwe specific mkuu wangu.
1. Unaongelea broker?
2. Skrill?
3. Payoneer?
Kuhusu crdb plz sitaki hata uniulize, nimeichukia sana. Pesa ikitumwa kupitia crdb utasaga soli hadi uilaani siku uliyojiunga...rejea maswali yangu
NimekuPM mkuuu
 
Meanwhile, on the options front:-

Today we are taking Futures Options for the Dow Jones Industrial Average well above the 22,000 record of yesterday to show a consistent pattern.

While staking our hedges below 21,930 to guard against a possible correction.

If all goes well, that's another $2,700 in the portfolio.

Not bad for a day's work.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…