Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Duuu....nimecheka kimoyomoyo...ila sijakucheka wewe mkuu ni kwamba kuna wakati hata mm nilikuwa nikiingia humu nakutana na vtu ambavyo kuna wakati nilikuwa najiona kama nipo sayari nyingine maana vtu vilivyokuwa vinaongelewa huku nilikuwa naona manyotanyota tu....ila nikajipa moyo kuwa kwani hv vtu vyote si vipo kwenye vitabu???acha nisome kwanza ....nikakomaa sana na vitabu...kwa sasa nikiingia huku hakuna kinachoongelewa nakiona kigeni kwangu..


Komaa mkuu soma vitabu vyote pendekezwa hakika hautachanganyikiwa tena...ukisoma naked forex....ukapiga astrofx na forex Bible hayo yote uliyoona unachanganyikiwa nayo utakuwa unaona ni vtu vya kawaida sana kwako..

Ningekushauri usome kwanza hvo vitabu kabla ya kutafuta msaada wa kuelekezwa hz mambo zaidi...huo ndo Ushauri wangu kwako mkuu.
Ahsante mkuu, niko nasoma kwa bidii! Fanya kunitumia Forex bible ndo ambacho sina. Kuna mkuu humu alikituma nikidownload inakuja naked forex!

Sent from my TECNO F5 using JamiiForums mobile app
 
Broker wa Kinaijeria japo wako uk..
Nenda Tickmill hata spread zao ni nzuri kwa sisi wenye mitaji ya kawaida.
Ttzo la tickmill hawana customer service nzuri,nimejiunga 3 weeks ago mpk leo wanashindwa kuverify acc yangu,kisa proof of address na nilitumia voter's ID nikaachana nao nikaenda fxtm.

Najua fxtm ni market maker nazuga nae kwa muda nikuze capital nihame.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ttzo la tickmill hawana customer service nzuri,nimejiunga 3 weeks ago mpk leo wanashindwa kuverify acc yangu,kisa proof of address na nilitumia voter's ID nikaachana nao nikaenda fxtm.

Najua fxtm ni market maker nazuga nae kwa muda nikuze capital nihame.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ujue broker mwenye mashariti magumu ni bora sana, ni salama vilevile.
Unatakiwa utumie TICKMILL SYCHELLES NA SIO UK
 
Huyu Armani huyu, nimesoma vzr sana conversation hapo juu, he purely knows about forex and maybe he is a trader.

Sasa kuna vitu vitatu au vinne:

Kwanza, maybe he learnt forex in the hard way, ambapo alipoanza tu akawa anadonate pesa kwenye market, yani yeye kila siku alikua anapoteza, kiufupi alikua hatambui nini anafanya sokoni, so kwa experience hiyo anahisi hakuna successful retail traders.

Pili, huyu jamaa anaweza kuwa lile kundi la watu wenye roho ya kwanini, ni sawa na wahindi. Hawa jamaa wameanza kutrade muda mrefu sn, lkn kamwe hawezi kutoa siri, anamfundisha mwanae na mtoto wa dada'ke kisha wanapiga pesa kimya kimya, ni wale watu wanapenda wa-accumulate utajiri mkubwa sana kisha watu wasio na kipato waanze kuwalamba miguu. Sasa akiona watu wanachomoka, he feels threatened kua hakuna mtu atakayekubali kumlamba miguu.

Tatu, kama ulisoma vzr ile screenshot ya bio yake iliyoletwa na Lodrick, utagundua jamaa anarun capital group na bond house, hivi ni vitu vinavyotenganishwa na trading kwa mstari mwembamba sana. Hivyo jamaa anafeel so insecured kwamba Ontario labda anaanzisha same thing na yeye atakua knocked out of the game. Boss my principle is that, I never compete with anyone, I only compete with my own goals and visions, that's the only way I dominate.

Hoja zake za kitoto toto hata newbie ambae kasoma chapter 1 ya Millionaire trader How everyday people are beating Wall street at it's own game anaweza kumwelewesha. Mzee baba km unatafuta trader aliye successful, wala usiende mbali - am here, sijamake millions in the market, lkn nilipoanza na nilipo sasa kuna utofauti mkubwa sana. Huwezi nilinganisha na banker wa bank yoyote mzee, mshahara wa mwezi wa manager wako naweza kuupata in a matter of minutes.

Back to our thread

Guys yani kiuhalisia ilibidi hii ngoma ianze hii wiki, yani jana J3. Nimeshapambana in all ways, lkn kuna vitu vipo nje ya uwezo wangu. Gharama ambazo nilipanga awali kwaajili ya hii project zimeongezeka karibu mara 3 ya gharama ambazo nishatumia hadi sasa, na bado mambo hayajakamilika.

Nikaamua niongeze pesa zingine zaidi ili nikamilishe na tuanze haraka iwezekanavyo lkn hapo ndipo hujuma ilipotokea. Nikachomoa $15,000 from my trading account, sasa hivi ni kama wiki ya 2 kuna sehemu wanazizuia bila sababu. Nilipokua nasema - hakuna bank itataka uijue forex, sikua naleta mzaha. Kila mara pesa ikitumwa inakataliwa na wenye madaraka yao, bila sababu ya kueleweka. They feel so insecured, mtu mwenyewe wanaepambana nae ana miaka 23 tu [emoji23].

Hii ndio feedback ninayopewa:
822190e57cf36987efed78f11cdd0938.jpg
nimeficha jina la bank servant

Picha ya kwanza inaonesha kabisa kua $14,800 imetoka kwenye account ya broker wangu, na imeelekezwa kuja kwa account yangu hapa Bongo. Yani transaction iko successful.
Picha ya pili inaonesha transaction imekua rejected by international blah blah, na hivyo wameshindwa kuallocate pesa kwa bank yangu, so wanairudisha kwa broker wangu.

Hujuma za ki3ènge kabisa aisee, tena mchana kweupe. But it will get sorted out. Watu tushatatafuna ng'ombe mzm iweje mkia tuushindwe.

Let's keep patience na tuendelee kusoma wazee baba. Sihitaji mwanafunzi kilaza, km unajijua ww ni kilaza bora uniombe ushauri kuhusu kufuga kuku (been there, done that)

===============================

Na kwa wale ambao muda wote mnanilaumu kua nachelewa, nimekua mzito nk nk. Najua ni kiasi gani napambana na hali yng, nimekutana na mambo mengi sn hapa kati, mengi haswa, siwezi nikawa nasema kila kitu hapa, but trust me I've stand to be strong, ningeweza kukaa ndani na kutrade kila siku niingize $500 (yantosha), lkn kwakua niliapa kufanya hili, lazima nihakikishe naifanya with massive success.

So km upo huko unaendelea kunilaumu, nakushauri fanya what u think is best for you, tafuta wale wakenya walesema wanakuja for training, nenda YouTube tazama videos, then fund your account. Kisha leta majibu. In FX we get paid for Patience!! Period.
Ontario usikate tamaa tupo wengi tunaohitaji hii kitu Mungu atakufanyia wepesi ufanikiwa nawe utufunze nasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Broker wa Kinaijeria japo wako uk..
Nenda Tickmill hata spread zao ni nzuri kwa sisi wenye mitaji ya kawaida.
Ttzo la tickmill hawana customer service nzuri,nimejiunga 3 weeks ago mpk leo wanashindwa kuverify acc yangu,kisa proof of address na nilitumia voter's ID nikaachana nao nikaenda fxtm.

Najua fxtm ni market maker nazuga nae kwa muda nikuze capital nihame.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio huyohuyo wa seychelles hadi nikagiveup
Mkuu ujue broker mwenye mashariti magumu ni bora sana, ni salama vilevile.
Unatakiwa utumie TICKMILL SYCHELLES NA SIO UK


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Km natak kuifanya naanzia wp.... Na hvy vtab vnapatkan online au vinauzw ???.... Na hio biz mtaj wa chin ni sh ngp ?????

Sent using Jamii Forums mobile app

Karibu sana, anzia page 1 ya uzi huu. Ndio shule ya kwanza. Zingatia kusoma vitabu vilivyo ainishwa humu ndani (vimewekwa humu humu) hata ukifika mwisho utakuwa umeiva Na majibu ya maswali yako mengine utakuwa umesha pata majibu.
 
Karibu sana, anzia page 1 ya uzi huu. Ndio shule ya kwanza. Zingatia kusoma vitabu vilivyo ainishwa humu ndani (vimewekwa humu humu) hata ukifika mwisho utakuwa umeiva Na majibu ya maswali yako mengine utakuwa umesha pata majibu.
Yaaahhh.... Nilishapita mkuu !... Asante.... Ila hvo vtabu vnapatikana wap ???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu mi sijui nianzie wapi kwa kweli, halaf Uzi umekuwa mrefu. Najaribu kusoma naona madini matupu, mpaka najihic kupata papara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukikwama chat nao live kama alivyosuggest mkuu hapo.. Kuna mtu nae alisumbuliwa kama wewe alikusanya bills, bank statement lakn zaid ya mara tano wakawa bado wanamwambia wanataka proof of residence alivyochat nao siku hiohio waka approve

Sent using Jamii Forums mobile app



Ukianza live chat muite jamaa anaitwa Paul...utaunganushwa naye...jamaa yuko poa sana atakuelekeza na kukusaidia kila kitu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom