makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
sitoacha kuwasumbua wale wenye idea mpaka nitakapoielewa hii kitu... mimi ni newbie kabisa humu bro..(I hope so) nahitaji kusaidiwa sana yani- Ndio waweza kufanikiwa
- Maana wapo walio anza na 30usd na kupanda nayo kidogo kidogo, uku wakiendelea kujifunza.
Anza kwanza kusoma vitabu wametoa link kwenye comments za mwanzo mwanzo kabisa then utapata kujua baadhi ya vituMkuu mimi ni mpya kabisa nimevutiwa na natamani sana kujua sijui nianzie wap ili niende sawa na wenzangu
Hakuna cost yeyote iwapo kadi yako itakuja kwa njia ya posta, Huchukua kati ya wiki 2 hadi 3 kwa kadi kufika.kuna cost yeyote ambayo itatakiwa mtu aingie mpaka anapata hiyo kadi yake?
safi sana mkuu!..uwepo wako unatusaidia sana.tunafuatiliaHakuna cost yeyote iwapo kadi yako itakuja kwa njia ya posta, Huchukua kati ya wiki 2 hadi 3 kwa kadi kufika.
Iwapo utahitaji kwa haraka (huchukua siku 3 - 7) wanaweza kukutumia kwa DHL ambapo ipo ghalama ,huwa USD 40.
View attachment 561182
Morning good people!!
Nikisema kitu hua sibahatishi guys, I am doing good guys, same does to our project. Tukianza basi tunaanza na speed ya radi. Tuna siku chache sana zisizofika siku 7. Ongezeni knowledge na mitaji dear traders. Nataka tukianza tunaanza kupiga pesa on the spot, sio upuuzi wa demo.
Mungu ni mwema sana bosses, I actually can't believe this is about to happen. Kwa niliyokutana nayo during the whole process naweza kusema - I have been stronger than ever before. Thank you all kwa ushirikiano wenu and wishing u nice preps.
Morning good people!!
Nikisema kitu hua sibahatishi.Nataka tukianza tunaanza kupiga pesa on the spot, sio upuuzi wa demo.
Mungu ni mwema sana bosses, I actually can't believe this is about to happen. Kwa niliyokutana nayo during the whole process naweza kusema - I have been stronger than ever before. Thank you all kwa ushirikiano wenu and wishing u nice preps.
Yeah! The man deserves the best. Thanks Ontario too. najua sio tango pori mana ungetushauri tofauti, thanks guys. "Together We Can".Ahsante Mwl. RCT. A special chair at the boardroom is guaranteed for you. Kila MTanzania angekua na moyo ka wako tusimgekua hapa tulipo leo.
Naitaja mda wa kukutana nawe uwe mentor wangu kwa hii kituWazo la kwanza
Protocol yangu hua haibadiliki milele. Hahaa! Wanaonifahamu wananifahamu vizuri, hua sijibu PM ya mtu yoyote, no matter who you are. Kama ulishawahi kunitext PM kuhusu mada ninazopost na nikakujibu positively basi jua wewe ni malaika. Binafsi Naamini katika kufanya kazi in transparency, clearness and clarity. Hakuna kitu cha kuficha, kama kuna chochote weka hapa jukwaani kila mtu aone, ajifunze, aelimike na akosoe pia.
jamani ndio maana hua sipendi kuishi mikoani, hivi jamani nimefungua demo account ila nashindwa kuioperate jamani, hivi kwenye demo stopp loss kama sikosei? na jinsi ya kusoma yale magraph
Sent using Jamii Forums mobile app
Brother unatumia njia gan kuagiza kadi yako.. Me nimefanikiwa kufungua na wameshaniverify ila sijaona sehemu ya kuagiza hii card.Hakuna cost yeyote iwapo kadi yako itakuja kwa njia ya posta, Huchukua kati ya wiki 2 hadi 3 kwa kadi kufika.
Iwapo utahitaji kwa haraka (huchukua siku 3 - 7) wanaweza kukutumia kwa DHL ambapo ipo ghalama ,huwa USD 40.
View attachment 561182
Kitendo cha kukamilisha kujisajiri, tayari kadi yako inaandaliwa, na utatumiwa kwa anwani uliyo jaza. Iwapo umeweka S.L.P sahihi utaipata kadi yako.Brother unatumia njia gan kuagiza kadi yako.. Me nimefanikiwa kufungua na wameshaniverify ila sijaona sehemu ya kuagiza hii card.
Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Mkuu nimefungua akaunti ya Payoneer, but sijaona option ya kuomba card, wapi nimekosea?Achana branch code..swiftcode ya crdb ni corutztz