Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
- Ndio waweza kufanikiwa
- Maana wapo walio anza na 30usd na kupanda nayo kidogo kidogo, uku wakiendelea kujifunza.
sitoacha kuwasumbua wale wenye idea mpaka nitakapoielewa hii kitu... mimi ni newbie kabisa humu bro..(I hope so) nahitaji kusaidiwa sana yani
 
kuna cost yeyote ambayo itatakiwa mtu aingie mpaka anapata hiyo kadi yake?
Hakuna cost yeyote iwapo kadi yako itakuja kwa njia ya posta, Huchukua kati ya wiki 2 hadi 3 kwa kadi kufika.

Iwapo utahitaji kwa haraka (huchukua siku 3 - 7) wanaweza kukutumia kwa DHL ambapo ipo ghalama ,huwa USD 40.

upload_2017-8-8_15-52-48.png
 
Morning good people!!

Nikisema kitu hua sibahatishi guys, I am doing good guys, same does to our project. Tukianza basi tunaanza na speed ya radi. Tuna siku chache sana zisizofika siku 7. Ongezeni knowledge na mitaji dear traders. Nataka tukianza tunaanza kupiga pesa on the spot, sio upuuzi wa demo.

Mungu ni mwema sana bosses, I actually can't believe this is about to happen. Kwa niliyokutana nayo during the whole process naweza kusema - I have been stronger than ever before. Thank you all kwa ushirikiano wenu and wishing u nice preps.

Hope kila kitu kitakuwa sawa na kitakwenda sawa.
 
Morning good people!!

Nikisema kitu hua sibahatishi.Nataka tukianza tunaanza kupiga pesa on the spot, sio upuuzi wa demo.

Mungu ni mwema sana bosses, I actually can't believe this is about to happen. Kwa niliyokutana nayo during the whole process naweza kusema - I have been stronger than ever before. Thank you all kwa ushirikiano wenu and wishing u nice preps.

Be blessed Kaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante Mwl. RCT. A special chair at the boardroom is guaranteed for you. Kila MTanzania angekua na moyo ka wako tusimgekua hapa tulipo leo.
Yeah! The man deserves the best. Thanks Ontario too. najua sio tango pori mana ungetushauri tofauti, thanks guys. "Together We Can".
 
Am in.. Fully in.. Deep..!! Nimevutiwa mno
ONTARIO tuko pamoja

Mwl. RCT nimeanza kujifunza haraka sbb i had an idea before ila niliacha tu
 
MSAADA TUTANI

Nimeset position yangu nikaona inanipa faida kubwa na haijafikia ile position niloset ya faida naweza kuikata isiendelee?

lllllllllllllllllllllllllll.PNG


Mfano hapo niliset kwenye 8 hiv ila nikapata wasiwasi naweza nikakata? imekaaje kitaalamu?

[HASHTAG]#ONTARIO[/HASHTAG] [HASHTAG]#BAVARIA[/HASHTAG] [HASHTAG]#LODRICK[/HASHTAG]
 
Wazo la kwanza
Protocol yangu hua haibadiliki milele. Hahaa! Wanaonifahamu wananifahamu vizuri, hua sijibu PM ya mtu yoyote, no matter who you are. Kama ulishawahi kunitext PM kuhusu mada ninazopost na nikakujibu positively basi jua wewe ni malaika. Binafsi Naamini katika kufanya kazi in transparency, clearness and clarity. Hakuna kitu cha kuficha, kama kuna chochote weka hapa jukwaani kila mtu aone, ajifunze, aelimike na akosoe pia.
Naitaja mda wa kukutana nawe uwe mentor wangu kwa hii kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jamani ndio maana hua sipendi kuishi mikoani, hivi jamani nimefungua demo account ila nashindwa kuioperate jamani, hivi kwenye demo stopp loss kama sikosei? na jinsi ya kusoma yale magraph

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna cost yeyote iwapo kadi yako itakuja kwa njia ya posta, Huchukua kati ya wiki 2 hadi 3 kwa kadi kufika.

Iwapo utahitaji kwa haraka (huchukua siku 3 - 7) wanaweza kukutumia kwa DHL ambapo ipo ghalama ,huwa USD 40.

View attachment 561182
Brother unatumia njia gan kuagiza kadi yako.. Me nimefanikiwa kufungua na wameshaniverify ila sijaona sehemu ya kuagiza hii card.

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Ontario (Canadian man) pongezi zangu za dhati zikufikie, I always say umeniongezea asset katika maisha yangu, what excites me more is that from the beginning you believed and you were openly that one day you'll will make it to happen, sure you have made it, let's start the move ......it's a promising journey even though you you said it's tough, lkn kama umeweza kupambana na kufika hapa na wengine wakiwa na the same spirit as you natumai hatakuangusha na tutafanikiwa, tuwe pamoja letu moja tuu wakuu MAFANIKIO, pongezi sana na kwa wengine ambao wamekuwa tayari kushare nasi kuhusu wanachokijua katka fx.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Brother unatumia njia gan kuagiza kadi yako.. Me nimefanikiwa kufungua na wameshaniverify ila sijaona sehemu ya kuagiza hii card.

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Kitendo cha kukamilisha kujisajiri, tayari kadi yako inaandaliwa, na utatumiwa kwa anwani uliyo jaza. Iwapo umeweka S.L.P sahihi utaipata kadi yako.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom