Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.


Kweli mkuu Ontario kaokoa wengi....kwa zile screenshots mkuu unashawishika Kabisa kuanza mawasiliano na jamaa..ila nimeamini aisee matapeli wana maneno matamu na wanajua kuvuta hisia za watu asikwambie mtu......duuuuu....acha Kabisa...
 
mkuu sio mbaya na wewe ukatupa list ya vitabu ulivopitia ili vitusaidie..nimejifunza kitu toka kwako



Mkuu huyo ni tapeli achana naye....hzo screenshots ni za trader wa SA kazichukua kwenye page yake insta....Ontario ameshamtoa nduki sidhani kama atakaa akanyage tena kwenye huu Uzi labda aje na ID mpya....ila mwandiko wake tumeshaukariri labda abadilishe na mwandiko..
 

Hahaaa yaani hapa Mkuu Lodrick umeuaaaa... Jamaa mshezi kweli huyu.. Tena mwanachuo kabisa na anaishi Kigamboni!!
 
Dah aliifanya akili yangu ipagawe kwa screenshots alizokuwa anatuma..nilikuwa njian kumfata PM
 

Huyu jamaa muhuni sana aiseee.. Ni jinga moja tu mwanachuo linaishi kigamboni. Kila siku linalia lia tu eti maisha magumu anauza vitu vya ndani ili apate pesa ya kujikwamua kimaisha!! Sasa anataka awatapeli watu kiurahisi kwa kuleta utaalaam wake uchwara wa forex!! Hahaha dogo umepotea njia kabisaaa usitudanganye kuhusu forex wakati wewe ni empty minded!! Danganya watu chuoni hukohuko!
 
wakuu habari zenu, naona tunaendelea kutiana matumaini ni jambo zuri sana, ila napendekeza pia tungekuwa tuna share trading ideas humu tungesadiana sana kuelewa hii biashara kiundani zaidi.

Nikicheki calender yangu kesho kuna major news event kwenye America Markets Opening kuhusu CPI, tusaidianeni kupata analysis na forcast ya impact ya hii news kwenye market haswa kwenye valuation ya USD kama itaendelea kuleta more expectation za interest hike by the FED September meeting au bado wata hold Interst rates zao at the same level baada ya kufanya FED Balaance sheet na Quantative easing.
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38]

Aisee....kweli huyu Albert ni Bashite. Sioni akirudi huku in a near future
 
Nimeangalia hata sijaiona! na news zote zinazohusu USA kesho naona kama zina low impact!

https://www.dailyfx.com/calendar
 


DEMO INAENDA VIZURI

Sent using Jamii Forums mobile app
Nisaidie hii app. Ni android? Yaitwaje? Mi natumia GOFOREX, lakn nadhani ni jambo jema kutumia app ambayo karbia wote twatumia humu, ili iwe rahis kuelekezana, na ikibidi, kukopy trade, mana kuna mahali nimesoma ukiwa na pro trader waeza kumkopy vile anavyotrade...


Edit: niko katika demo pia[emoji18]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Meta Trade 4
(MT4) kwakifupi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…