Hechinodemata
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 1,488
- 3,338
mkuu shukran hakikaVITABU HIVII.
rumz FX
aliposema tu kwamba kuna njia isiyohusu analysis nilimshuku sana..tena alivoweka mascreenshot kibao nikajua huyu kayapakua kwingineko anatuona mahambe..forex utafanyaje bila information?..utatrade vipi wakati hauna ufahamu wa unayoyafanya?..kila wakati tunaambiwa kwamba mtaji wako ni kitu cha dhamana sana manake umeuhangaikia sana na hivyo kila wakati unafaa kuutumia kwa njia nzuri..very disgusting..asante Ontario kwa kutambua uhuni wa huyu kaka..Fanya Unachokifanya, nakupa ruhusa lkn usijaribu kukifanya mbele yangu boss. Tengeneza group la whatsapp danganya watu huko lkn ukifanya mbele yangu yani umenidharau sana kwamba I am clueless about forex. Umeniboa sana mzee wangu.
MT4, nenda playstore andinka hivyo itakujaNisaidie hii app. Ni android? Yaitwaje? Mi natumia GOFOREX, lakn nadhani ni jambo jema kutumia app ambayo karbia wote twatumia humu, ili iwe rahis kuelekezana, na ikibidi, kukopy trade, mana kuna mahali nimesoma ukiwa na pro trader waeza kumkopy vile anavyotrade...
Edit: niko katika demo pia[emoji18]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nailaumu serikali ya ccm na mwenyekiti wake!!Kama mkifanya juhudi you will thank me letter mimi naingiza tuu pesa kila dakika,saa,siku hadi mwezi sehemu yoyoye ile mimi naingiza pesa haijalishi nimelala,nafanya mazoezi nasafiri n.k lakini biashara yangu ya forex haisimami ni smartphone au laptop yangu tu na bundle la 500 mimi naingiza pesa.kwenye kila jambo gumu kuna njia rahisi ya kutatua tatizo nitaanda materials jinsi gani unaweza kupiga pesa nyingi kwa kutoumiza kupekua habari za uchumi na biashara ulimwenguni na kukesha na graph.Njia ni rahisi mno naimani mtanishukuru kesho kwa watu wote wanaojua na hata wasio jua kiingereza au ambae hata hakusomea kabisa mambo ili kwapamoja kama taifa tuinuke kiuchumi na kufanya majukumu yanayo tukabiri kimaisha ikiwemo pia kumtumikia Mungu.asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee that was Technical knockout,, i think watu kama hao is just the beginning sema since ulisema u hav balls za chuma then lets keep moving au sio mzee wa cheeky tiger.Fanya Unachokifanya, nakupa ruhusa lkn usijaribu kukifanya mbele yangu boss. Tengeneza group la whatsapp danganya watu huko lkn ukifanya mbele yangu yani umenidharau sana kwamba I am clueless about forex. Umeniboa sana mzee wangu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Aiseee bro unachofanya si sahihi. Nilikua nangoja tu unijibu.
Aina hii ya uhuni hua siipendi kabisa sheikh wangu. Let's keep it real!!
Mimi nikikwambia najua vitu vingi sana kuhusu forex, nieleweke hivyo. Hizo trades ambazo unazipiga screen shot tangu mwanzo nazifahamu. Thabani Ngcobo ni mwanangu sana, nilikua nae Juzi juzi tu aisee, yani hata ukiniamsha usiku ukanionesha trades zake wala sitahitaji kunawa uso kuzitambua.
Forex haina siasa boss. You either learn the art or be an observer. Naomba utuombe msamaha kwa ulichokifanya, otherwise tutakuona vitu vyote ulivyozungumza ni ujanja ujanja. Hizo trades za Thabani Ngcobo na umezitoa kwa IG yake. Sitaki kuleta hapa ushaidi just kulinda heshima yako. But let's try to put it real.
Kuhusu forex wadanganye watu mkiwa wawili sehemu mmetualia, lkn usizungumze forex mbele yangu ukadhani forex nimeijua juzi. Acha izo jombaa!! Sisi hua Thaba tunamuita Mr. 0.5 - nitajitahidi kumleta aje atusalimie.
Watu wafukunyuvu hadi raha[emoji13]Nilifwatilia background yake nikasema acha nikae kimya kwanza, nisiwe negative...
Hizi ni post zake za mwaka huu, nyingi ni za mwezi wa 6!!
Natafuta ajira wakuu
Nauza mashine ya juisi ya miwa isio tumia umeme
Nauza subwoofer
Nauza sofa+kitanda+mtungi wa gas
Natafuta kazi yoyote wakuu
Nauza water dispencers kwa 30,000
Natengeneza blog kwa 10,000/=
[emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana ..njia ya mwongo ni fupi hivi kumbeNilifwatilia background yake nikasema acha nikae kimya kwanza, nisiwe negative...
Hizi ni post zake za mwaka huu, nyingi ni za mwezi wa 6!!
Natafuta ajira wakuu
Nauza mashine ya juisi ya miwa isio tumia umeme
Nauza subwoofer
Nauza sofa+kitanda+mtungi wa gas
Natafuta kazi yoyote wakuu
Nauza water dispencers kwa 30,000
Natengeneza blog kwa 10,000/=
Ninajoin SKRILL hivi sasa. Naomba kuuliza wapendwa.
1. Hapa kwenye address 1 nimejaza sahihi (Natokea Iringa Town)?
2. Je kwenye Postal Codes nijaze vipi?
Natanguliza shukrani.
View attachment 561972
Mkuu, huyu ni tapeli tena mjinga sanaMmh!..kuna watu wanataka kutuvuruga tena?walikua wapi cku zote?hapa inabidi tumuamini ontario tu.hawa jamaa wengine watatuvuruga na screenshot zao.cku zote walikua kimya
HatarudiNilivoziona mara ya kwanza nikajua acc wanatumia wengi au alikua anapost matangazo kwa ajili ya wenzake...nikaona nikae kimya!!
Labda tungoje aje atoe hoja, wenda sisi ndio tunamhisi vibaya!!
Sent using Jamii Forums mobile app
watu tunapambana tujitoe ktk utegemezi,tuwe financially independent,watu wanataka watupige ngeu tena.tuoneane huruma watz.huyo jamaa alinitikisa aisee.Mkuu, huyu ni tapeli tena mjinga sana
Kwa uelewa wangu, postal code ni ile +255. Ambayo pia huitwa zip code. Kama kuna mahali pana adress, na kuna town... Ndo P.O.Box