Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Kwa uelewa wangu, postal code ni ile +255. Ambayo pia huitwa zip code. Kama kuna mahali pana adress, na kuna town... Ndo P.O.Box

Sent using Jamii Forums mobile app
Postcode ni kwa ajili ya address za UK na Zipcode ni kwa ajili ya US, sasa hapo inabidi ulazimishie tu kama una PO Box number weka hapo sysytem ikutambue otherwise itakusumbua kukusajili.
 
Wakuu nimebahatika kuonana na mentor wetu akitrade live,aisee zile screenshot zake hua ni real.
Siwezi kuwa na maneno mazuri ya kuelezea mshangao na furaha yangu ,waliompa jina kwa kuanza na Sir hawakukosea
 
Nimecheka sana huyo tapeli hapo juu alivyo na mbwembe,

Eti naingiza pesa nikiwa safarini,nikiwa gym mtaji wangu ni simu yangu na laptop na bando la 500 mbongo mbongo tu aiseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakuu nimebahatika kuonana na mentor wetu akitrade live,aisee zile screenshot zake hua ni real.
Siwezi kuwa na maneno mazuri ya kuelezea mshangao na furaha yangu ,waliompa jina kwa kuanza na Sir hawakukosea
Hongera kwa kukutananae....mwambie tunasubiri sana darasa lake. Mwambie hatutamwangusha kabsa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa waelewa, msaada kwenye tuta,

Hii kitu yaitwa MARGIN, inakuwa donated kwa 25:1 au 50:1 leverage, manake nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
kwa kifupi margin ni actual investment amount(kiasi halisi cha pesa ulichowekeza) na leverage ni multiplier au zidisho zaidi la faida.example una spread/pip ya 2 (yani utotauti kati ya bid na ask price) na umetumia leverage ya 50:1 hivyo basi faida ya pesa utakayo pata ni (2×50=100) Na vice versa ni hivyo hivyo kama spread/pip ya -2 ambayo ni loss vivohivyo kama umetumia leverage ya 50:1 utakua umepata hasara ya (2×50=100).angalizo unapokuwa na leverage kubwa ndo kadiri risk inapokuwa kubwa.unashauriwa leverage maximum iwe 200:1.Nadhani ntakua nimekujibu swali lako chief
 
Bwana mdogo naona unapambana upate na ww hisa kwnye kikampuni chetu[emoji13] [emoji13]
 
Currently scalping MAY CRUDE OIL.
Let me see if the channel will work also for me


Sent using Jamii Forums mobile app
MREJESHO:
Nilifanya analysis yangu around 6pm. Nika demo short May Crude Oil na kuweka SL and TP with Lot size ya sisimizi kama 0.01. Initially it went in my favor, lkn haikufikia TP niliyokuwa nimetarget na sikutaka kuclose position partially na ikageuka nakwenda against me, imenipa duh.
Simu ikaishiwa charge, ikazimika but kwa kuwa nilitumia risk management kwa kuweka SL haikukapukutisha ka profit nilikokakusanya tangu asubuhi ka kama $170.

Tusipojifunza na kutumia Risk management rules tutaunguza akaunti mapemaaaa.







Imenibakizia kama ka profit ka 150$ ka Leo tu. ngoja nipige naked trader book kwanza kama chapter 1 hivi kisha nilale



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana jukwaa la forex kwa ujumla na Mr.ontario naombeni ladhi kwa kitendo changu cha kujilimbikizia sifa zisizo zangu na kuwapa hofu watu kwamba mimi ni tapeli.Sikua na nia mbaya na mifuko yenu bali nilikengeuka tu mwenzenu na kuingiwa na shetani la ulaghai.Naomba ladhi kwa kitendo nilicho kifanya na kutengua na kubatilisha screenshots za transactions zote nilizopost nikidai kuwa ni zangu.Naombeni mrudishe tena tumaini kwangu kama ilivyo kwa Mr.ontarion mwanzilishi wa huu uzi natumaini Mr ontarion kwa kujua forex nje ndani lakini kuna vitu inawezekana vikawa vichache au vingi mimi navijua yeye havijui au mimi sivijui yeye anavijua.Najutia kosa langu sitorudia tena.ila natumaini pia mnahitaji msaada wangu katika kujua basics za forex wakati Mr Ontarion akijipanga kupanga kuanza ratiba yake vizuri kuanza kufundisha forex.asanteni(kunikejeri,kunitukana,kunishauri,kunicheka,n.k vyote mnaruhusiwa)karibuni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
good,,tuendelee kupambana,,
 
Dogo unataka upewe hisa kwenye kampuni, usidandie vya wenzako. Komaa tafuta ishu ya kufanya upate hela .mwenzio apo na yeye ndio anategemea atokee, fanya kazi iyo dilo haikuhusu ww unakesha bure ..emu kakojoe ulale uko
 
Mkuu mbona hapo kwenye bold inaonyesha ulikua na nia mbaya?

Anyways

Huu ndio tunaita uungwana personally nimekusamehe, na post yangu nimefuta! Next time usirudie!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] me nimechagua io option ya mwisho ya kukucheka jinsi ulivyokubali kosa na kuwa mpole... Dah!! Inaitwa caught red handed io..

Ila blaza ujirekebishe hio tabia sio kabisa, utakuja umbuka sehemu nyingne mbaya zaidi.

Binafsi nimekusamehe kwa kuwa umeomba radhi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
je unajua kwamba "TRUST"ni kama kioo na ikivunjika ni vigumu sana kuiunga?ulichokifanya sio kabisa ila kwa vile wadau kwenye uzi huu tuna mambo muhimu ya kufanyia kazi tena wastaarabu utasamehewa mzee..ila faham kosa ukilirudia ndio utaharibu...haya,karibu ufaidi kaka...
 
Asante mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shukrani mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

kjna usihofu hiyo ni mfano wa conflict of interest kati ya educators, brokers na traders, tunakuelewa sana
 
samahani wakuu...Nimefanikiwa kufungua Skrill Account. Ila nilipo LogIn tu nikakutana na ujumbe huu...

Je,Unamaanisha nini?


 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…