Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Ukiwapa signals utawaharibu mazima mkuu, watakuwa wavivu kufanya analysis. Uwape tactics za kufanya technical analysis. Huo ndo msaada mkubwa utakaowapa.
Ukianza kuwapa signals watakaa kusubiri uwaambie nini cha kufanya. Wengine watakuwa tayari hadi kununua hizo signals.
 
Achana nao mkuu.
Mi hata ndugu zangu hawaelewi nafanya nini.
Wanaona graphs zinapita kwenye screen hawajui ni nini.
 
Shukrani brother kwa hii biashara. Natamani kuwepo kwa whatsapp group kwaji ya updates
 
Tafadhari tupe website unayoitumia kwa forex trade.
 
Reactions: MC7
Thread hii imenivutia sana, naamini nami siku moja nitakuwa mmoja kati ya hao watu 300 utakaoanza nao kwa hapa Bongo.
 
big up man
tuongozane mkuu nami nipo pamoja nawewe nmeipenda philosophy yako
 
Mkuu! Mola akuzidishie amen.
 
Mkuu Ontario..

Mpaka nimekupm kimyaa asee

Niko serious na hela eti mwenzio

Mkuu, jaribu kusoma kwa makini wazo la kwanza kasema wazi hajibu kamwe Pm za watu, anataka kila kitu kijadiliwe na kielezwe wazi wazi hapa.
 
Inabidi nikutafte nijifunze kwa vitendo sasa sijui sisi wa mikoani tunakupata vipi
 
Tuko pamoja mkuu, hebu tuufuatilie mchezo kimya kimya in the shadows, then batch ya pili ikifika tunaingia jumla.

Tutakua vipanga mkuu!
[emoji23][emoji23][emoji23] saana mkuu
Vp apa TOWN upo maeneo gani bro
 
hakika wewe ni gentlemen

na ndio uungwana kukubali kama ulikosea naamini halitajirudia tuvumiliane na tuonyane kwa lugha nzuri.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…