Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Mwalimu Mwl.RCT hili zoezi limefikia wapi....?na je litafanyika..?
 
kuna watu wanalalamika FxPro wanasumbua kwny withdraw, na kupress orders inachelewa
Tumia hii link: Forex Brokers Comparison

Kupata broker sahihi anayekidhi vigezo vyako.

Ila inatakiwa ujuwe unataka nini toka kwa broker, kulingana na style utakayokuwa ukitumia kufanya trade. Hivyo uwe na ABCs za brokers na hasa ECN broker.

 
mkuu hzo closed order zote tarakim za mwisho zinafanana, unafanyaje kuset zifanane


Aliset take profit order mkuu wangu...yaani alipofungua positions zake akaangalia chart yake akaona achukue profit yake (take profit) price itakapogonga level fulani.

Naona alikuwa anatrade H1 timeframe kwa hyo nadhani target yake ilikuwa ni nearest zone..(support kutokana ninachokiona hapo juu)
 
Asante mkuu kwa ufafanuzi nimekuelewa
 
Wakuu mimi kila nikiset sl and tp metatrader inaniambia invalid sl/tp je kipi nakosea hapa naomba mnijuze

Sent using Jamii Forums mobile app

[emoji137] mi sijui

Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea kama unakwenda long au short nikiwa na maana kwamba una buy au sell currency pair. Kama una buy currency then SL lazima iwe ndogo kuliko the market price. Kama una sell currency lazima SL iwe juu ya ile current current market selling price. I stand to be corrected

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu mimi kila nikiset sl and tp metatrader inaniambia invalid sl/tp je kipi nakosea hapa naomba mnijuze

Sent using Jamii Forums mobile app
pips unazoweka unaweka kwa margin ndoko, weka angala 50 pips, au weka order yako bila ya kuweka SL na TP halafu baadae click hiyo halafu bonyeza modify order na kuweka SL na TP baada ya hapo itakubali.
 
Wakuu mimi kila nikiset sl and tp metatrader inaniambia invalid sl/tp je kipi nakosea hapa naomba mnijuze

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna interval unatakiwa uset kutoka kwenye current price! kama unawatumia XM wao wanataka kwa EURUSD uset sl pip 4 kutoka kwenye current price!!

Kama EURUSD inauzwa 1.2000 basi uset 1.2004, atleast!

(Nimeshindwa kuandika kwa utaratibu maana hiyo avatar yako inanikumbusha nisiyotaka yakumbuka, Am jokin!!)
 
Soma kwanza vitabu pendwa
Nahitaji kufanya hii naanzaje msaada kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…