James Wonderzlight
Member
- Jul 4, 2017
- 25
- 24
Hii kitu niya ukweli Mimi ndo nimeanza real account yangu Leo check hapa nimeanza mdogomdogo tu kitaelewekaView attachment 581313
wanasema forex co gambling ila trader ndo tuna bet,Habarini. Kwa trend iliyo katika consolidation, je naweza weka pending order zote 4 kwa matarajio kwamba moja wapo ya hzo order itakuwa executed?
Nyingne upande wa resistance, nyngne upande wa support.
4 pending orders: buy limit, buy stop, sell limit, sell stop.
<> semper fi <>
Hongera kwa juhudi kama ni kweli umefikisha hiyo amount. Nauliza tu unachukuaje faida yako. Pili nauliza unatumia broker gani. Tatu nauliza mbona kuna gepu sana kati ya spread ya insta forex [3-4] na xm [16-18]. Majibu tafadhalimmm,!!msema ukweli mpenzi wa MUNGU ata ninapopga mbishe zangu cijawai tengeneza hii pesa ata kwa cku.... .ila pande hz unabukua then unajidownloadia pesa zako .... Special thanks to Ontario . ....Members wako TMT.. twakusubiria.. endelea kupambana mkuu. View attachment 581312
Usiogope, hiyo ni demo akaunti, asikutisheHongera kwa juhudi kama ni kweli umefikisha hiyo amount. Nauliza tu unachukuaje faida yako. Pili nauliza unatumia broker gani. Tatu nauliza mbona kuna gepu sana kati ya spread ya insta forex [3-4] na xm [16-18]. Majibu tafadhali
Mkuu, haya mambo ni magumu... Dah!!
wanasema forex co gambling ila trader ndo tuna bet,
fanya tuu analysis mkuu, kama huoni chance ya kuexcute trade according to ur techniques wanashauri bora uache kuliko kubahatisha usubiri target murua then uingie sokoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba nikujibu hili swali mkuu...Tatu nauliza mbona kuna gepu sana kati ya spread ya insta forex [3-4] na xm [16-18]. Majibu tafadhali
Asante sana kwa ufafanuzi huu. Waweza dhani xm ni ghali sana kumbe inabidi kuelewa contextNaomba nikujibu hili swali mkuu...
Unapoongelea spreads ni tofauti ya buy na sell price!
Spreads zinatofautina kwa kila broker! kuna brokers wengine wana fixed spreads(mfano instaforex) wengine variable (mfano XM) japo pia itategemea na aina ya account uliyoifungua!
Sasa spreads zinawekwa kwa mfumo tofauti tofauti! mfano wengine wanatumia PIPS wengine wanatumia POINTS!
XM anatumia mfumo wa POINTS na insta anatumia mfumo PIPS! Jua 1pip = 10points!
Now, XM akiandika spreads = 17 jua hapo anamaanisha 1.7 pips!! na insta akiandika 3 jua ni 3pips! do not get confused!
Hahahaaa... Duh! Asante kwa ufafanuziUsiogope, hiyo ni demo akaunti, asikutishe
<> semper fi <>
Sizan kama kuna mtu anatishiwa kiongozi na hata kama ni demo, kama ameweza kufikia hiyo hatu anastahili kupongezwa!!Usiogope, hiyo ni demo akaunti, asikutishe
<> semper fi <>
Ndo maana nikasema nimeanza mdogomdogo tena leo! Hapo sijaloose napiga kwa hela ya bonus kitaeleweka tu. Mpaka hapo VIP hujaamini IPO Sikh nitapiga 10$ kweli???Duuuu....mkuu kwa mwendo huo kuna siku utafikisha dollari kumi kweli.
Utaibiwa wewe,shauri lako!!jamaani hii kitu mnasemaje nimetumiwa mahari, inatofautiana na tunayoyafanya?
Sent using Jamii Forums mobile app
jamaani hii kitu mnasemaje nimetumiwa mahari, inatofautiana na tunayoyafanya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Please stay away from it!!jamaani hii kitu mnasemaje nimetumiwa mahari, inatofautiana na tunayoyafanya?
Sent using Jamii Forums mobile app