Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Hapo ndipo utakapokosea..

Mimi ckuwa namchallenge kwamba haeleweki, ukisoma vizuri nlichoandika utagundua kitu.

Changamoto yangu, co mtaji wala nauli, changamoto nlyotaja ni BROKERS.

kuna watu kupitia uzi huu tayari wanapga hela ndefu, na bahat nzuri kuna mabroker wengne minimum amount ya deposit ni mpaka $50 na wengne $25, na kuna wengne wanakupa hadi mtaji kabisa, so kwangu mtaji co ishu.

Ishu nloiongelea ni kwamba akilaunch school, watu tukapiga kitabu, itakuwaje upande wa mabroker?

Kumbuka kuwa mabroker wengi ni wa nje, na weng ni nje ya Africa though huenda wana presentatives wao.

Sasa wana utaratibu wao wa kudeposit na kuwithdraw pesa ambao kibongobongo una hatua ndefu sana, ni tofauti na kama tungekuwa na broker hapahapa tz, au akawepo presentative wa broker hapa tz, ingekuwa rahis kuweka na kutoa pesa, mana ungekuwepo utaratibu ulio customized kwa mazingira ya tz.

Hilo ndilo wazo langu, na nkauliza analionaje yeye? Training bro co lazma uende leo, mana hapa tu kwenye uzi ni training tosha, kama utajibiidisha kusoma na kufanya demo kila cku.... Labda kama ile elimu ya chuo ya kujitafutia materials na kusoma bila kusimamiwa kwako ni ngumu, hapo kweli utafeli.

Nimebet sana bro, lakini tangu nimeanza hii kitu, nimeapa kuwa ctobet tena, sbb nlikaa na kuwaza pesa napga na napgwa, nimeona ni hasara kiasi gani nimepata...

Ile pesa unabetia, ndio mtaji wako.
Cheers!!





<> semper fi <>
Ukiw na uoga na uvivu wa kufikiria ndo utatanguliza hizo doubts zako
Je ulishawahi kuuliza nawezaje kuweka pesa kwa brokers

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiw na uoga na uvivu wa kufikiria ndo utatanguliza hizo doubts zako
Je ulishawahi kuuliza nawezaje kuweka pesa kwa brokers

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo la wewe ni kama la huyo mwngne, I know everything, lakn cjatoa wazo la brokerage company thinking about MYSELF.

Nawaza kuhusu WENGINE watakaoamua kuifanya hii biashara, wanaweza kukatishwa tamaa tu kwa milolongo ya akaunts wanazopaswa kufungua...

Ivi kama ukiulizwa leo XM anaaccept Mastercard deposits, hafu una kadi ya NMB ya Mastercard lakini huwez kudeposit direct mpaka ufungue akaunt ya skrill utajibu nini?

That's what I'm thinking, co uvivu wa kufikiri...
Hii inaitwa thinking outside of the box!

Unadhani kungekuwa na broker tz tungekuwa na ulazima wa kuwa na akaunt za skrill wakati kuna mastercard za CRDB, FNB, NMB?

think about it man!
Acha kuweka assumptions, kama huelewi, uliza ueleweshwe!

<> semper fi <>
 
Ukiwa na pupa hii biashara huta iweze kaka tulia iyo pesa unayo sema mtaji ni mdogo then unataka uingie kichwa kichwa utapigwa K.O hiyo hauta sahau...
Ina shauriwa u practice na demo A/C mpka pale utakapo kua fit ndio uanze kucheza na Real A/C haijalisha ni 2/3 months
So be Patient kila kitu kitawekwa sawa na ONTARIO[\b] himself

google Pixel

Sure but kusema kweli, kuhudhuria training itakua uongo... Labda mambo yote yaelezwe hapa.

Em nielekeze namna ya kufungua hata hiyo demo account nianze ku practice sasa
 
Hapo ndipo utakapokosea..

Mimi ckuwa namchallenge kwamba haeleweki, ukisoma vizuri nlichoandika utagundua kitu.

Changamoto yangu, co mtaji wala nauli, changamoto nlyotaja ni BROKERS.

kuna watu kupitia uzi huu tayari wanapga hela ndefu, na bahat nzuri kuna mabroker wengne minimum amount ya deposit ni mpaka $50 na wengne $25, na kuna wengne wanakupa hadi mtaji kabisa, so kwangu mtaji co ishu.

Ishu nloiongelea ni kwamba akilaunch school, watu tukapiga kitabu, itakuwaje upande wa mabroker?

Kumbuka kuwa mabroker wengi ni wa nje, na weng ni nje ya Africa though huenda wana presentatives wao.

Sasa wana utaratibu wao wa kudeposit na kuwithdraw pesa ambao kibongobongo una hatua ndefu sana, ni tofauti na kama tungekuwa na broker hapahapa tz, au akawepo presentative wa broker hapa tz, ingekuwa rahis kuweka na kutoa pesa, mana ungekuwepo utaratibu ulio customized kwa mazingira ya tz.

Hilo ndilo wazo langu, na nkauliza analionaje yeye? Training bro co lazma uende leo, mana hapa tu kwenye uzi ni training tosha, kama utajibiidisha kusoma na kufanya demo kila cku.... Labda kama ile elimu ya chuo ya kujitafutia materials na kusoma bila kusimamiwa kwako ni ngumu, hapo kweli utafeli.

Nimebet sana bro, lakini tangu nimeanza hii kitu, nimeapa kuwa ctobet tena, sbb nlikaa na kuwaza pesa napga na napgwa, nimeona ni hasara kiasi gani nimepata...

Ile pesa unabetia, ndio mtaji wako.
Cheers!!





<> semper fi <>
Okay, sasa anza na kunielewesha namna ya kufungua account.

Nataka nianze ku train mwenyewe
 
Cha kwanza, tafuta broker anayefaa, mi personally ntakupa link ya kufungua demo kwa broker huyo

<> semper fi <>
Broker najuaje kama huyu anafaa au hafai? Hao ma broker nawapata sehemu gani nijichagulie hapo mmoja?
 
Great news from cre.forex on IG.. Jamaa wamefika aisee hio road trip sio mchezo.

Nimekaa hapa nasubiri uzi mpya tu nikakate ticket yangu na mimi road trip ianze[emoji4][emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
upload_2017-9-3_11-17-54.png
 
Great news from cre.forex on IG.. Jamaa wamefika aisee hio road trip sio mchezo.

Nimekaa hapa nasubiri uzi mpya tu nikakate ticket yangu na mimi road trip ianze[emoji4][emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekaa nikawaza kwann wameamua kutumia barabara sijapata jibu

pengine wanapenda kusafiri kama mm na kufurahia uumbaji wa Mungu , i love nature
 
Nimekaa nikawaza kwann wameamua kutumia barabara sijapata jibu

pengine wanapenda kusafiri kama mm na kufurahia uumbaji wa Mungu , i love nature
May be watatuambia tukikutana nao class..[emoji39] au nadhani hawakutaka wakija huku wahangaike inshu za usafiri au kununua magari mengne so wakaamua kuja na yakwao and also for the sake of adventure.

All in all we thank God wamefika salama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo la wewe ni kama la huyo mwngne, I know everything, lakn cjatoa wazo la brokerage company thinking about MYSELF.

Nawaza kuhusu WENGINE watakaoamua kuifanya hii biashara, wanaweza kukatishwa tamaa tu kwa milolongo ya akaunts wanazopaswa kufungua...

Ivi kama ukiulizwa leo XM anaaccept Mastercard deposits, hafu una kadi ya NMB ya Mastercard lakini huwez kudeposit direct mpaka ufungue akaunt ya skrill utajibu nini?

That's what I'm thinking, co uvivu wa kufikiri...
Hii inaitwa thinking outside of the box!

Unadhani kungekuwa na broker tz tungekuwa na ulazima wa kuwa na akaunt za skrill wakati kuna mastercard za CRDB, FNB, NMB?

think about it man!
Acha kuweka assumptions, kama huelewi, uliza ueleweshwe!

<> semper fi <>
We si mfanyabiashara always negativity
So hizo njia ulizosema zina matatizo gani kwani mtu hafikii lengo la kudeposit pesa kwa brokers au huyo broker akiwa tz utampa pesa mkononi
Eti mlolongo mrefu kwani unaomba chuo tcu au mkopp loan board
Hizi process ni za ki_electronic kwa 90% only 10% ni physically pale unapoenda weka hela bank so huo mzunguko au foleni iko wapi acha kutisha watu kama wew unazijua waelekeze

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We si mfanyabiashara always negativity
So hizo njia ulizosema zina matatizo gani kwani mtu hafikii lengo la kudeposit pesa kwa brokers au huyo broker akiwa tz utampa pesa mkononi
Eti mlolongo mrefu kwani unaomba chuo tcu au mkopp loan board
Hizi process ni za ki_electronic kwa 90% only 10% ni physically pale unapoenda weka hela bank so huo mzunguko au foleni iko wapi acha kutisha watu kama wew unazijua waelekeze

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe c unajua mambo ya electronic? Unadhani wote watakaoingia wanajua electronic?
Hukuona kuwa kuna wengine hata vitabu tu humu walikuwa wanaomba watafsiriwe? Unadhani hao watajua mambo ya electronic?

Nimekwambia, hofu yangu co mimi, hofu yangu ni WENGINE watakaoamua kuifanya.

Kama htak niwe na wasiwasi nao, then kwangu co shida.

Cheers!

Hafu bado hujajibu swali langu,
Kwann una mastercard hafu bado watumia skrill.

<> semper fi <>
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom