Watu si wanakwambia utaibiwa wengine wanakwambia ulifute sasa mambo ya kulidadavua yanatoka wapi? Au na we ni mmoja kati ya ma-founder?ndio maana nikaleta humu, ata mimi nimetumiwa jamani tulidadavue hilo swala ata mimi sijui kinachoendelea, naomba mwenye ujuzi na haya mambo atueleze
Sent using Jamii Forums mobile app
ushaambiwa ni matapeli...unahitaji maelezo gan sasa mkuu?ndio maana nikaleta humu, ata mimi nimetumiwa jamani tulidadavue hilo swala ata mimi sijui kinachoendelea, naomba mwenye ujuzi na haya mambo atueleze
Sent using Jamii Forums mobile app
Demo hiyo mzee[emoji12]
Sasa huu mzigo wote jitu linabeba kwa siku moja. Hapana kwakweli[emoji23] [emoji23]
Ndo maana nikasema nimeanza mdogomdogo tena leo! Hapo sijaloose napiga kwa hela ya bonus kitaeleweka tu. Mpaka hapo VIP hujaamini IPO Sikh nitapiga 10$ kweli???
Sasa huu mzigo wote jitu linabeba kwa siku moja. Hapana kwakweli[emoji23] [emoji23]
Daaa asee inatia uchungu mtu kama huyu hadi unafikilia either anatokea sayari nyingine[emoji1]Mkuu mbona hyo ndogoooo....kuna mnyama mmoja alipiga USD billioni moja kwa siku....mzee baba ontario alishamuongeleaga....wanasemaga alirobb BOE.
Ila ili upige mzigo kama huo kwa lot size kama hzo unadhani account yako inatakiwa iwe inasoma digits ndapi mkuu in USD??
Mkuu real hiyo
ubarikiwe kaka!!!Naomba nikujibu hili swali mkuu...
Unapoongelea spreads ni tofauti ya buy na sell price!
Spreads zinatofautina kwa kila broker! kuna brokers wengine wana fixed spreads(mfano instaforex) wengine variable (mfano XM) japo pia itategemea na aina ya account uliyoifungua!
Sasa spreads zinawekwa kwa mfumo tofauti tofauti! mfano wengine wanatumia PIPS wengine wanatumia POINTS!
XM anatumia mfumo wa POINTS na insta anatumia mfumo PIPS! Jua 1pip = 10points!
Now, XM akiandika spreads = 17 jua hapo anamaanisha 1.7 pips!! na insta akiandika 3 jua ni 3pips! do not get confused!
dah!!!kuna raia ktk hii thread hawa definek kwakwel,yaan wanakua kama watu wa mtumba..,kwa upande wangu mi tangu nimeuona huu uzi nina kama miezi miwili.....vitabu vinatuambia,Soko la forex ni biashara ambayo ipo tu na itaendelea kuwepo kwa maana inatusubiri na tutaicha....Usiogope, hiyo ni demo akaunti, asikutishe
<> semper fi <>
Mkuu mbona hyo ndogoooo....kuna mnyama mmoja alipiga USD billioni moja kwa siku....mzee baba ontario alishamuongeleaga....wanasemaga alirobb BOE.
Thanks alot!!ubarikiwe kaka!!!
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] watu wa mtumba....dah!!!kuna raia ktk hii thread hawa definek kwakwel,yaan wanakua kama watu wa mtumba..,kwa upande wangu mi tangu nimeuona huu uzi nina kama miezi miwili.....vitabu vinatuambia,Soko la forex ni biashara ambayo ipo tu na itaendelea kuwepo kwa maana inatusubiri na tutaicha....
ndugu humu wote still ni wanafunz na wote tunasubiri training,,,ukiona 2naweka caption ni vile 2mehaswa na mkuu Ontario kwamba 2practise sana kwenye demo...tuelewe mchezo....
nyie ndio wale mmeona uzi,mkasoma hadi nusu mkaona hile benz,mkaruka hadi page..389 post [HASHTAG]#7834[/HASHTAG]..mkapga brabrabraaah!!kesho unataka fungua real!!....mkuu hii ni demo!!!!na nakushauri uanze na demo!!!usije ukaingia real kichwa kichwa bila knowledg yeyote ya vtabu mixa demo...
utapgwa short kama bint aliyevunjwa bakuli!!!View attachment 581559