Iwapo kitu hukifahamu vyema; ni vyema na busara kujifunza kwanza, Pitia hii thread, Then comment.Forex haina tofauti na kamari inaenda kwa exchange rate ya dola waachieni hao wenye pesa za kuchezea kamari nyie wenye pesa za kusotea kaeni pembeni mwangalie mchezo unavyo kwenda.
ahahhaahhaa eti ku danlodiWazee wa kudanlodi pesa...
Haya bana
hahahah kiswazi zaid hyoahahhaahhaa eti ku danlodi
Subili mkuu by January 7 linaundwa kundi jipya kwa ajili ya Training endelea tu kusoma soon tutakuwa soteNaomba Link ya kujiunga na TMT lake zone ama wale wa Mwanza
Wazo zuri...Watanzania shirikisheni bongo lasivyo mtaibiwa sana. Wanaigeria wamemaliza dunia kwa wizi na sasa wanatoa mafunzo kwa vitabu kupitia kwa wafuasi wao kote africa. Chungeni sana visenti vyenu. Forex haina tofauti na kamari inaenda kwa exchange rate ya dola waachieni hao wenye pesa za kuchezea kamari nyie wenye pesa za kusotea kaeni pembeni mwangalie mchezo unavyo kwenda.
Wazo zuri...
Lakini acha risk takers tufanye yetu...
Watu wanahonga mpaka laki tano, Mugabe kahonga hadi nchi,
Hafu tuache opportunity ya mtaji wa laki 2 tu, kwa uoga wa kuibiwa?
Wangapi wanaibiwa magari, na cash za kutosha zaidi ya laki 2?
Wacha tuibiwe tu,
Kwakweli...
We jamaa ni mtaalam sana...Ndugu mtanzania, nenda kagoogle Forex scam brokers ndo utajua hii kitu ni uwizi mtupu. Matapeli wamefungua Forex brokers kuibia watu. Piga ua lazima uliwe. Na wana Njia nyingi sana maana wako kwenye huu.mchezo miaka mingi.
Mosi kuna ugumu wa kushiriki hii biashara hata kama huibiwi. Pili kuna kuibiwa hata kama unajua vizuri kufanya hii biashara. Na unaweza kupata Hela lakini ukashindwa kuiweka mfukoni mwaka. Ndo umeshaliwa hivyo
Wana Njia nyingi za kukutamanisha unapoanza. Wanaweza kukuachia ushinde halaf wanaanza kukula. Wanakupa tumaini kuwa unaweza kushinda. Lengo ni ili uweke Hela nyingi wakupurule.
True ecn brokers zipo lakini hazikubali hizo dola 200, 500 au 1000. Wanataka Hela ndefu. Ni expensive endeavor. So unaishia kwa hao fake market makers ambao primary business yao ni tutengeneze kutoka kwako. Hebu pima kama unaweza shindana nao.
Na true ecn brokers wapo pia ambao ni matapeli na ni wengi sana
Ushauri wangu ni kuwa tuwe tunaambiana ukweli. Soma, ingia na ukikumbana na chochote njoo tuhabarishane. Sema wengi wetu tutaona aibu kusema tumeliwa. Na mbaya zaidi tutaendelea kuliwa tukiwa na mategemeo potofu kuwa tutapiga Hela. Hela ya muzungu hailiwi kirahisi hivyo
Usije ukauza Nyumba ucheze Forex. Wenyewe wana sema usiingize Hela kwenye Forex ambayo hutaki kuipoteza. Ni kwamba ukiiingiza ndo umeenda hivyo
Usije ukauza Nyumba ucheze Forex. Wenyewe wana sema usiingize Hela kwenye Forex ambayo hutaki kuipoteza. Ni kwamba ukiiingiza ndo umeenda hivyo
Ukiona unatop up ujue hujaelewa mambo yanaendaje.Laki 2 ya kusomea au kuwekeza huko kwenye akaunti. Kama ni kuweka huko OK. Halaf angalia kama inaongezeka au inapungua so inabidi uongeze?
Mara nyingi itabidi utop up. Uongeze. Na ikifikia hapo we toka tu maneno yangu yatakuwa yametimia. Lasivyo utakuwa Mtu wa kutop up tu. Unaliwa zaidi kuliko unavyokula.
Cha msingi kila mtu ajaribu. Ajionee. Kwa wengi wetu kupoteza million 1 si kitu
We jamaa ni mtaalam sana...
Sana...
Lakini kuna tatizo moja...
Hata ukigoogle "tesla car accidents" utaona ajali za gari za tesla, gari ambazo huenda ni safe zaidi kwa sasa...
So, have you tried to google
"best forex brokers?"
Ivi kama kitu hukipendi, kwanini uwe na negativity, na kutaka kuwakatisha tamaa wenzako?
Hata ukisearch side effects of food...[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Utazikuta nyingi tu... Je utaacha kula?
Boss, you failed the time you said
USIJEUZA NYUMBA UCHEZE FOREX....
Kama umeuchukulia huu mchezo, ushafell, this is not D9 au DECI this is something entirely different...
We uje ucheze.
Wenzako hawachezi.
Wanafanya.
View attachment 658217
Nikuulize:
Kwa kuchukulia huu ni mchezo,
MPAKA SASA UMESOMA VITABU VINGAPI VYA HUU MCHEZO?
Gud, so kama umeshaamua kuwa kati ya wale 95% wanaoquit, uache wengine wanaotaka kuwa kati ya wale 5% wanaomake...Haya mkuu lengo sio kukatisha mtu tamaa. Wengi wetu tunapta hizi Hela kwa shida sana. Kwahyo ni muhimu kuwa makini tunapojaribu kuziwekeza ili zizae.
Cha muhimu kila mtu na ajaribu. Mimi nime jaribu na nimejaribu kufuatilia wengine waliojiingiza kwenye hii biashara na Matokeo waliyoyapata
Ukifuatilia unaambiwa ni chini ya 5% wanaotusua. Wengine wote hupata hasara kwenye hii biashara. Kila MTU atie mguu na apime uzito na ajipime mwenyewe akichanganya na Habari zilizopo.
Ukigoogle best Forex brokers utaishia kupata so called 'true Forex brokers' na labda zingine ambazo ni most well established kwahyo kufanya mamichezo ya kipuuzi waziwazi wa naona itakula kwao, akina Lcg and the like.
Hao 'true Forex brokers' wa ukweli hawafanyi biashara ya dola buku. Ni angalau maelfu kadhaa ya dola. Uwekezaji mkubwa and still mtu unakuwa new to the game
Kila mtu na ajaribu, Mimi nimeshajaribu najua nnachoongea kwa kiasi kikubwa na nimefuatilia vilevile kwa karibu