Hii ni sawa na bure mkuu, Lengo ni kutoa elimu na ujuzi utakaorithisha kizazi na kizazi, na sio kukomoa kwa bei kubwa ya ada.50 fanyeni bure tu kijulikane moja
kama ni sadaka tu
Karibu sana bosshaya bhana kila la kheri
Ukiacha "kusambaza risk" kama vile myahudi alivyosema, lot ya 0.01 inakusaidia kufungua positions nyng zaidi.Okey kwa hiyo kama unatrade pair moja tu kwa wakati huo ni kitu kilekile?
Huu uzi ni bora sana tukiutumia vizuri kwa kuelemishana juu ya masuala muhimu yahusuyo Forex and other related issues.Huu Uzi kila siku lazima niucheki ,Please kama kuna wadau wameanza kutrade naomba tujiane jamani bado sijawa mzoefu.
1.Humble African
Shukrani mkuuUkiacha "kusambaza risk" kama vile myahudi alivyosema, lot ya 0.01 inakusaidia kufungua positions nyng zaidi.
Mf. Una akaunt ina $30, kutokana na leverage yako, unaweza kushindwa kufungua position 1 ya lot 0.05 (not enough money), lakini unaweza kufungua position 5 za lot 0.01 ambazo jumla yake ni 0.05.
Pia inakusaidia unapokuwa na trade ziko against, ni rahc kutake partial loss kwa kufunga chache na kuacha nyingine, lakini ukiwa na trade moja ya 0.05 ukiifunga manake umetake complete loss.
Chamwisho, ukijilipua unawah zaidi kupata marginal call alert kuliko anayetumia lot size ndogo... Na hyo inamaanisha kuwah zaidi kufikia stop out kama uko na trades zilizo against na order yako.
Menu >Finance >deposit > chagua akaunti > chagua Ipay Africa > Mpesa > weka kiasi cha kudeposit in $ lakini bila $ sign > confirm > then tap depositHabari wakuu nahitaji msaada wa jinsi ya kuongeza pesa katika a/c (real a/c) ya templerfx kupitia mpesa...
mwenye kufaham procedures msaada tafadhari...
BAADA YA HAPO UNA ENDA INGIZA PESA IPAY KWA KUFUNGUA A/C IPAY AU UNA FANYA MALIPO KUPITIA MENU YA SIMU KAMA UNA LIPA LUKU NA BILI ZINGINE?Menu >Finance >deposit > chagua akaunti > chagua Ipay Africa > Mpesa > weka kiasi cha kudeposit in $ lakini bila $ sign > confirm > then tap deposit
Hapo penye x nyekundu ndo pa kuanzia
KILA NIKI BOFYA HAKUNA KINACHO TOKEA MKUU...Hapo penye x nyekundu ndo pa kuanzia
Umefungua trading account? Au ulikuwa unatumia bonus?KILA NIKI BOFYA HAKUNA KINACHO TOKEA MKUU...
BonusUmefungua trading account? Au ulikuwa unatumia bonus?
Huwezi fund kwa bonus account. Ni kwenye trading account tuBonus
Huwezi fund kwa bonus account. Ni kwenye trading account tu[/QUOT
Menu > Open an account > New account > account type.... Live UniversalFX > CreateHow to open trading acc bro.
I wish every trader could understand you rafiki. You're so informed on the subject matter.Acha ubishi mkuu! Unaona risk management ipo sawa hapo lot ya 50 vipi market ikicheza kidogo against his trade...anachoma akaunti mapema. Maana kwa hiyo lot hata taasisi kama edge fund and banks haziweki lot za namna hii this is greedy bastardisation na Forex haitaki greedy..inataka risk management.
Forex is not all about knowing the technical and fundamental news..Forex is about how you can manage your calculated risk. Maana Forex kabla hata hujaanza kutrade unaambiwa your capital is at risk kwa hiyo Kazi kubwa uliyonayo ni kuhakikisha unaguard mtaji wako kwa huyu jamaa kaweka mtaji wake uchi..soon ataanza kuita Forex is a scam.